Stephan Lichtsteiner
JF-Expert Member
- Sep 13, 2022
- 520
- 1,476
Watu bwana wanavoisema 70th Annivesary J150 utasema passo ile chuma babuHahahahah sirro kapewa Prado J150 inamtosha sana kuvimbia 70th Annivesary ile. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu bwana wanavoisema 70th Annivesary J150 utasema passo ile chuma babuHahahahah sirro kapewa Prado J150 inamtosha sana kuvimbia 70th Annivesary ile. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nini maana ya Defence?CDF ( Chief of Defence forces) ni Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama ( ikiwemo jeshi la Polisi)
wengi wanadhani akitajwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama maana yake ni Mkuu wa Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) huyu ni Bosi wa Majeshi yote na ndio sababu wakuu wote wa Jeshi la Polisi, Magereza, Uhamiaji ni wasaidizi wake
jeshi la Polisi ni sehemu ya Defence forces
hivyo IGP kupewa gari sawa na Bosi wake si sawa
Musuguri wamemsahau?Mabeyo alishapewa alivyostaafu mwaka jana Mwamunyange Bado ana LC 200 lake la zamani
Hakuna asiyependa kuvimba kwenye lile li V6 twin turbo la kisasa.Linamtosha
Kamanda Sirro wamempa Prado
Kanali hana lake jeshini aki staafu, njoo kitaa nikuoneshe makanali wastaafu tunao gombea nao mbegeNi kuanzia Cheo cha Kanali
Oooh hapo sawaaah,Mabeyo alishapewa alivyostaafu mwaka jana Mwamunyange Bado ana LC 200 lake la zamani
Ahsantee kwa ufafanuzii.Sema sijui kwanini wabongo mnakomaa kwamba CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi tu wakimaanisha zile kamandi za JWTZ (Airforce, Navy, Land, JKT, MMJ) lakini majeshi ya usalama (Polisi, Uhamiaji, Magereza na Zimamoto) yana wakuu wao na hakuna anayewajibika kwa mwingine, ndio maana hivyo vyombo viko chini ya wizara mbili tofauti ila kiitifaki ni kwamba tu ukiwaweka pamoja CDF ndio mkubwa sababu JWTZ ndio jeshi senior
Basi sawaahwatapewa tu wameanza na wazee wakubwa
Afanye naye akapokee lake. [emoji23][emoji23][emoji23]Mabeyo alishapewa, Mwamunyange ndio bado yeye hajapokea lake.[emoji3]
CIC ni nani? Hebu tueleweshee na ututajie jina la huyo CICHapa hatupo kijiweni ambapo kila mjumbe anachangia alijualo, mambo mengine yapo kimiongozo hayahitaji akili za kujiongeza CDF ni mkuu wa JWTZ jeshi moja lenye kamandi zake ambazo ni majeshi yanajitegemea. Mkuu wa wote ni CIC...wanakua na chombo chao ambacho mara nyingi sio zote CDF anakuwa mwenyekiti tena mwenyekiti sio kwa mamlaka bali kwa uratibu, msingi wa vikosi na majeshi mengine ni JWZT...chombo chao hiki kipo chini ya kuu taifa ambacho CIC ndo manyota wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kanali hana lake jeshini aki staafu, njoo kitaa nikuoneshe makanali wastaafu tunao gombea nao mbege
Huyo wa pili kushoto ni kama alipata wito akiwa bar kisha kwa haraka na bila kwenda home kwanza akawahi Ikulu kupokea chuma.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Innocent Bashungwa @innocentbash amewakabidhi magari mapya Wakuu wa Majeshi Wastaafu kwa maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Wakuu wa Majeshi Wastaafu waliokabidhiwa magari ni CDF Mstaafu George Waitara na Robert Mboma na makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za Wizara ya Ulinzi Mtumba Jijini Dodoma
Akikabidhi Magari hayo, Waziri Bashungwa amesema kuwapatia Wastaafu hao magari ni sehemu ya maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba wapatiwe magari mapya ambayo yanatengenezeka na spea zake zinapatikana kwa urahisi.
“Wakuu hawa wa Majeshi Wastaafu walifanya kazi kubwa na iliyotukuka kipindi cha utumishi wao kwa Nchi yetu, Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan imewapatia magari na kuwatakia kheri na maisha marefu Majenerali Wastaafu hawa”
AYO TV
Sirro sio CDF Mstaafu..