Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Hoja kubwa alizoibua Waziri ni:
1. Gwajima kuwatuhumu kuwa wamehongwa ambalo ni kosa kubwa sana.
2. Gwajima kusema kuwa chanjo zina vitu ndani yake ambavyo vitawadhuru watanzania huko mbeleni. Hii ina maana kuwa waliohusika na uagizwaji wa chanjo wana nia ya kuwadhuru watanzania.
Waziri kutumia mifano ya uongo wa Gwajima ni kuonyesha kuwa ni pathological liar ambae hastahili kuaminiwa.
Ukweli ni kuwa dola ilitakiwa iwe imemhoji Gwajima zamani kuhusu tuhma hizi. Hivi mpinzani angesema kuwa viongozi wakuu wa serikali wamehongwa ili wakubali chanjo, Ai Jii Pii angengoja barua?
Amandla...
1. Gwajima kuwatuhumu kuwa wamehongwa ambalo ni kosa kubwa sana.
2. Gwajima kusema kuwa chanjo zina vitu ndani yake ambavyo vitawadhuru watanzania huko mbeleni. Hii ina maana kuwa waliohusika na uagizwaji wa chanjo wana nia ya kuwadhuru watanzania.
Waziri kutumia mifano ya uongo wa Gwajima ni kuonyesha kuwa ni pathological liar ambae hastahili kuaminiwa.
Ukweli ni kuwa dola ilitakiwa iwe imemhoji Gwajima zamani kuhusu tuhma hizi. Hivi mpinzani angesema kuwa viongozi wakuu wa serikali wamehongwa ili wakubali chanjo, Ai Jii Pii angengoja barua?
Amandla...