Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani wastaafu wako wawili tu?View attachment 2635275
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Innocent Bashungwa @innocentbash amewakabidhi magari mapya Wakuu wa Majeshi Wastaafu kwa maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Wakuu wa Majeshi Wastaafu waliokabidhiwa magari ni CDF Mstaafu George Waitara na Robert Mboma na makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za Wizara ya Ulinzi Mtumba Jijini Dodoma
Akikabidhi Magari hayo, Waziri Bashungwa amesema kuwapatia Wastaafu hao magari ni sehemu ya maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba wapatiwe magari mapya ambayo yanatengenezeka na spea zake zinapatikana kwa urahisi.
“Wakuu hawa wa Majeshi Wastaafu walifanya kazi kubwa na iliyotukuka kipindi cha utumishi wao kwa Nchi yetu, Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan imewapatia magari na kuwatakia kheri na maisha marefu Majenerali Wastaafu hawa”
AYO TV
CDF ( Chief of Defence forces) ni Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama ( ikiwemo jeshi la Polisi)Wakuu wa wabrashi viatu wao haiwahusu? au ndo waliamua kujichangachanga wenyewe walau wakatoa ile Prado...
Umemshusha hadhi afisa mahiri sana kuwahi kutokea wa tanpolNdio size yao hawajitambui.
kuweka hadharani circular za Serikali ni kosa kwa mujibu wa sheriaKutaja miaka ni kosa, hapa una refer to kifungu gani? Kindly share hicho kifungu, au kushare hicho kifungu cha sheria nayo ni kosa?
CDF ( Chief of Defence forces) ni Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama ( ikiwemo jeshi la Polisi)
wengi wanadhani akitajwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama maana yake ni Mkuu wa Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) huyu ni Bosi wa Majeshi yote na ndio sababu wakuu wote wa Jeshi la Polisi, Magereza, Uhamiaji ni wasaidizi wake
jeshi la Polisi ni sehemu ya Defence forces
hivyo IGP kupewa gari sawa na Bosi wake si sawa
Kwa kweli sisemi neno zaidi ya kusisitiza UZALENDO kwa Taifa maskini la Tanzania.View attachment 2635275
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Innocent Bashungwa @innocentbash amewakabidhi magari mapya Wakuu wa Majeshi Wastaafu kwa maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Wakuu wa Majeshi Wastaafu waliokabidhiwa magari ni CDF Mstaafu George Waitara na Robert Mboma na makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za Wizara ya Ulinzi Mtumba Jijini Dodoma
Akikabidhi Magari hayo, Waziri Bashungwa amesema kuwapatia Wastaafu hao magari ni sehemu ya maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba wapatiwe magari mapya ambayo yanatengenezeka na spea zake zinapatikana kwa urahisi.
“Wakuu hawa wa Majeshi Wastaafu walifanya kazi kubwa na iliyotukuka kipindi cha utumishi wao kwa Nchi yetu, Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan imewapatia magari na kuwatakia kheri na maisha marefu Majenerali Wastaafu hawa”
AYO TV
Umemshusha hadhi afisa mahiri sana kuwahi kutokea wa tanpol
Dah...!wanayo kama Mabeyo watu wa kwanza kwanza kuwa na L300 hapa tanzania na hata duniani kwa ujumla
Na jenerali Musuguri D.Mwamunyange
Mabeyo
Hawa vipi? Wao hawahusiki au??
Nimeona hata Bajeti ya Wizara ya ulinzi nimkubwa sana ,Til.3 za wazi Je ambazo hazitajwi ni kiasi gani?Kwa kweli sisemi neno zaidi ya kusisitiza UZALENDO kwa Taifa maskini la Tanzania.
Wanajeshi tunapaswa kuwajali sana yes. Wana uzalendo wa kweli. Lakini tunapaswa pia kukumbuka kuwa nchi ipo kwenye mkongojo wa kouchumi.
Enewei nisiandike sana, mdomo koma!
Duuuh hatareeee sanaaa yaan.
Huyo si ndo mwenye miaka 103?Na jenerali Musuguri D.
Duuuh hatareeee sanaaa yaan.
Aseeeeh watu wanakula good life hadi waseme inatoshaa.Hapo ilikua kwenye gwaride maalumu la kumuaga ndio katandikwa na gari ili akale maisha vizuri
Bei ya spea za haya magari kwa wastaafu itakuwa rafiki kweli?!Akikabidhi Magari hayo, Waziri Bashungwa amesema kuwapatia Wastaafu hao magari ni sehemu ya maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba wapatiwe magari mapya ambayo yanatengenezeka na spea zake zinapatikana kwa urahisi.
Huyo si ndo mwenye miaka 103?
Labda kwa uzee wake wameamua kumuacha apumzike home.