Mchanga ulisharidishwa na kibunga Hidaya. Kwa hivyo hakuna shida,Mkuu hapa tunaongelea ndoa, unafikiri mchezo ukautafute mchanga uuchambue wa Tanganyika na Zanzibar uutenganishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchanga ulisharidishwa na kibunga Hidaya. Kwa hivyo hakuna shida,Mkuu hapa tunaongelea ndoa, unafikiri mchezo ukautafute mchanga uuchambue wa Tanganyika na Zanzibar uutenganishe?
Mchanga ulisharidishwa na kibunga Hidaya. Kwa hivyo hakuna shida,
Yale yale ya wao Wazanzibari bali sisi ni Watanganyika. Wao wana Serikali Sisi hatuna!Kuliwezesha hilo lazima kwanza uondoe status ya uzanzibar kwa wananchi ndani ya Zanzibar.
Watu wote wajione ni watanzania na siyo wazanzibar inawezekana lakini kwa miaka mingi sana.