saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliwaahidi viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania ( UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara kuwapa mtaji wa mitungi ya gesi 300 kwa ajili ya kusambaza kwa wananchi kwa gharama nafuu ili waondokane na nishati chafu ya kupikia.
CHANZO: GAZETI LA MWANCHI JULAI 12,2022
CHANZO: GAZETI LA MWANCHI JULAI 12,2022