Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 966
- 6,019
Ndugu mwema katika JMT 🇹🇿, jambo likishafika mahakamani mimi na wewe hatuna nafasi ya kufuatilia wala kulihoji, huko ni uwanja wa mawakili, hivyo jaribu kutoa hoja kwa haki tafadhali. Elimu hiyo pokeaNonsense,cheap popularity,Dkt. Gwajima D una mambo mengi ya kufanya na watanzania tuna shida nyingi sana kuliko huu upuuzi ,mfatilie pia yule mkuu wa mkoa aliye Binti wa chuo kikuu sauti ,ukimalizana na Nawanda
Ukifanya haya nitajua uko siriazi na kazi yako
Hata mimi nimebaki 🤔, maana kumbe wengi hawajui sheria ya uendeshaji mahakama.Kesi si iko mahakamani ? Je Dr. Gwajima ni mahakama? Grow up
Na hoja ya kuna mengi ya kufanya, uko sahihi, ni kweli yapo mengi na katika hayo mengi ni likiwemo na hili la kusimamia maadili, labda kama hufahamu tu majukumu ya wizara hii. Siyo vibaya kutofahamu kwani unaweza kurejea tu taarifa zetu ziko online, upi ni wajibu wetu kwenye maadili ambayo, ulikuwa mjadala wa nchi tarehe 17 Mei 2024 bungeni, labda kama mwenzetu huwa hufuatilii chochote kingine zaidi ya nikiingia kwenye ajenda hizi tu. Jitahidi basi kuwa unafuatilia mambo mengi mengi pia.Nonsense,cheap popularity,Dkt. Gwajima D una mambo mengi ya kufanya na watanzania tuna shida nyingi sana kuliko huu upuuzi ,mfatilie pia yule mkuu wa mkoa aliye Binti wa chuo kikuu sauti ,ukimalizana na Nawanda
Ukifanya haya nitajua uko siriazi na kazi yako
Mheshimiwa kuna kada mmoja mkubwa aliwahi sema huko mahakamani ni simu moja tu hupigwa na maamuzi hutolewa! Vipi wewe kama waziri huwezi kufanya jambo hili kesi hizi za unyanyasaji wa kijinsia zitolewe hukumu haraka na kwa haki?Ndugu mwema katika JMT 🇹🇿, jambo likishafika mahakamani mimi na wewe hatuna nafasi ya kufuatilia wala kulihoji, huko ni uwanja wa mawakili, hivyo jaribu kutoa hoja kwa haki tafadhali. Elimu hiyo pokea
Mbona kama umeongozwa na chuki binafsi au maslah binafsi. Tatizo kwa Dr. Gwajima hapo ni nini? Kunywa maji au juice utulie. Na waambie wanaokutuma waje kivingine.Nonsense,cheap popularity,Dkt. Gwajima D una mambo mengi ya kufanya na watanzania tuna shida nyingi sana kuliko huu upuuzi ,mfatilie pia yule mkuu wa mkoa aliye Binti wa chuo kikuu sauti ,ukimalizana na Nawanda
Ukifanya haya nitajua uko siriazi na kazi yako
Acha kunipangia ndugu,kama wewe ni chawa wake ni wewe na Wala sijatoa hoja kwakoMbona kama umeongozwa na chuki binafsi au maslah binafsi. Tatizo kwa Dr. Gwajima hapo ni nini? Kunywa maji au juice utulie. Na waambie wanaokutuma waje kivingine.
Kwa kweli katika mimi ku interact na watanzania walio wengi online, huwa kuna wakati BAADHI yao nawashangaa kuwa, hivi huwa hawajui majukumu ya wizara mbalimbali na Sheria zake au huwa inakuwaje mtu anakushangaa kwa jambo ambalo ni kwa mujibu wa majukumu yako na kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambazo Kila siku wanasema zitungwe na zisimamiwe kikamilifu. Halafu Sasa, akatokea mmoja akaanza kusimamia, inainuka mtu kupinga na kushangaa kulikoni.Kama wasaidizi wapo kwahiyo yeye aache kufanya kazi kabisa? Mbona anayofanya ni majukumu yake katika hilo, na hiyo wala sio amri yake bali ni sheria ya JMT, kwahiyo kusimamia sheria nalo kosa mkuu?
Acha kumsingizia, simjui, hanijui, na sihitaji hilo kwani Mimi mwenyewe mbona tosha kabisa. Yeye anasema maoni yake kama wewe hapo ulivyosemaAcha kunipangia ndugu,kama wewe ni chawa wake ni wewe na Wala sijatoa hoja kwako
Ungenifahamu vema nilivyo, wala usingewaza kuwa naweza kufanya hayo.....Mheshimiwa kuna kada mmoja mkubwa aliwahi sema huko mahakamani ni simu moja tu hupigwa na maamuzi hutolewa! Vipi wewe kama waziri huwezi kufanya jambo hili kesi hizi za unyanyasaji wa kijinsia zitolewe hukumu haraka na kwa haki?
