Waziri Jafo, siku nyingine uache kiherehere cha kufananisha Siasa na uweledi wa tiba za Kisayansi

Waziri Jafo, siku nyingine uache kiherehere cha kufananisha Siasa na uweledi wa tiba za Kisayansi

Halafu kuna watu wanampendekeza Jaffo kuwa rais ajaye.[emoji31]
Akiupata wote tutafia kwa wachawi wa Mkuranga .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Kinachoniuma hata walioamua kuchukua tahadhari waliwatweza kwa mamlaka yao.

Ulikua ukisogea anga za Magufuli na barakoa unaamriwa kuivua daah!
Ni wakati wa kumuadhibu yule mkurugenzi aliye waamuru madiwani wavue barakoa kwenye mkutano. Kilangila.
 
welevu ndo wanao jua hili,bahati mbaya humu jf ni wachache sana.hawajui mpaka sasa chanjo zote bado ni trial & error.Hakuna chanjo ambayo imewahi kutengenezwa kwa muda wa miez ishirini ikawa na ufanisi!!! Kisayansi chanjo yenye ufanisi huchukua Hadi miez 60 kuitafiti.ndio maana hiz sijui Astra zenecca bado zina malalamiko mengi.mzazi mwelevu hawez kuiweka familia yake rehani kwa majaribio.
Asante...na wanasayansi walisema, ila binadamu bana...
 
Wewe badala ya Kumuambia wazi wazi Boss wako kuwa Tanzania sasa hali ni mbaya dhidi ya Corona ukaona utafute Sifa mbele yake kwa kuja na Upuuzi wako wa Nyungu Season Two.

Haya sasa hii Nyungu Season Two yako ndiyo inatufyeka kweli kweli na Safari hii ikipiga huko huko juu mliko na muda si mrefu itamgusa Namba 1, 2 au 3 ndipo mtatia Akili.

Na kama kweli nawe unaamini Nyungu yako mbona unaingia Ofisini Kwako kwa Machale huku muda mwingi ukiwa na wasiwasi wa Kupata Corona?

Na usijisahaulishe tafadhali kuna Watu ulikuwa nao Juzi na nyepe nyepe (za chini ) zinasema Mmoja wao sasa Kaburi analiona kwa mbali huku Mochwari ikimkaribisha.

Yaani Ugonjwa umshinde Mzungu halafu Mzaramo wa Kisarawe auweze? Kuna Watu mna Upuuzi kweli kweli Vichwani mwenu. Haya njoo sasa na Nyungu Season Three yako ili uondoke nayo vizuri.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom