Waziri gani alimdhulumu Rais mstaafu Mwinyi vifaa vyake vya ujenzi?

Waziri gani alimdhulumu Rais mstaafu Mwinyi vifaa vyake vya ujenzi?

Glenn na withdraw comments zangu kuhusu nani hasa alimfukuza Mwinyi kwenye nyumba. Inaonekana ni kitu ambacho hamna mwenye uhakika nacho
 
Acheninuonge. Aliyemfukuza Mwinyi ni Mzanzibar mwenzake kwa jina la Natepe. Mbona mnapenda kuzushia watu? Unapata faida gani kwa mfano?

Kwenye Ukurasa 92 wa Kitabu cha Mzee Ruksa, yeye mwenyewe Mwinyi amaemtaja Waziri huyo kuwa ni Jackson Makweta.
 
Kutoka kitabu cha Rais Mwinyi. Ni Makweta.
 

Attachments

  • IMG_1486.jpeg
    IMG_1486.jpeg
    524.6 KB · Views: 4
Amfukuze kwenye nyumba halafu ampe uwaziri! Ni roho nzuri sana. Mimi ningemuwajibisha ili ajutie kosa lake.
 
Sasa hapo tushike lipi sasa,marehemu brigedia Abdallah Natepe, Jackson Makweta au Hassan Moyo?
 
Kutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.

Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
Jackson makwetta
 
Amfukuze kwenye nyumba halafu ampe uwaziri! Ni roho nzuri sana. Mimi ningemuwajibisha ili ajutie kosa lake.
Hizo ni fikra za wale wote walio WAI KUTAMANI WENZAO WALIMIE KWA MENO
Nahakika angekua mtu mwingine ange hakikisha anamfanya makwetta aishi kama shetani

mzee mwinyi alikua na Roho ya kipekee sanaa
 
Kutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.

Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
ni marehemu jackson makweta
 
Back
Top Bottom