Tindikali
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 2,086
- 2,823
Alipata, sio "ali pata."Hivi akili yako ipo sawa?? Huja soma kwamba ali pata msukumumo wa kutakiwa kuondoka ili yeye aingie kwenye hiyo nyumba , Na arudi kwao ZnZ .
Na huja soma baadae muhusika alimpelekea mabati na cement alivyokuwa "white house"
Hujasoma, sio "huja soma."
Kuandika kwenyewe hujui halafu unaniuliza mimi kama akili zangu ziko sawa.
Pia Tanzania hakuna "white house," kuna State House.
Huwezi hata kuandika maneno ya Kiswahili, umesoma shule wapi wewe ?
Mwinyi hakupewa msukumo wa kuondoka, alijiuzulu mwenyewe kwa siku aliyopanga mwenyewe. Huwezi kuacha kazi halafu ukabaki kwenye nyumba.
Alijua anaondoka, akaacha eneo limezagaa building material utadhani construction site, alikosa uungwana. Mwenye chake muungwana.