Waziri George Simbachawene: Waliowashambulia wapenzi wakiwa faragha kwa madai ya kuwafumania wakamatwe

Waziri George Simbachawene: Waliowashambulia wapenzi wakiwa faragha kwa madai ya kuwafumania wakamatwe

ila waziri ana hoja kwanini uhangaike na mtu wakati hakupendi mwisho aje kukuwekea sumu kwenye chakula bure kama mapenzi yameisha kila mtu achukue hamsini zake kusiwe na uhasama life is too short ishu nyingine ni kwamba umekuta namchakata demu wangu kwenye gari eti unani mind ntakuja kupiga mtu bastola siku moja
Mkuu we huwajui wanawake Wa kiafrica,hakupendi na bado hataondoka hapo kwako,atachakatwa huko nje ,labda we ndo uamue kuchukua hamsini zako utokomee.
 
akichakata na wewe unachakata mkuu mbona rahisi tu maisha bila kuwa na mchepuko hayaendi utakufa na presha
Sawa mkuu yaani tit4tat.

Unanishauri na Mimi nitafute mchepuko mke Wa MTU ili twende sawa na wife sio?
 
Na kuhusu ndoa za mkeka vipi muheshimiwa waziri,uko na manzi yako geto,mara ghafla wanatokea watu na shehe mmoja,unashikwa mkono unaozeshwa kinguvunguvu,hii muheshimiwa aisemee kutunusuru sisi mabaharia.
 
Na kuhusu ndoa za mkeka vipi muheshimiwa waziri,uko na manzi yako geto,mara ghafla wanatokea watu na shehe mmoja,unashikwa mkono unaozeshwa kinguvunguvu,hii muheshimiwa aisemee kutunusuru sisi mabaharia.
... Huu ujinga bado upo dunia ya leo?
 

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Geoge Simbachawene ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata watuhumiwa waliowashambulia wapenzi wakiwa kwenye faragha wakidai kuwa wamewafumania.

Ametoa agizo hilo leo Agosti 6, 2021 jijini Dar es Salaama baada ya kuiona video iliyosambaa katika mitandao ya kijamii ikionyesha kundi la watu wakiwavamia wapenzi hao na kuwadhalilisha.
Waziri anatoa wapi Mamlaka ya Kutupangia Masuala yetu ya Faragha za Wapenzi wetu? Sisi huwa tunayaingilia ya Kwake?

Anakoelekea sasa huyu Waziri ni kutaka kutuambia kuwa Wanaume wanaowafanya Wapenzi wao Mabao mengi wayapunguze kwani wanazitesa 'Mbinye' zao.

Kama leo hii Tanzania imefikia kuwa na Waziri anayepoteza muda na Mambo ya Faragha za Kimapenzi za Watu huku akiyaacha au akishindwa 'Kudili' na Mambo makubwa na ya Kimsingi kabisa basi ni Hatari na huenda hiyo 'docket' husika ikawa imepata Waziri 'bogus' kuwahi kutokea hapo.

Yaani kabisa GENTAMYCINE nikufumanie 'unabanduliwa' halafu nisiiharibu kabisa 'reception' yako kwa Vichwa vyangu vya Meddie Kagere 'nimerogwa' au?

Tena hili Tamko la Waziri ndiyo limenipandisha Hasira kuna Mtu mpaka sasa hivi hajarudi na akirudi tu najua Kesho atahangaika kutafuta Hospitali ili akanunue Meno yake ya Bandia kwani aliyonayo ya Asilii naenda 'Kusepa' nayo mazima Usiku huu huu Kudadadeki.
 
Nimemsikiliza vizuri,amesema hivi wale ambao mnakaa na wanawake bila ndoa au mtu ana hawara lakini hakai nae halafu asikie hawara yupo Gest na mtu,huyo hana haki ya kumfumania mtu

Ila kama unataka kwenda kufumania hakikisha una cheti halali cha ndoa,Sio mtu ni demu au hawara yako kaamua kuachana na wewe au hata kama bado mpo nae halafu kaenda faragha na mtu mwingine wewe unatafuta watu mkafanye fumanizi,huna haki hio.

Unataka kwenda kufumania hakikisha una Cheti halali cha ndoa mkononi

Hata hivyo,ukifumania usijchukulie sheria mkononi
Afadhali umefafanua, maana kwa hii mada jinsi ilivyoandikwa hapa... Watu wangeanza kunsaka mke wa waziri ili watafune mbususu!! [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi ndugu George Simbachawene amewaonya wale wanaokusanyika ama kuandaa mafumanizi kuwa hilo ni Jambo lililo kinyume cha sheria hivyo ukifanya hivyo utakamatwa .

