Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye Ukurasa 92 wa Kitabu cha Mzee Ruksa, yeye mwenyewe Mwinyi amaemtaja Waziri huyo kuwa ni Jackson Makweta.Acheninuonge. Aliyemfukuza Mwinyi ni Mzanzibar mwenzake kwa jina la Natepe. Mbona mnapenda kuzushia watu? Unapata faida gani kwa mfano?
Jinsi Natepe alivyomhenyesha Rais Ali Hassan Mwinyi
Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 83 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka Zanzibar anaitwa mzee Natepe kushika Uwaziri wa Mambo ya ndani ya nchi. Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka Waziri aliyemtangulia kutoka katika nyumba ya Waziri ili yeye aweze kukaa...www.jamiiforums.com
TBC wamuombe radhi hayati makwetaHatujatunga bali jana TBC ikiwa live walitamka ni Makweta, hivyo sio kosa letu
Piga picha Tusome. Mimi sijawah msikia Mwinyi akimtajaKwenye Ukurasa 92 wa Kitabu cha Mzee Ruksa, yeye mwenyewe Mwinyi amaemtaja Waziri huyo kuwa ni Jackson Makweta.
Na alivyo na sura mbaya sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jackson Makweta alikua na roho mbaya alikua waziri wa kilimo
😂😂 Haiwezekani. Huyu wakati huo alikuwa bado anachezea manati huko kijijiniSio kigwangala kweli?
Duuh alijiuzuru na kosa si lake, bila kumshurutisha mtu.
Jackson Makweta.Kutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.
Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
Jackson makwettaKutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.
Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
Nyerere alimchana🤣🤣🤣 Mama Siti amezeeka alikuwa ' chuma'.Hivi ni Rais gani alikuwa analalamikiwa kushauliwa na mkewe
Ndyo mkuu Inaitwa uwajibikajiDuuh alijiuzuru na kosa si lake, bila kumshurutisha mtu.
Hizo ni fikra za wale wote walio WAI KUTAMANI WENZAO WALIMIE KWA MENOAmfukuze kwenye nyumba halafu ampe uwaziri! Ni roho nzuri sana. Mimi ningemuwajibisha ili ajutie kosa lake.
makweta na mwinyi kamtaja kwenye kitabu chakeSasa hapo tushike lipi sasa,marehemu brigedia Abdallah Natepe, Jackson Makweta au Hassan Moyo?
ni marehemu jackson makwetaKutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.
Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
Ulikuwa hujazaliwa Acha mambo mengine yakupiteHuyu waziri alimfukuza Mwinyi wakati huo Mwinyi akiwa na cheo gani? Kosa la Mwinyi mpaka kufukuzwa lilikuwa lipi?
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Alikuwa na busara sana, mvumilivu na mwenye kusamehe.Kutoka kitabu cha Rais Mwinyi. Ni Makweta.
Tushike lililoandikwa kwenye kitabu chake. Tusiusemee moyo wake na kumbukumbu zake sahihi.Sasa hapo tushike lipi sasa,marehemu brigedia Abdallah Natepe, Jackson Makweta au Hassan Moyo?