Waziri Jafo amuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA jijini Arusha kwa kushindwa kuita Wananchi kushuhudia ufunguzi wa barabara

Waziri Jafo amuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA jijini Arusha kwa kushindwa kuita Wananchi kushuhudia ufunguzi wa barabara


Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amemuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA Jijini Arusha, Podia Mwankenja kwa kushindwa kukusanya Wananchi kushuhudia barabara zilizokamilika alizokuwa akizitembelea.

Waziri Jafo amesema, “Mnataka Serikali ionekane haijafanya kitu wakati Wananchi ndio barabara yao? Kama ni barabara ya Wananchi mbona Wananchi hawapo hapa? Au unataka Serikali ionekane haijafanya kitu katika maeneo yao?”

Waziri Jafo amemuhoji Meneja huyo ambaye pia ndio Mratibu wa barabara za Jijini humo “Kwanini hii tunazindua barabara hii Wananchi hawapo? Unataka Rais aonekane hajafanya kitu? Rais ameweka fedha hapa. Mmeficha halafu kesho na kesho kutwa mseme Rais hajafanya kitu?”

Aidha, Meneja huyo alipoanza kujitetea na kusema kuwa alidhani Mtendaji (Mkurugenzi) amefanyia kazi suala hilo, Waziri Jafo alimwambia “Wewe si barabara zako? Unafanya sabotage ili Rais aonekane hajafanya kitu halafu kesho Wananchi waseme hakuna lolote Rais amefanya?”

Waziri Jafo amemalizia “Ninyi ndio wataalamu mnaofanga Serikali ionekane haijafanya jambo wakati sisi hapa Arusha tumewekeza fedha nyingi. Mji wa Arusha tumetandaza Barabara ila wewe unaficha hata Wananchi hapa jirani wasijue tumeweka barabara”

Me nadhani waziri anamuharibia raisi kwa kujua au kutokujua haiwezekani sababu hizo kumuhamisha mtu ambae hajaiba nakasimamia mradi nakukamilika vyema halafu meneja ni Mtendaji hiyo kazi yakukusanya watu niyakisiasa zaidi ndio mana kuna wakuu wamikoa, wilaya na wakurugenzi hata kanuni zautumishi zinakataza kutweza utu wa mtu namna hiyo kwa maslahi yakisiasa.
 

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amemuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA Jijini Arusha, Podia Mwankenja kwa kushindwa kukusanya Wananchi kushuhudia barabara zilizokamilika alizokuwa akizitembelea.

Waziri Jafo amesema, “Mnataka Serikali ionekane haijafanya kitu wakati Wananchi ndio barabara yao? Kama ni barabara ya Wananchi mbona Wananchi hawapo hapa? Au unataka Serikali ionekane haijafanya kitu katika maeneo yao?”

Waziri Jafo amemuhoji Meneja huyo ambaye pia ndio Mratibu wa barabara za Jijini humo “Kwanini hii tunazindua barabara hii Wananchi hawapo? Unataka Rais aonekane hajafanya kitu? Rais ameweka fedha hapa. Mmeficha halafu kesho na kesho kutwa mseme Rais hajafanya kitu?”

Aidha, Meneja huyo alipoanza kujitetea na kusema kuwa alidhani Mtendaji (Mkurugenzi) amefanyia kazi suala hilo, Waziri Jafo alimwambia “Wewe si barabara zako? Unafanya sabotage ili Rais aonekane hajafanya kitu halafu kesho Wananchi waseme hakuna lolote Rais amefanya?”

Waziri Jafo amemalizia “Ninyi ndio wataalamu mnaofanga Serikali ionekane haijafanya jambo wakati sisi hapa Arusha tumewekeza fedha nyingi. Mji wa Arusha tumetandaza Barabara ila wewe unaficha hata Wananchi hapa jirani wasijue tumeweka barabara”

Kulewa madaraka ndo hivi.
Hivi wahandisi na mameneja wao wana jukumu la kuita na kuwakirimu mawaziri katika miradi ya serikali?
Na fungu hilo lipo?
Jafo kwa kweli ni mpuuzi san.
Hatujasahau sakata la SKOL kule Dodoma aliporap mpaka mtu akazimia!
 

