Waziri Gwajima atangaza kumchukulia hatua za kisheria Masha Love na wanaochochea kuharibu maadili

Waziri Gwajima atangaza kumchukulia hatua za kisheria Masha Love na wanaochochea kuharibu maadili

Maoni yako mazuri kabisa. Ila sasa, pamoja na ugumu wake, Hali inakuwa mbaya zaidi iwapo hakuna wa kusema, na kukemea na kuwasogezea Sheria wahusika. Kuna vita aina mbalimbali siyo hii tu, kuna vita dhidi ya madawa ya kulevya, tumezaliwa tumeikuta na hata Leo watu wanapigana, kuna magonjwa mbalimbali tumeyakuta, watu wanapigana na hayajaisha, na mengine yamepungua. Mimi na wewe tusipoanza vita hii kumbe duniani tumekuja kufanya nini sasa? Kupunguza tatizo au kuliongezea?

Kila mmoja atafakari achukue hatua anazoona zinafaa kati ya kupunguza au kuongeza. Tutalipwa na Mungu kwa wakati wake
Muheshimiwa usisahau na kwenye media vitu wanavyovihoji mastar haviendani na maadili na desturi. Na huku kwenye mastar kuna kundi linaitwa wasanii wakati tunaelekea kwenyebuchaguzi hakikisha chama cha ccm hakitumii wale wasanii wanaoimba nyimbo za ajabu nakusisitiza hili maana hao ndo wasanii maarufu mwisho kabisa zoezi liwe endelevu hata kama ukitoka kwenye hiki kitengo watakaofata waendeleze.
Nikutakie kila la kheri mkuu
 
Ndio kazi yake inayomuweka mjini, yaan wabongo wanafki jaman, sasa umelazimishwa kum'follow huyo masha love? Mmelazimishwa kuwafuata hao watoto wa 2000,? Yaan sijapenda kabisaa, kwa hiyo ndio mama ameanza kufunza adabu watu wote ataweza? Kwa taarifa yenu bora hao wanaojinengua kuliko hao wanaojifichaficha. Muacheni masha love afanye kazi yake inayomuingizia kipato ukiona unakereka tuliza mshono unfollow,. Mashalove hana shida yoyote mbona hao waimbaji wa nyimbo za bongo fleva mmewaona wanavyovaa? Jaman hebu angalieni na upande wa wasanii, Dunia imekuwa tusipomuangalia mashalove tutawasha youtube tutawaangalia wa mataifa mengine. Acheni wivu jaman
Mkuu watoto wa 2000 wakimuona Masha wanajua hayo ndiyo maisha watacopy na kupaste .... Wacha pazibwe kama Kuna ukwl hatujui roho ngapi zitapona nyuma..... Lkn kwl Kuna watu ni Wachafu Wachafu haswa ila wako ndani ya suti sirikalini huko sema ndo hivyo
 
Mbona tumeanza na wengi tu, mbona watu wanajisahaulisha. Je hatukuanza na wale wavaa majoka mwilini na wakaanza promo eti wakilala nayo wanapata hela? Tulikemea. Je hatukukemea kuhusu babu wa TikTok? Je hatukukemea kuhusu mambo ya uongo uongo mengine mengi tu? Vipi hili liwe keleleeee nyiiiingiiii ...

Watuache tufanye kazi za nchi, hakuna ubaguzi ni Kila mmoja na muda wake ukifika anaibuliwa anatengenezwa kuwa mwema.

Hakuna lingine, tushirikiane
Eeeh hii ya majoka nilipitwa geezers
 
Mkuu watoto wa 2000 wakimuona Masha wanajua hayo ndiyo maisha watacopy na kupaste .... Wacha pazibwe kama Kuna ukwl hatujui roho ngapi zitapona nyuma..... Lkn kwl Kuna watu ni Wachafu Wachafu haswa ila wako ndani ya suti sirikalini huko sema ndo hivyo
Kawakalisha sana chupa za mtk
Wadada huyoo 😄

