Waziri gani alimdhulumu Rais mstaafu Mwinyi vifaa vyake vya ujenzi?

Waziri gani alimdhulumu Rais mstaafu Mwinyi vifaa vyake vya ujenzi?

Not same body
Ni Somebody
Yuko sahihi kwa mujibu wa lugha ya malkia akimaanisha mtu huyo
1709368612314.png
 
MWinyi alijiuzuru kutoka uwaziri wa mambo ya ndani, hivyo baada ya kuachia ngazi hakuwa na xheo tena.
Ndipo Makweta aliteuliwa kuchukua nafasi yake, akijua Mwinyi sio lolote tena
Aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani baada ya Mwinyi alikuwa Hassan Nassor Moyo. Hizo hadithi nyingine sizifahamu.
 
Kutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.

Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
Jackson Makweta amemtaja kwenye kile kitabu chake, alikuja akawa waziri wa Kilimo wakati wa Mkapa
 
Kutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.

Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
nATEPE aBDALLA
 
Kutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.

Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
Historia inajirudia ,hii ni kama ya Makonda akiwa mkuu wa Mkoa kumfokea alikua katibu mkuu wa CCM , ila akaja kuwa boss wake bila kujali kwa sasa upo benchi baada ya Nchimbi
 
Back
Top Bottom