Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Muheshimiwa usisahau na kwenye media vitu wanavyovihoji mastar haviendani na maadili na desturi. Na huku kwenye mastar kuna kundi linaitwa wasanii wakati tunaelekea kwenyebuchaguzi hakikisha chama cha ccm hakitumii wale wasanii wanaoimba nyimbo za ajabu nakusisitiza hili maana hao ndo wasanii maarufu mwisho kabisa zoezi liwe endelevu hata kama ukitoka kwenye hiki kitengo watakaofata waendeleze.Maoni yako mazuri kabisa. Ila sasa, pamoja na ugumu wake, Hali inakuwa mbaya zaidi iwapo hakuna wa kusema, na kukemea na kuwasogezea Sheria wahusika. Kuna vita aina mbalimbali siyo hii tu, kuna vita dhidi ya madawa ya kulevya, tumezaliwa tumeikuta na hata Leo watu wanapigana, kuna magonjwa mbalimbali tumeyakuta, watu wanapigana na hayajaisha, na mengine yamepungua. Mimi na wewe tusipoanza vita hii kumbe duniani tumekuja kufanya nini sasa? Kupunguza tatizo au kuliongezea?
Kila mmoja atafakari achukue hatua anazoona zinafaa kati ya kupunguza au kuongeza. Tutalipwa na Mungu kwa wakati wake
Nikutakie kila la kheri mkuu