Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Lakini hata kwenye uzi ulioutuma kuna mkanganyiko.Waongo tu hao TBC
Nimeku mention utasoma huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hata kwenye uzi ulioutuma kuna mkanganyiko.Waongo tu hao TBC
Sio unasema tu tuwekee linkHapana siyo Makweta. Mbona habari hii ipo hata humu JF ?
Jackson Makweta acha ubishiHapana siyo Makweta. Mbona habari hii ipo hata humu JF ?
Sio kweli leta ushahidi unaongea mambo ya kusadidikika sio?Nimesema kutukana watu.
Viongozi ni watu
Ninavyofahamu Viongozi ni watu.
Ukitukana watu, unatukana viongozi. Ni hivyo tu.
Yuko sahihi kwa mujibu wa lugha ya malkia akimaanisha mtu huyoNot same body
Ni Somebody
Correct
Aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani baada ya Mwinyi alikuwa Hassan Nassor Moyo. Hizo hadithi nyingine sizifahamu.MWinyi alijiuzuru kutoka uwaziri wa mambo ya ndani, hivyo baada ya kuachia ngazi hakuwa na xheo tena.
Ndipo Makweta aliteuliwa kuchukua nafasi yake, akijua Mwinyi sio lolote tena
Kuna mjumbe amesema aliyemfukuza Mwinyi alikuwa Waziri wa NyumbaAliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani baada ya Mwinyi alikuwa Hassan Nassor Moyo. Hizo hadithi nyingine sizifahamu.
Not same bodyi Somebody We
Asante uwe unawa nyoosha Hawa wasukuma wanaokuja na mabuti toka Kolomije ni joka la makengeza pekee ndo alikuja na moka toka gamboshiNot same body
Ni Somebody
Jackson Makweta amemtaja kwenye kile kitabu chake, alikuja akawa waziri wa Kilimo wakati wa MkapaKutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.
Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
Hao watangazaji wa TBC ni Makanjanja walimtaja Makweta, waiombe familia yake msamaha.Hatujatunga bali jana TBC ikiwa live walitamka ni Makweta, hivyo sio kosa letu
nATEPE aBDALLAKutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.
Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
NATEPEHuyu waziri alimfukuza Mwinyi wakati huo Mwinyi akiwa na cheo gani? Kosa la Mwinyi mpaka kufukuzwa lilikuwa lipi?
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Historia inajirudia ,hii ni kama ya Makonda akiwa mkuu wa Mkoa kumfokea alikua katibu mkuu wa CCM , ila akaja kuwa boss wake bila kujali kwa sasa upo benchi baada ya NchimbiKutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.
Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
Hivi baba yake kaonekana Zanzibar.January makamba
Kumbe nyinyi ni vitoto vidogo mnapigapiga makelele humu ndio maana limekuwa jukwaa la hovyoHuyu waziri alimfukuza Mwinyi wakati huo Mwinyi akiwa na cheo gani? Kosa la Mwinyi mpaka kufukuzwa lilikuwa lipi?
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Bora asiende hachelewi kuharibu mamboHivi baba yake kaonekana Zanzibar.