Waziri Innocent Bashungwa awakabidhi Wakuu wa Majeshi Wastaafu Land Cruiser LC300 mpya

 
Kweli mwenye nacho huongezewa...kama ni kununua Ambulances zingepatikana ngapi?..na zingeokoa maisha ya wangapi?...najua mtasingizia sheria..haya bwana ILA yana mwisho haya
 
David msuguri yeye hajapewa gari kama wenzake?au yeye lake hawajalipia
 
Acha uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…