#COVID19 Waziri Gwajima Kiboko! Ni Mwanamke wa Shoka… Amuita mtu ‘Kibwetere’. Unamjua huyo Kibwetere ni nani na Wakoje naye?

Upumbavu na upuuzi umetamalaki Tanzania.
 
Dr. Gwajima hajajibu hoja “nzito” za Askofu Gwajima.

Sanasana alichoreveal bila kujua ni kwamba amekiri kwamba Wizara haijafanya tafiti yoyote zaidi ya kugoogle tu walichoandika wazungu na kuruhusu kiwe shared kwenye www world. Na sasa anashauri na sisi tukasearch google!
 
Kwahiyo kwa mujibu wa Gwajima rais,CDF,mjane jokate,Kamanda Sirro wote wanashiriki majaribio ya chanjo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…