Amedai watu waachwe maana hizo ni faragha zao.

Chanzo: Mwananchi online.

Tuongee kikubwa ,kumbe sheria ya faragha inaruhusu hadi kunyandua mbususu za wake za watu?
Duuh! Huyu bwana yalimkuta miaka ya nyuma Dodoma hotel na mke wa mtu red handed ikamtoka 15M🤣🤣🤣 leo kashikilia Bango lazima cheti.
 
Waziri anatoa wapi Mamlaka ya Kutupangia Masuala yetu ya Faragha za Wapenzi wetu? Sisi huwa tunayaingilia ya Kwake?

Anakoelekea sasa huyu Waziri ni kutaka kutuambia kuwa Wanaume wanaowafanya Wapenzi wao Mabao mengi wayapunguze kwani wanazitesa 'Mbinye' zao.

Kama leo hii Tanzania imefikia kuwa na Waziri anayepoteza muda na Mambo ya Faragha za Kimapenzi za Watu huku akiyaacha au akishindwa 'Kudili' na Mambo makubwa na ya Kimsingi kabisa basi ni Hatari na huenda hiyo 'docket' husika ikawa imepata Waziri 'bogus' kuwahi kutokea hapo.

Yaani kabisa GENTAMYCINE nikufumanie 'unabanduliwa' halafu nisiiharibu kabisa 'reception' yako kwa Vichwa vyangu vya Meddie Kagere 'nimerogwa' au?

Tena hili Tamko la Waziri ndiyo limenipandisha Hasira kuna Mtu mpaka sasa hivi hajarudi na akirudi tu najua Kesho atahangaika kutafuta Hospitali ili akanunue Meno yake ya Bandia kwani aliyonayo ya Asilii naenda 'Kusepa' nayo mazima Usiku huu huu Kudadadeki.

Waziri amesema hakuna kufumaniana kama hauna cheti cha ndoa,na ni kweli utamfumaniaje mtu wakati hata kwao hautambulikiView attachment 1883454
 
Huyu waziri kalewa madaraka,aliongea haya akiwa wapi?Hivi haoni aibu kwa wizara anayoongoza na idara zake inavyoboronga?Siyo POLISI,Zimàmoto ama Magereza? Ufanisi wao ungekuwa kipaumbele vya waziri lakini mafumanzi!
Too low for Internal Affairs Minister.
Umesahau idara ya vitabulisho vya taifa NIDA, ni mwaka 4 sasa tunatembea na no. tu, huwa najiuliza kuanzia waziri hadi mkurugenzi wa hicho kitengo hawaoni aibu.
 
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi ndugu George Simbachawene amewaonya wale wanaokusanyika ama kuandaa mafumanizi kuwa hilo ni Jambo lililo kinyume cha sheria hivyo ukifanya hivyo utakamatwa .

Amedai watu waachwe maana hizo ni faragha zao.

Chanzo: Mwananchi online.

Tuongee kikubwa ,kumbe sheria ya faragha inaruhusu hadi kunyandua mbususu za wake za watu?
Uongozi wa sasa ni kumgandamiza MTU ili uonekane unafanya kazi
 
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi ndugu George Simbachawene amewaonya wale wanaokusanyika ama kuandaa mafumanizi kuwa hilo ni Jambo lililo kinyume cha sheria hivyo ukifanya hivyo utakamatwa .

Amedai watu waachwe maana hizo ni faragha zao.

Chanzo: Mwananchi online.

Tuongee kikubwa ,kumbe sheria ya faragha inaruhusu hadi kunyandua mbususu za wake za watu?
Nadhani hizi post za uwaziri zina tatizo kubwa mahali.. Mtu akishaipata akili humhama na kujikuta anaongea madudu mbele ya camera
 
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi ndugu George Simbachawene amewaonya wale wanaokusanyika ama kuandaa mafumanizi kuwa hilo ni Jambo lililo kinyume cha sheria hivyo ukifanya hivyo utakamatwa .

Amedai watu waachwe maana hizo ni faragha zao.

Chanzo: Mwananchi online.

Tuongee kikubwa ,kumbe sheria ya faragha inaruhusu hadi kunyandua mbususu za wake za watu?
Mtu akishiba hawezi kwenda kudoea kwa jirani
 
Back
Top Bottom