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amemuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA Jijini Arusha, Podia Mwankenja kwa kushindwa kukusanya Wananchi kushuhudia barabara zilizokamilika alizokuwa akizitembelea.

Waziri Jafo amesema, “Mnataka Serikali ionekane haijafanya kitu wakati Wananchi ndio barabara yao? Kama ni barabara ya Wananchi mbona Wananchi hawapo hapa? Au unataka Serikali ionekane haijafanya kitu katika maeneo yao?”

Waziri Jafo amemuhoji Meneja huyo ambaye pia ndio Mratibu wa barabara za Jijini humo “Kwanini hii tunazindua barabara hii Wananchi hawapo? Unataka Rais aonekane hajafanya kitu? Rais ameweka fedha hapa. Mmeficha halafu kesho na kesho kutwa mseme Rais hajafanya kitu?”

Aidha, Meneja huyo alipoanza kujitetea na kusema kuwa alidhani Mtendaji (Mkurugenzi) amefanyia kazi suala hilo, Waziri Jafo alimwambia “Wewe si barabara zako? Unafanya sabotage ili Rais aonekane hajafanya kitu halafu kesho Wananchi waseme hakuna lolote Rais amefanya?”

Waziri Jafo amemalizia “Ninyi ndio wataalamu mnaofanga Serikali ionekane haijafanya jambo wakati sisi hapa Arusha tumewekeza fedha nyingi. Mji wa Arusha tumetandaza Barabara ila wewe unaficha hata Wananchi hapa jirani wasijue tumeweka barabara”

Sasa Jafo alitaka huyo Engineer akatafute wananchi waje wamsikilize? Wananchi waache kutafuta ugali wao waje wamsikilize yeye aliyeshiba? Labda wawe wanaccm. Jafo amelewa sifa tangu adhulumu uchaguzi wa serikali za mitaa amekuwa kipenzi cha JPM
 
Vyeo vya kuteuliwaa kwa tz ni upuuzi tuu...!! Sasa hapo meneja kosa lake lipii...yani kazi ya mkurugenzi kukodi gari la matangazo ilii kuwajulisha wananchi lawama anapewa Meneja wa tarulaaaa...
 
Huyu naye kwanza kuwa na tabia za ajabusana. Kwani lazima watu waje.??? Unaweza kuwaalika lakini bado wakaacha tu kuja kwani hio Ni hiari.
Pili ni ishara ya ccm kutokubalika na Mambo yake ya uonevu
 

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amemuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA Jijini Arusha, Podia Mwankenja kwa kushindwa kukusanya Wananchi kushuhudia barabara zilizokamilika alizokuwa akizitembelea.

Waziri Jafo amesema, “Mnataka Serikali ionekane haijafanya kitu wakati Wananchi ndio barabara yao? Kama ni barabara ya Wananchi mbona Wananchi hawapo hapa? Au unataka Serikali ionekane haijafanya kitu katika maeneo yao?”

Waziri Jafo amemuhoji Meneja huyo ambaye pia ndio Mratibu wa barabara za Jijini humo “Kwanini hii tunazindua barabara hii Wananchi hawapo? Unataka Rais aonekane hajafanya kitu? Rais ameweka fedha hapa. Mmeficha halafu kesho na kesho kutwa mseme Rais hajafanya kitu?”

Aidha, Meneja huyo alipoanza kujitetea na kusema kuwa alidhani Mtendaji (Mkurugenzi) amefanyia kazi suala hilo, Waziri Jafo alimwambia “Wewe si barabara zako? Unafanya sabotage ili Rais aonekane hajafanya kitu halafu kesho Wananchi waseme hakuna lolote Rais amefanya?”

