Waziri gani alimdhulumu Rais mstaafu Mwinyi vifaa vyake vya ujenzi?

Waziri gani alimdhulumu Rais mstaafu Mwinyi vifaa vyake vya ujenzi?

Aliangalia siasa za Tz Bara, na ku balance uongozi wa kitaifa na si kuangalia kutokuwa muungwana kwakèeeeeee na zaidi ya hapo adhabu stahili kwa mtu asiye muungwana ni kumfanyia uungwana ndio atajifunza vizuri zaidi
Kuna Watanzania mamiloni wenye integrity angeweza kuwateua kama alimwona ni dhulumati.

Jitu dhulumati unalipaje uwaziri?

Fuatilieni news za dunia, someni magazeti, tembeeni dunia zilizoendelea muone utawala bora mjifunze umuhimu wa integrity kwenye teuzi.

Hivi unakuwaje balozi halafu waziri halafu Rais na unashindwa kupata exposure kuliko mimi niliyepo miaka yote Kilombero gulioni, how come ?????
 
Katika Kitabu cha kuelezea maisha yake Mstaafu Mwinyi anasema alipojiuzulu Uwaziri wa Mambo ya Ndani Waziri aliyechukua nafasi yake alimtaka ahamishe haraka mizigo yake ili yeye ahamie kwenye nyumba ya Serikali aliyokuwa anakaa Mzee Mwinyi.

Mzee Mwinyi alishindwa kuhamisha vifaa vyake vya ujenzi wa nyumba yake ya Mikocheni kwa Mwalimu, yule Waziri akamdhulumu.

Pamoja na ubazazi na udhulmati wa Waziri huyo lakini Mzee Mwinyi alipochaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimchukua Waziri huyo kwenye Baraza lake la Mawaziri.

Waziri huyo ni nani?
Huyo hapo
IMG_20210521_100940_499.jpg
 
Late Major General Abdalah Natepe
Ni Jackson Makweta ndiye alipaswa kuingia nyumba iliyokuwa inakaliwa na Ali Hassan Mwinnyi. Baada ya kukosa pa kwenda ndipo Kitwana Kondo akamkaribisha Mwinyi nyumbani kwake Upanga. Na hapo ndipo uswahiba kati ya Mwinyi na Kitwana Kondo ulipo shamiri

Ila yawezekana hiyo incidence ya mabati na cement ikawa ya Abdallah Natepe
 
Yaani ana roho safi sana. Wajanja ndio walimleta mizengwe kwa kupenyeza ajenda zao wakati wa utawala wake. Mama Samia ajifunze kitu. Sio kila mtu anaaminika 100%
JK alisema akili za kuambiwa changanya na za kwako
Roho safi asingeuza Roliondo.
 
Roho safi asingeuza Roliondo.
Hakuna eneo linaitwa Roliondo hapa Tamzania, pili hakuna eneo lolote lililouzwa Tanzania.

Ninachojua kampuni ya Ortelo Business Corp kutoka UAE inakodi hunting blocks huko Loliondo wilaya ya Ngorongoro
 
Hakuna eneo linaitwa Roliondo hapa Tamzania, pili hakuna eneo lolote lililouzwa Tanzania.

Ninachojua kampuni ya Ortelo Business Corp kutoka UAE inakodi hunting blocks huko Loliondo wilaya ya Ngorongoro

Jinga kabisa wewe
 
Ni Jackson Makweta ndiye alipaswa kuingia nyumba iliyokuwa inakaliwa na Ali Hassan Mwinnyi. Baada ya kukosa pa kwenda ndipo Kitwana Kondo akamkaribisha Mwinyi nyumbani kwake Upanga. Na hapo ndipo uswahiba kati ya Mwinyi na Kitwana Kondo ulipo shamiri

Ila yawezekana hiyo incidence ya mabati na cement ikawa ya Abdallah Natepe
Kiukweli alikuwa Lt. General Abdallah Natepe. Na ushahidi ni kwamba alipoteua Baraza lake la kwanza la Mawaziri alimbakisha kwenye wizara hiyo hiyo na akiwa anamwapisha alimwabia, "Sio kama nakupenda sana, bali nimekuteua kwasababu unafanya vizuri pale. Kaendelee kufanya vizuri!".
 
Kutoka katika historia ya Hayati Mwinyi moja ya jambo kubwa la kiungwana ni kumteua Waziri ambaye alimfukuza katika nyumba ya serikali.

Je atakuwa ni nani huyo? Maana mzee mpaka anafariki hajapenda kumtaja Ila ni vizuri atajwe tu ili watu wajifunze.
 
Huyu waziri alimfukuza Mwinyi wakati huo Mwinyi akiwa na cheo gani? Kosa la Mwinyi mpaka kufukuzwa lilikuwa lipi?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Mwinyi alijiuzuru kutoka uwaziri wa mambo ya ndani, hivyo baada ya kuachia ngazi hakuwa na cheo tena.

Ndipo Makweta aliteuliwa kuchukua nafasi yake, akijua Mwinyi sio lolote tena.
 
Daktari, unataka umjue huyo Waziri ili Umtukane?

Ni kuwa tu una mazoea ya kutukana watu humu.

Hatahivyo, unataka kutuaminisha kuwa haumjui? au Ndio hivyo tu, atajwe umtukane?
 
Back
Top Bottom