Waziri Gwajima atangaza kumchukulia hatua za kisheria Masha Love na wanaochochea kuharibu maadili

Ndio kazi yake inayomuweka mjini, yaan wabongo wanafki jaman, sasa umelazimishwa kum'follow huyo masha love? Mmelazimishwa kuwafuata hao watoto wa 2000,? Yaan sijapenda kabisaa, kwa hiyo ndio mama ameanza kufunza adabu watu wote ataweza? Kwa taarifa yenu bora hao wanaojinengua kuliko hao wanaojifichaficha. Muacheni masha love afanye kazi yake inayomuingizia kipato ukiona unakereka tuliza mshono unfollow,. Mashalove hana shida yoyote mbona hao waimbaji wa nyimbo za bongo fleva mmewaona wanavyovaa? Jaman hebu angalieni na upande wa wasanii, Dunia imekuwa tusipomuangalia mashalove tutawasha youtube tutawaangalia wa mataifa mengine. Acheni wivu jaman
 
Mimi nikushauri nini wewe mwenye uelewa mdogo maana hata elimu yako ni hapa na pale tu.
Sasa wewe mwenye elimu ya huku na kule Mimi inanisaidiaje!? Hiyo elimu Yako ni faida kwako na mumeo tu,hata watoto wako hawana faida na hiyo elimu Yako ya huku na kule
 
Masha Love anaharibu vipi maadili ya jamii?
Kawalazimisha kufanya nini??
 
Huyu Mama una mu attack bure tu, huwa anajitahidi kwa kila linalofika mbele yake kwa kadiri ya uwezo wake huchukua hatua stahiki na sio kufanya kiki ama cheap popularity, kumbuka mwisho wa siku hana mamlaka zaidi ya kufikisha watuhumiwa kwenye vyombo husika, vyombo husika ndio vinaweza kusema hapa kuna kosa ama la, mfano suala la huyo binti unategemea likishafika polisi yeye ndio awaelekeze polisi kitu cha kufanya?!
 

Ukiwa na corola ukapata pancha, na kukaweka kale katairi kadogo kakusogeze, huwezi tukana gari kwamba linaenda taratibu maana unasogea kuliko kulala porini,

Pamoja na mambo mengi mabaya yanayotokea, nampongeza sana Gwajima kwa kazi nzuri na impact yake kwa wa Tanzania.

Kuna vitu ambavyo anaweza asiwe na Mamlaka navyo kutokana na kutokuwa na utawala mzuri wa Sheria, sasa sijui unataka asifanye chochote kabisa?
 
Anapenda connection.
 
Hii nchi bhana, kwani Taasisi na Mabaraza ya serikali yaliyokabidhiwa hiz mamlaka yenyew kazi zao ni uchawa tu haya hawayaoni kabisa?
 
Shida jamii ilishaharibika. Hata ukitokezea kupinga mmomonyoko wewe ndio utaonekana mbaya.
 
Alafu huyo hyo makampuni wanampa kazi za ubalozi wa bidhaa 😄
Hii nchi ki maadili ishapoteaa
Waziri Dkt. Gwajima D nchi hii watu wadada washakata kamba
Hawasikii hawaambiliki sahv

Ova
 
Utajisikiaje binti yako awe masha love ?
 
masha akifungwa, wasanii na wakubwa watapata wapi totoz za uhakika hapa mjini? maana ndio pimp
 
Utajisikiaje binti yako awe masha love ?
Kwani Mashalove kafikaje hapi alipo? Mlee mtoto katika njia impasayo nae hata iacha hata atakapokuwa mzee, (mzazi anahusika kumfikisha hapo acha makasiriko)

Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, nitajitahidi kumfanya mtoto wangu vile nitakavyo kwa msaada wa Mungu, umuonavyo mtoto ni matokeo ya malezi yake. So Mashalove msingi wake ulikuwa wa hivyo so huwezi kumbadilisha, (samaki mkunje angali mbichi) hapo madam anahangaika tuu,
 
Cheap popularity sasa Mimi inipeleke wapi kwa mfano? Yaani inisadie nini hasa wewe unavyodhani. Si usinipe tu hiyo popularity yaishe😀

Mimi nasimamia Yale ambayo nyie watanzania mmeyawekea Sheria ambazo zinatakiwa kusimamiwa kwa ajili ya kujenga maadili na kuwalinda watoto wenu. Ni hilo tu. Sheria ya mtandao kifungu cha 14 kasome Kiko online. Hii habari ya kuuliza serikali ina mkakati gani na mpango gani na Sheria ziko wapi, muwe mnakumbuka kuwa vyote vipi, na tukianza kusimamia tupeane ushirikiano rafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…