Waziri Jafo sasa njia nyeupe kwenda Ikulu 2025

"Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais."

Hahah wakati Magu mwenyewe alisema isingekua ni mambo ya Gender ningemchagua Mwinyi awe ndio makamu wangu wa Rais.

Sasa leo ndio aje kumpa urais huyo Mama? NEVER.
Ndiyo Rais sasa unasemaje?
 
Mtoa mada ulidhalilisha sana Taasisi ya ku Rais kwa hayo majina uliyoyataja hapo juu. Makonda bila kusukumwa na Mzee Sitta kwenye u DC, hata ukatibu tarafa hastahili
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kupata vichekesho kama hivi sabuskiraibu jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…