Waziri Jafo amemalizia “Ninyi ndio wataalamu mnaofanga Serikali ionekane haijafanya jambo wakati sisi hapa Arusha tumewekeza fedha nyingi. Mji wa Arusha tumetandaza Barabara ila wewe unaficha hata Wananchi hapa jirani wasijue tumeweka barabara”

Nilichojifunza hapa ni kuwa Mh Jafo anajua kabisa Jpm hakuna alichofanya cha kuwashawishi watanzania. Na anataka kuhamisha lawama zinazomfika Jpm kuwa ni kwa sababu ya watendaji hawaoneshi mafanikio ya jpm, tena anaongeza kuwa wanamhujum.😅😅😅😅😅😅
 
Upande wa kuleta wananchi kwenye uzinduzi wa mradi wa serikali, ni upande wa siasa na vitengo vyao vya propaganda, na kamwe siyo kazi ya meneja!

Nashangazwa sana na hawa ccm! Juzi tu wamewapa wafungwa kazi za chama.

Hapa meneja naye anapewa kazi ya siasa na propaganda. Utadhani nchi ya kikomunisti!

Hii nchi bhana! Ndo maana tunabakia maskini pamoja na utajiri wa rasilimali tulionao! Vichwa vibovu kabisa!

Huwa wanaachiwa hivi kama alivyosema Maghufuli kuwaambia wakurugenzi kuwa inakuwaje awateuwe halafu ccm wasishinde uchaguzi.

Kuna hali mbaya huko tunakoelekea kama tunataka demokrasia ya kweli.
Hahaaa mkurugenz8 alikosa pesa za kukodi malori ya kubeba wanalumumba😁😁
 
Huyu naye kwanza kuwa na tabia za ajabusana. Kwani lazima watu waje.??? Unaweza kuwaalika lakini bado wakaacha tu kuja kwani hio Ni hiari.
Pili ni ishara ya ccm kutokubalika na Mambo yake ya uonevu
Au hizo barabara ziko whatsapp kwamba lazima uite watu ndio wazione?? Eti wanasababisha wananchi waone serikali haijafanya kitu. Kwani hiyo barabara ya Arusha ndio itafanya tuon3 kafanya kitu. Hii awamy ni ya hovyo sana.
 
Unaenda kuweka kukagua barabara eneo la Njiro tena VETA/ ATOMIC kule unategemea wananchi wajitokeze.. Uonevu kwa Engineer.. Lawama zilitakiwa kuwa kwa UVCCM na washirika wao wa uhamasishaji..
 
Sasa jafo Alitaka huyo meneja paige tarumbeta keita wananchi? Huyo kazi ya mkuuwa Wiley bana na mkurugenzi was Jiji
 
Au uyo meneja aliificha hiyo barabara chumbani wananchi tusiione? Jafo aache ujjnga
 
serikali hii inatia aibu sn.....wakoloni walifanya haya yote lkn awakuwahi kujisifia lkn hawa wamelewa madara basi kila kitu wanamsingizia rais......

Mm ningekua rais nisingekubali kuchuma hii dhambi take huyu isingeisha siku nishamtumbua
 
Amemfukuza mtu kazi kwa sababu za hovyo kabisa nilikua namkubali Jafo kwa hilo hapana watu bara bara Arusha si wanaziona na ishu ya sasa hivi utamwita nani aangalie bara bara wakati ana shughuli za kufanya na serikali ni kazi yake kujenga bara bara...yaani hao tarura walivyo busy na hizo bara bara harafu unamtimua mtu bila sababu sio kabisa...labda kama alikua anamtafutia sababu lakini sio hiyo ya wananchi....
Huu ni mpango na maagizo ya mkuu angalia sababu ya kumtumbua linganisha na Kanda anayotokea utajua sababu
 
Back
Top Bottom