Waziri gani alimdhulumu Rais mstaafu Mwinyi vifaa vyake vya ujenzi?

Ina wezekana mwinyi ndo rais aliye maliza madarakani bila kubwa na mikopo ya kutoka ulaya
 
Kutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.

Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
Hii inaonesha kama Taifa tusivyo na kawaida ya kusoma vitabu. Hili suala limeelezwa kwenye kitabu chake Mzee Mwinyi.

Na ni uongo kusema kuwa, mzee hadi anakufa hakumtaja. So, ni vizuri tukawa na ratiba za kujisomea vitabu maana hutuongezea maarifa.

Huyo Waziri alikuwa Makweta, na alilazimika kumwachia hata vifaa vyake vya ujenzi alivyokuwa ameandaa kwa ajili ya ujenzi wa ile nyumba yake ya Mikocheni.

Ova
 
Glenn na withdraw comments zangu kuhusu nani hasa alimfukuza Mwinyi kwenye nyumba. Inaonekana ni kitu ambacho hamna mwenye uhakika nacho
Huu ni uungwana mkubwa mkuu.

Nami nimeona watu wanajaribu kuunganisha matukio na hakuna anayejua kwa hakika.

Asante sana Kinyungu
 
Hivi baba yake kaonekana Zanzibar.
Alafu amepotea sana , waziri na mwanae atoe majibu ,maana uyu mzee ana maneno ukikutana ne kwenye halmashauri ya ccm kama vile anatumia computer,

Wapi mzee makamba
 
Huu ni uungwana mkubwa mkuu.

Nami nimeona watu wanajaribu kuunganisha matukio na hakuna anayejua kwa hakika.

Asante sana inyungu
Nilimfukuza Bubu mimi mwenyewe ,hakuna kuondoa huu uzi ,vinginevyo Mh Mdeleka, Pita kibatala , Mwabukusi, mnataka kukutana nao tujue Panapo nyesha mvua
 
Piga picha Tusome. Mimi sijawah msikia Mwinyi akimtaja
Nimekwisha kutajia jina la kitabu, bado unabisha mpaka uone picha ya ukurasa. Siwezi kufanya hivyo kwa kuwa mwishowe utataka nikuwekee .pdf nzima ya kitabu hapa.

Naungana na usemi wa Anonymous aliyesema "“If you want to hide something from a Black person, put it in a book.”
 
Same body makweta
Kauli ile aliomwambia rudi kwenu Zanzibar huko sio kauli ya kiungwana. Inaonekana moyoni mwa viongozi wengi kutoka Upande wa pili muungano ndio zilivyo. Ukichanganya imani tena hapo mambo yanazidi kuwa mambo.
Mwinyi kaonyesha wazanzibsr walivyo. Mioyo yao ipo safi.
 

Aisee
 
Kumbe yule Mzee alikuwa na roho kama ya Mandela.
 
Yaani ana roho safi sana. Wajanja ndio walimleta mizengwe kwa kupenyeza ajenda zao wakati wa utawala wake. Mama Samia ajifunze kitu. Sio kila mtu anaaminika 100%
JK alisema akili za kuambiwa changanya na za kwako
Times change. May 21, 2021..and how it is today?
 
Huyo waziri alimkera sana mzee ruksa, mpaka akasimulia kwenye kitabu chake. Binadamu usimdharau mwenzako, hujui unaemdharau atakuwa nani baadae.
 
Mkuu.
Maraisi wote ukimuondoa Abdull Wakil na Salmin wameishi Bara. Hatukuwabagua. Tena Salmin akapata Mke Bara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…