cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu hana jinsia atakuwaje na akili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu hana jinsia atakuwaje na akili?
Hata akiulizwa nguzo zimeletwa ngapi mkoa ule hajui, nilishangaa eti waziri atazunguka mikoa 24 kuelimisha watu juu ya matumizi ya gesi, nikajiuliza maswali mengi sana sikupata jibu nikasema aacha nisubiri social media zinasemaje.Sio povu mkuu kuwa muelewa that is cheap politics na muda mwingine ni biashara,nani alikwambia mkoa wa Mara una wanawake 300 tu? Au nani alikwambia mkoa wa Mara mzima ni watu 300 tu ndio hawana mitungi ya gesi.
Waziri asiejua hata ukubwa wa tatizo LA wizara yake. Hamna mwenye chuki na waziri.
Wana CCM wanateem yao ambayo hufanya uchunguzi ni wapi upepo hausomeki ili wakajipendekeze mapema!
Na bado, Kanda ya ziwa itakula kila mtachowapelekea, ila kwenye kura msahau maccm
Hahaha....... promo!Anavyogawa kutafuta umaarufu wa kisiasa atoe na elimu, siku si nyingi nyumba zitaungua huko na chanzo itakuwa hizo za kukaa na mitungi ya gas ndani.
Ata hivyo wacha afanye promotion ya kampuni ambako nae ana hisa zake.
Uchache wa reply ktk Uzi huu na comment nyingi kumpinga kuliko kumsupport waziri ni Ishara kuwa WAZIRI huyu HAKUBALIKI Kwa wananchi.Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliwaahidi viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania ( UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara kuwapa mtaji wa mitungi ya gesi 300 kwa ajili ya kusambaza kwa wananchi kwa gharama nafuu ili waondokane na nishati chafu ya kupikia.
CHANZO: GAZETI LA MWANCHI JULAI 12,2022
Tumia akili bi mkubwa, unamgawia mwananchi wa hali ya chini mtungi wa gesi ili iweje? Unadhani huo mtungi uliomgawia ukiwa na gesi ikiisha hiyo gesi atajaza kwa pesa ipi kwa uchumi huu uliokaza hivi?Mbona unatokwa povu bila sababu? Wewe ulitaka agawe uroda ili ulidhike? Acha chuki za kishetani. Utakufa siku si zako ndugu.
Hili lina shida, Waziri ametoa wapi hiyo mitungi jibu ni serikalini kama ni hivyo kwa nini amechagua wa ccm pekee hili halijakaa sana. Naona sarakasi za uchaguzi ujao zimeanza, katiba mpya itakuja kweli?Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliwaahidi viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania ( UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara kuwapa mtaji wa mitungi ya gesi 300 kwa ajili ya kusambaza kwa wananchi kwa gharama nafuu ili waondokane na nishati chafu ya kupikia.
CHANZO: GAZETI LA MWANCHI JULAI 12,2022
Wa CCM tu? Wa CDM/ CUF/ACT ni Wakenya????Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliwaahidi viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania ( UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara kuwapa mtaji wa mitungi ya gesi 300 kwa ajili ya kusambaza kwa wananchi kwa gharama nafuu ili waondokane na nishati chafu ya kupikia.
CHANZO: GAZETI LA MWANCHI JULAI 12,2022
GWaziri wa Nishati, Januari Makamba aliwaahidi viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania ( UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara kuwapa mtaji wa mitungi ya gesi 300 kwa ajili ya kusambaza kwa wananchi kwa gharama nafuu ili waondokane na nishati chafu ya kupikia.
CHANZO: GAZETI LA MWANCHI JULAI 12,2022
Gesi yenyewe ni Taifa gas yan drama na promo kwa mpigoWaziri wa Nishati, Januari Makamba aliwaahidi viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania ( UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara kuwapa mtaji wa mitungi ya gesi 300 kwa ajili ya kusambaza kwa wananchi kwa gharama nafuu ili waondokane na nishati chafu ya kupikia.
CHANZO: GAZETI
Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliwaahidi viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania ( UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara kuwapa mtaji wa mitungi ya gesi 300 kwa ajili ya kusambaza kwa wananchi kwa gharama nafuu ili waondokane na nishati chafu ya kupikia.
CHANZO: GAZETI LA MWANCHI JULAI 12,2022
Kivipi?Tunaendekeza umasikini
Acha dharau kwa watanzania wenzako. Gharama nyingine za maisha unawasaidia wewe? Mbona mnatoa maneno ya kifedhuli kwa watanzania wenzenu kiasi hicho?Tumia akili bi mkubwa, unamgawia mwananchi wa hali ya chini mtungi wa gesi ili iweje? Unadhani huo mtungi uliomgawia ukiwa na gesi ikiisha hiyo gesi atajaza kwa pesa ipi kwa uchumi huu uliokaza hivi?