Ova
 
Mkuu watoto wa 2000 wakimuona Masha wanajua hayo ndiyo maisha watacopy na kupaste .... Wacha pazibwe kama Kuna ukwl hatujui roho ngapi zitapona nyuma..... Lkn kwl Kuna watu ni Wachafu Wachafu haswa ila wako ndani ya suti sirikalini huko sema ndo hivyo
Kila mtu apambane na mzigo wake, Shangilieni waliimba "Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe" kila mtu apambane na hali yake mwenyewe, hao wanaojidai wasafi wanakula tuu kuku kwa mrija wakati kuna watu wanastruggle, mm sitaki kumnyooshea mtu kidole, huwezi jua anapitia changamoto gani. Wasanii wanavaa ovyo basi na wao wawakate kuvaa, kama zuchu na wengenio tena zuchu ndio kazidi kabisa, wamuache huyo mashalove wa watu apambane kwanza analea familia yake muacheni jaman
 
Fanya hivi, pendekeza sasa ile sheria iliyopo ifutwe. Vinginevyo, hapa unaongezea notice tu rafiki mpendwa. Halafu Sasa hizi kiki mnazisemaga, hivi huwa faida yake nini hasa? Wewe si uache tu kuzitoa hizi kiki😃

Maana kwa kuchangia tu mada unakuwa umesha kick hiyo ajenda, watu wanakuja kusoma na kuona yaliyomo
Sitaki kumzungumia Mashalove pekee, na mm sio mpenda Kick kwa kweli, ninachotaka kusema wapo wasanii wanafanya na kuvaa vitu vya ajabu kama kina zuchu, so mama utawashitaki wangapi, unajua mambo yanabadilika kwa kweli, zamani wanamziki hawakuwa wakivaa kama kina mashalove so tuangalie nyakati tulizonazo, wataacha kuvaa hivyo wakina mashalove lakini television zitakuwa zinarusha nyimbo ambazo zina watu waliovaa zaidi ya mashalove ninachotaka kusema mashalove ameathiri jamii kwa mavazi yake au kina zuchu kwa kiasi gani? Je hao wanaoonyesha wanamziki wa nje je hawajaathiri kizazi cha 2000.

Nimekaa na ndugu zangu wanawatoto na wanalelewa vzr yena kwa misingi ya Dini, so kila mzazi afanye jukumu lake. Mlee mtoto katika njia impasayo nae hataicha haya atakapokuwa mzee.

Unafanyakazi nzr sana na nakupenda ila pia kuna mahali pia pa kuangalia, au Mama yangu kama mnaweza kiwakusanya na kuwasikiliza kujua kwa nini wanafanya hivyo mtakuwa mmewasaidia wengine wanamachungu moyon na wengine wameshajikatia tamaa.
 
Sitaki kumzungumia Mashalove pekee, na mm sio mpenda Kick kwa kweli, ninachotaka kusema wapo wasanii wanafanya na kuvaa vitu vya ajabu kama kina zuchu, so mama utawashitaki wangapi, unajua mambo yanabadilika kwa kweli, zamani wanamziki hawakuwa wakivaa kama kina mashalove so tuangalie nyakati tulizonazo, wataacha kuvaa hivyo wakina mashalove lakini television zitakuwa zinarusha nyimbo ambazo zina watu waliovaa zaidi ya mashalove ninachotaka kusema mashalove ameathiri jamii kwa mavazi yake au kina zuchu kwa kiasi gani? Je hao wanaoonyesha wanamziki wa nje je hawajaathiri kizazi cha 2000.

Nimekaa na ndugu zangu wanawatoto na wanalelewa vzr yena kwa misingi ya Dini, so kila mzazi afanye jukumu lake. Mlee mtoto katika njia impasayo nae hataicha haya atakapokuwa mzee.

Unafanyakazi nzr sana na nakupenda ila pia kuna mahali pia pa kuangalia, au Mama yangu kama mnaweza kiwakusanya na kuwasikiliza kujua kwa nini wanafanya hivyo mtakuwa mmewasaidia wengine wanamachungu moyon na wengine wameshajikatia tamaa.
Hivi mashalove ni msanii naye

Ova
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalum Dkt. Gwajima D ametangaza kumchukulia hatua za kisheria Masha Love na wanaochochea kuharibu maadili
Waziri ameandika; "Kwani huyu mashalove ambaye kila siku mnamtaja taja humu link yake Iko wapi tuone yaliyomo? Maana Kila mtu humu mashalove Masha Love"

"Na wengine ni akina nani hao ambao tunasema waache mambo ya kuchochea mmomonyoko wa maadili wao hawasikii la mwalimu wala la daktari? Na huku sheria tunazo".
Soma, Pia:
Mama wa watoto 8 atorokwa na mumewe, aomba msaada
Zimamoto kazini.
 
