Waziri Gwajima kukomesha ukatili baada ya video ya Mama akimshambulia mtoto kusambaa


Mama mwenyewe anahitaji elimu ya malezi na msaada kulea watoto ana stress sana.
 
Kweli nyakati zimebadilika wakati tunakuwa tumechezea kichapo kweli ingekuwa wakati zama hizi kumbe wazazi walikuwa wanaenda selo
Kichapo cha kawaida kabisa hiko ,wangemuona mama yangu ( alale salama ) enzi hizo basi angekuwa jela sahv maana hiko kichapo hata robo hakifikii ,huyo mtoto kachapwa kikawaida sana
 
mara nyingi watu wa hivo wana stress sina hakika kama baba yuko
Niko pamoja nawe, lakini kwanini mzazi Stress zake zimsababishie maumivu mtoto badala ya kumtafuta mwenza wake na kugombana nae!? It doesnt make any sense!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…