Ungetaka kumfikishia ujumbe Waziri ungemtumia PM, lkn kwakuwa umeanzisha uzi tulia watu wachambue Pamba na Mashudu tulia kabisaaaaa acha kuwashwa washwa na usitupangie nini cha kuchangia. Shiiit.Acha kunipangia ndugu,kama wewe ni chawa wake ni wewe na Wala sijatoa hoja kwako
Dada yangu endelea na kazi zako hapa tuna vijana wa hovyo sana utajishusha hadhi kubishana nao,Ungenifahamu vema nilivyo, wala usingewaza kuwa naweza kufanya hayo.....
Mbona kama umeongozwa na chuki binafsi au maslah binafsi. Tatizo kwa Dr. Gwajima hapo ni nini? Kunywa maji au juice utulie. Na waambie wanaokutuma waje kivingine.Acha kunipangia ndugu,kama wewe ni chawa wake ni wewe na Wala sijatoa hoja kwako
Kiuhalisia alieanzisha uzi ni aidha hajui majukumu yako katika wizara husika au ameamua tu kukandia bila sababu ya msingi ila kazia uzi hapo hapo usiachie,, maana ukiacha hao hao ndio watakupiga mawe na watasema maadili ya mtanzania yamedorora na watasema huwajibiki ipasavyo.Kwa kweli katika mimi ku interact na watanzania walio wengi online, huwa kuna wakati BAADHI yao nawashangaa kuwa, hivi huwa hawajui majukumu ya wizara mbalimbali na Sheria zake au huwa inakuwaje mtu anakushangaa kwa jambo ambalo ni kwa mujibu wa majukumu yako na kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambazo Kila siku wanasema zitungwe na zisimamiwe kikamilifu. Halafu Sasa, akatokea mmoja akaanza kusimamia, inainuka mtu kupinga na kushangaa kulikoni.
Awali nilidhani, wanaomiliki simu janja na siku zote wako online humu wote huwa basi walau wanajua kila kitu, kumbe nilijidanganya.
Ukienda kwa watanzania wengine pamoja na wasio online kule wanakuambia, mbona hamchukui hatua maadili yanazidi kuporomoka? Ukianza kuchukua hatua, BAADHI ya wa online wanasema ndiyo kitu gani hiki cha hovyo huyu anafanya?
Yaani msimamo sasa ni Bora tu uwe kwamba, Kila mmoja ashike la kwake, wa kusimamia majukumu na Sheria asimamie na wa kulaumu naye alaumu tu kwa bidii, pia aelimishwe tu kwa bidii na upole wa hekima, alitaka aelewe alitaka asielewe napo sawa kwani, Kipimo cha haki kitakuja kwa wakati wake.
Mheshimiwa ni kweli huwezi kuingilia mahakama lakini wewe kama waziri una fanya jitihada gani kuhakikisha kwamba waathirika wa matukio ya unyanyasaji wa kijinsia wanapata haki zao. Mfano ni binti aliyadai kuingiliwa kinyume cha maumbile na mkuu wa wilaya. Ni lini utapeleka mswaada bungeni wa kuhakikisha mahakama zinakuwa huru ili ziweze kutetea haki za wananchi wengi wanao onewa nchi hii na wenye nguvu?Ungenifahamu vema nilivyo, wala usingewaza kuwa naweza kufanya hayo.....
Naona mmeshindwa kujibu hoja zangu mmekuja kunishambulia,Sasa Wacha nijipange mtakipimbia tuAcha kumsingizia, simjui, hanijui, na sihitaji hilo kwani Mimi mwenyewe mbona tosha kabisa. Yeye anasema maoni yake kama wewe hapo ulivyosema
Upo sahihi mheshimiwa.Cheap popularity sasa Mimi inipeleke wapi kwa mfano? Yaani inisadie nini hasa wewe unavyodhani. Si usinipe tu hiyo popularity yaishe😀
Mimi nasimamia Yale ambayo nyie watanzania mmeyawekea Sheria ambazo zinatakiwa kusimamiwa kwa ajili ya kujenga maadili na kuwalinda watoto wenu. Ni hilo tu. Sheria ya mtandao kifungu cha 14 kasome Kiko online. Hii habari ya kuuliza serikali ina mkakati gani na mpango gani na Sheria ziko wapi, muwe mnakumbuka kuwa vyote vipi, na tukianza kusimamia tupeane ushirikiano rafiki.
Yaani unatumwa na mashalove kuja mshambulia waziri tena ambaye ni dr.huoni hata aibu we dogo...bwege sana kukubali kutumika na watu wa hovyo. Halafu ulidhani umeandika cha maana.kumbe hivyo kabisa.Nonsense,cheap popularity,Dkt. Gwajima D una mambo mengi ya kufanya na watanzania tuna shida nyingi sana kuliko huu upuuzi ,mfatilie pia yule mkuu wa mkoa aliye Binti wa chuo kikuu sauti ,ukimalizana na Nawanda
Ukifanya haya nitajua uko siriazi na kazi yako