share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,064
- 10,468
Jafo, wapime wakurugenzi kwa wingi wa kura walizoiba kwenye uchafuzi mkuu.Tunakumbushana tu waziri wa Tamisemi Mh Jaffo kwamba 2020 ulikuwa ni mwaka wa uchaguzi na hao wakurugenzi ni wasimamizi wa uchaguzi.
Kusema kwamba wasipofikisha 50% ya lengo la makusanyo ya mwaka ifikapo Devember 31 wajitathmini kama wanatosha kubaki ofisini ama uwatimue ni kuwaonea bure.
Kwa ile pressure ya uchaguzi huo ushuru wangekusanya saa ngapi?
Naomba niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!