Waziri Gwajima: Askofu Gwajima ni shemeji yangu, alidai atamfufua Chifupa pia alikutwa na Mrembo akasema mkono wa Baunsa

Hoja kubwa alizoibua Waziri ni:
1. Gwajima kuwatuhumu kuwa wamehongwa ambalo ni kosa kubwa sana.
2. Gwajima kusema kuwa chanjo zina vitu ndani yake ambavyo vitawadhuru watanzania huko mbeleni. Hii ina maana kuwa waliohusika na uagizwaji wa chanjo wana nia ya kuwadhuru watanzania.

Waziri kutumia mifano ya uongo wa Gwajima ni kuonyesha kuwa ni pathological liar ambae hastahili kuaminiwa.

Ukweli ni kuwa dola ilitakiwa iwe imemhoji Gwajima zamani kuhusu tuhma hizi. Hivi mpinzani angesema kuwa viongozi wakuu wa serikali wamehongwa ili wakubali chanjo, Ai Jii Pii angengoja barua?

Amandla...
 
Umeongea kwa mipasho kama kawaida yako huku ukidemka ukimshambulia shemeji yako kwa mambo yasiyohusiana na chanjo.

Mambo ya yeye kulala na muumini wake we yanakuhusu nini?

Mambo ya kumfufua Amina Chifupa yanahusianaje na chanjo?
Kusoma hujui, ina maana hata picha ukutani huzioni! Sasa ikiwa mtu anajifanya anaweza kukufua wafu huku akishindwa kukufua hata ndugu zake wa damu... hivi hujui ni namna gani mtu wa aina hiyo anavyokosa uhalali wa kuaminiwa?!

Ina maana hujaona umuhimu wa Dr. Gwajina kusema hayo ili kuwaelewesha wasiotaka kuelewa kwamba Askofu Rasheed ni mtu anayestahili kupuuzwa?
Nimekusikia ukidai umeapa kwa AMIRI JESHI MKUU wa majeshi ya ulinzia na usalama. Huo ni uongo wewe ni RAIA kwa hiyo uliapishwa na RAIS wa JMT na sio Amirijeshi Mkuu.
And your point, is?
Kwa muktadha huo ukajipa Mamlaka ya kuwaagiza IGP na Mkuu wa TAKUKURU kuchukua hatua bila kujua huna mamlaka hayo, ona sasa kwa kuwa wanajua mipaka yao wamekudai uwape barua hadharani, hii ni fedheha kubwa sana kwako.
Hajawaagiza, namnukuu Dr. Gwajima hapa chini:-
Btw, hivi unahitaji hadi Askofu Rasheed akueleze kwamba hata wewe unaweza kwenda polisi kutaka mtu akamatwe ukiona amevunja sheria? Seuze waziri? Hadi hapo bado hujaona umuhimu wa Dr. Gwajima kuitaka TAKUKURU?! Ina maana HUJUI ni TAKUKURU ndio wenye mamlaka ya kumtaka Askofu Rasheed athibitishe tuhuma zake zarushwa?

So, ningekuelewa endapo ungesema Askofu Gwajima hajatuhumu yeyote kuchukua rushwa, vinginevyo nalazimika kumpa Dr. Gwajima the benefit of the dout.
Nikukumbushe tu wanaoapa kiapo cha utii kwa Amirijeshi Mkuu ni majeshi ya ulinzi na usalama na sio Raia.
Hoja yako HAINA MASHIKO
Haufai kuwa kiongozi na kufanya personal attack kwa kutumia cheo chako.
Hakuna personal attack aliyofanya bali alikuwa anawakumbusha watu wenye vichwa vigumu ni namna gani huyo wanayemuamini alivyokosa uhalali wa kuaminiwa!!
Bi Mkubwa akiziba pengo la Waziri wa Ulinzi hatakuacha anza kujiandaa.
Sasa habari za waziri wa ulinzi na Dr. Gwajima zinahusiana vipi?
 
Kama hujui nyamaza utaaibika
Kofia za rais zinatumika mahala husika.

Rais akimwapisha mteuliwa wa CCM anamwapisha kama Mkt wa Chama na sio RAIS
Kwahiyo Rais anapomwapisha waziri, anafanya hivyo kama Mwenyekiti wa chama?!

Ina maana Dr. Gwajima aliapishwa kama mteuliwa wa CCM au aliapishwa kama waziri wa serikali ya JMT?
 
"Ninaelekeza majieshi yote; ya polisi naTAKUKURU. Waende wakatumie sheria zao. Wamuite, awaeleze."
[emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312]
hapo juu sio AMRI?? Unaju maana ya mMAELEKEZO?

Wamekuruhusuje kwenda na simu shuleni?? au zinefungwa
 


Inaonesha unavoonesha UTOTO WAKO, RUDISHA SIMU YA MWALIMU NA UWAHI DARASANI.
 
Unalipwa??.Acha kisedemuhede hicho.
 
Si wamjibu hoja zake kwanza??!!.
 
Uhusiano mkubwa kwenye hii issue ni UONGO.

Rashid ni muongo na matapeli. Shemeji anawashangaa watu wanaomuamini mtu muongo kama huyu Askofu..... Na mifano kaitoa.
 
Kuwa na kiongozi anayeweza kula matapishi yake hadharani ni balaa kwa Taifa!! Walichokipinga hadharani hawana mamlaka ya kimaadili kukipigia debe hadharani!! Nashangaa kwa nini bado inategemewa kuwa kuna watu watamsikia na kumwelewa huyu mdelemkaji wa kike!! The same applies to her deputy! She is a disgrace to our nation!!
 
Aliyesema ni Dr. Dorothy Gwajima

So we unajua nasaba zao kuliko wenyewe.
Hujamsikia kwenye hio video ya maagizo?
Hata Gwaji boy naye alishawahi sema kabla kwamba ni shemeji wa Dr na ndugu wa mumewe Dr....
 
Kumbuka huyu Gwaji lady ni field marshall field Marshall ana apa kwa amiri jesh mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ,sema tu yeye alikosea badala ya kumrisha vikosi vya makomandoo vikamshughulikie shemela wake yeye ametuma vikosi vya usalama barabarani
 
"Ninaelekeza majieshi yote; ya polisi naTAKUKURU. Waende wakatumie sheria zao. Wamuite, awaeleze."

hapo juu sio AMRI?? Unaju maana ya mMAELEKEZO?
Maelekezo sio AMRI!! Na yeye kama waziri mwenye dhamana ana wajibu wa ku-deal na matapeli wa madhabahuni
Wamekuruhusuje kwenda na simu shuleni?? au zinefungwa
Huna akili ndo maana unashikiwa akili na Matapeli aina ya Gwajima!! Hapa chini, ni tapeli Gwajima akijifanya amemfufu binti "aliyekuwa amekufa"!

 
Jumapili ijayo Kanisani kwa Gwajima patajaaaa pomoni, kwa kauli hizi za Shemeji mtu mahubiri ya Jumapili itakuwa motroooo
Hayabadili ukweli kwamba Rashid Gwajima anayejiita askofu ni moja ya matapeli wakubwa kuwahi kutokea kwenye ardhi ya Tanganyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…