Waziri Jafo: Tanzania Bara kuingia Zanzibar kwa pasipoti ni kujirudisha nyuma

Waziri Jafo: Tanzania Bara kuingia Zanzibar kwa pasipoti ni kujirudisha nyuma

Kama ningekuwa Rais wa hii nchi siku ya kwanza tu naingia ofisini NAVUNJA MUUNGANO haraka sana bila kupepesa macho.

MUUNGANO ni zimwi linaloimaliza TANGANYIKA. probably Tanganyika ingweza kuwa SUPERPOWER Hapa Afrika kitambo ila kwakua tunabeba matatizo ya kikundi Fulani Cha watu wavivu kufikiri wasio na akili wagandamiza visogo viwe vya duara Ili wavaa baraghashia vizuri. Basi tumestuck hapa hapa.

Just imagine tu KIZIMKAZI hataki kukaa magogoni Wala chamwino Yuko zake TUNGUU. anakuja zake kwenye tukio kisha anarudi zake TUNGUU.

Yaani ningekuwa Rais Wale wakojani sijui na akina nani ningewapa FRESH YA SHAMBA hadi waukumbe MUUNGANO. Ningekata huduma zote wanazopata direct kutoka huku hasa pale TANESCO na zinginezo.

Baada kuunja huo MUUNGANO ningejiuzulu urais kwa MUJIBU wa katiba na kugombea Sasa Huku TANGANYIKA nikiliendeleza libeneke!!!

Hakuna haha ya kubebena na wasiotaka kubwa wabwageni tu.

Wana bahati sio Rais probably sitokuja kuwa Rais.Ole wao NIOTESHWE KUWA RAIS.
Naunga mkono hoja.
 
PASSPORT ZANZIBAR NI MTEGO
Mkikubaliana na huu MTEGO huu
Ni moja ya mlango wa kuvunja Muungano. Mtu anayekuambia anaupenda Muungano alafu anataka mtu aingie Zanzibar Kwa passport ni mnafiki. Mbinu zinatafutwa za kila namna kuvunja Muungano
 
Zanzibar kwasisi watanganyika tuende tukafanye nini?
 
Kwanza tuanze na swali la msingi, Tanzania bara ni nchi yenye passport tofauti ni nchi ya Zbar anatoka mbunge huyo?

Zbar wana mfumo wao wa uhamiaji ili Mtanganyika akifika agongewe passport na kueleza dhumuni la safari yake?

Ingetokea tukawataka Wazibari wanakuja huku nao wawe na passport ili kukidhi "law of reciprocity" je, pangetosha kweli?

Huyu mbunge, uwezo wake wa kufikiri, anafikiri kwenda mbele kujenga au kuboa pale palipojengwa?

Ingetokea Wanganyika wakawa ma-DC kule Zenji kama ambavyo baadhi ya ma-DC wanashika nafasi huku Tanganyika, wazenji wangetulia kweli?

Muungano huu, tuko na sababu kuitikia maoni ya Justice Kisanga, Justice Warioba ya umuhimu wa serikali 3
Serikali tatu zitasababisha chokochoko kama hizi zipate nguvu. Inahitajika serikali moja kwa mustakabali mwema wa Wazanzibari na Watanzania kwa ujumla.
Tanzania ni moja, Wazanzibari wakifaidi muungano (mmoja mmoja) kuliko Watanganyika.
Hata hivyo, faida za kitaifa ni kubwa zaidi ya zile za mtu binafsi.
 
KUINGIA KWA PASSPORT ZANZIBAR NI MTEGO.
Mkikubali huu MTEGO utadumbukizwa Kwenye mengine wanayoyadai kirahisi
Hakuna Namna mtachomoka
 
FB_IMG_1711887519678.jpg
 
Waweke sheria kuingia Zanzibar kwa MTANGANYIKA iwe kwa VISA!
 
Nyerere alizidiwa akili na Karume kwenye muungano, aliifuta Tanganyika ila Zanzibar imebaki, wao wanakula kote kote ila hawataki sisi tule vyao.

Kuna mzanzibari moja katika kila watanzania 30 lakini wao lazima wawe rais ama makamu wa rais, wanapewa vipaumbele kwenye vyeo, katika kila ajira 10 za Tanzania kuna nafasi zao mbili, n.k.

Rais wetu wa sasa mzanzibari akipendekeza kuwe na passport sioni wa kumpinga.
 
Nyerere alizidiwa akili na Karume kwenye muungano, aliifuta Tanganyika ila Zanzibar imebaki, wao wanakula kote kote ila hawataki sisi tule vyao
lengo la Nyerere msiende kuijenga zenji bali wao waje kujenga Bara
 
Zamani tulikuwa tukienda na passport hawa wanataka kuirudisha tena

Ova
 
Mbona ndio fursa Kwa wabara kuomba passport?

Hata Sasa hivi kuingia Zanzibar unatakiwa uonyeshe kitambulisho chako na wabara hamjawahi kulalamika.
 
Waachieni nchi yao. Kwani lazima kuungana.

"Demu kama hataki, usimbake, kulazimisha penzi ni hatari"

Mkuu hapa tunaongelea ndoa, unafikiri mchezo ukautafute mchanga uuchambue wa Tanganyika na Zanzibar uutenganishe?
 
ishu sio Nyerere ishu ni viongozi wenu baada ya mwalimu Nyerere 😃😃😃
 
KUINGIA KWA PASSPORT ZANZIBAR NI MTEGO.
Mkikubali huu MTEGO utadumbukizwa Kwenye mengine wanayoyadai kirahisi
Hakuna Namna mtachomoka
Kila jambo na wakati wake.
Yote kheri.
Wafanye kwa kadiri wanavyo ona inafaa
 
Back
Top Bottom