Inshort wanaojiita wasanii sijui macelebrity wanaharibu jamii ya watanzania hasa watoto kimaadili...wapewe onyo kali...
Wasije wakanya nchi ikateketezwa kama sodoma na gomorah...
Kwani BASATA wenyewe wanasemaje kuhusu hao Wasanii!!??
 
Kuna juma lukole kamusahau huwaga anapost wanwake sijui wanatangaz biashara ya sindiria na chupi akitoka hapo awasiliane na basata aone ile video clip ya lava lava kapost uchi kabisa yule demu
 
Aanze na ambe rutty
G money
Na wengine wanao chez picha za uchi
Hapo nakuelewa wale wanaocheza picha za ngono ndio aanze nao ila Mashalove hajawahi cheza picha za ngono, kuna mahali huwa kuna baikoko wanacheza uchi na wanatia midole sehemu, sasa hao ndio wa kuanza nao
 
Aisee mimi huwa sisomi hivyo vitu wanavyoandika hao mabongo fleva.

Kwani kasemaje huyo masha love.
 
Cheap popularity sasa Mimi inipeleke wapi kwa mfano? Yaani inisadie nini hasa wewe unavyodhani. Si usinipe tu hiyo popularity yaishe😀

Mimi nasimamia Yale ambayo nyie watanzania mmeyawekea Sheria ambazo zinatakiwa kusimamiwa kwa ajili ya kujenga maadili na kuwalinda watoto wenu. Ni hilo tu. Sheria ya mtandao kifungu cha 14 kasome Kiko online. Hii habari ya kuuliza serikali ina mkakati gani na mpango gani na Sheria ziko wapi, muwe mnakumbuka kuwa vyote vipi, na tukianza kusimamia tupeane ushirikiano rafiki.
Piga kazi waziri. Kwenye hili la kuwashughulikia waharibifu nakuunga mkono.
 
Cheap popularity sasa Mimi inipeleke wapi kwa mfano? Yaani inisadie nini hasa wewe unavyodhani. Si usinipe tu hiyo popularity yaishe😀

Mimi nasimamia Yale ambayo nyie watanzania mmeyawekea Sheria ambazo zinatakiwa kusimamiwa kwa ajili ya kujenga maadili na kuwalinda watoto wenu. Ni hilo tu. Sheria ya mtandao kifungu cha 14 kasome Kiko online. Hii habari ya kuuliza serikali ina mkakati gani na mpango gani na Sheria ziko wapi, muwe mnakumbuka kuwa vyote vipi, na tukianza kusimamia tupeane ushirikiano rafiki.
Ile video ya wanafunzi wa Tabora nilikuomba kule mtandao wa X ukaninyima. Wewe umeomba link ya Masha love.

Ndivyo ilivyo ungenitumia Ile video ningepata uchungu sana wa kukemea. Awamu nyingine nifanyie wepesi tafadhari.
 
Sasa ndiyo unaongea vema. Shida za nchi yetu ni huu utaratibu wa watu kuomba Sheria itungwe, halafu wakati wa kutoa maoni hawaji na wito hutolewa online pia siku kadhaa, halafu sheria ikishatungwa na kusambazwa ikiwemo online humu, hawafuatilii. Ikianza kutekelezwa wanaanza kumlaumu mtekelezaji na kudhani amekuja na yake tu. Niwaambie ukweli, Hali hii huvunja mioyo watu wenu wengi wenye Nia ya kusimamia hayo mabadiliko. Hubaki wenye mioyo migumu tu na kama kawaida huwa ni wachache Sana. Hivi hasara hupata nani hapo?

Mfano hebu soma hicho kifungu cha 14. Je hapa nani wa kumshangaa mwenzake?

Haya, umesema vema, hata hao mashoga wanajiuza humo online na picha zao, kifungu Chao cha kwanza hicho hapo, mimi na wewe na wote tunatakiwa kuwa walalamikaji. Tutalalamikaje na Sheria hatuzijui na hatufuatilii Ili tutoe taarifa wenye Sheria husika wafanyie kazi? Sasa tunaanza kuinua Sheria husika, tayari anayeinua anashambuliwa.

Hivi huwa tunatakaje? 🇹🇿
Dkt.

Tunaomba ukikutana na Mwigulu kwenye baraza umshauri akija Jamii Forum kuanzisha uzi awe anawajibu members kama ufanyavyo wewe.


Ana tabia anaanzisha uzi kisha anakimbia maswali ya members.


Mwambie asiogope maswali yetu.
 
Back
Top Bottom