Waziri Januari Makamba agawa mitungi 300 ya gesi kwa kina mama wa CCM Mkoa wa Mara

January anafaa kwa uraisi 2030 baada ya Samia
 
Mbona unatokwa povu bila sababu? Wewe ulitaka agawe uroda ili ulidhike? Acha chuki za kishetani. Utakufa siku si zako ndugu.
Sio povu mkuu kuwa muelewa that is cheap politics na muda mwingine ni biashara,nani alikwambia mkoa wa Mara una wanawake 300 tu? Au nani alikwambia mkoa wa Mara mzima ni watu 300 tu ndio hawana mitungi ya gesi.
Waziri asiejua hata ukubwa wa tatizo LA wizara yake. Hamna mwenye chuki na waziri.
 
Kila kitu kina mwanzo wake. Waziri kaanza na wanawake 300. Apongezwe badala ya kupondwa.
 
Kila kitu kina mwanzo wake. Waziri kaanza na wanawake 300. Apongezwe badala ya kupondwa.
Unadhani kawasaidia au kawaongezea mzigo. Kusaidia akiwa waziri mwenye dhamana ni kushughulikia bei ya gesi ishuke ili watanzania walio wengi wapate huduma. Anachokifanya makamba ni kutafuta cheap popularity....nothing else
 
akina mama wa ccm!! dah kwahiyo katumia fomula ileile ya kwenye vilabu vya mbege ''mupe huyu mruke yule
 
Kusaidia akiwa waziri mwenye dhamana ni kushughulikia bei ya gesi ishuke ili watanzania walio wengi wapate huduma
Suala la kupunguza bei ya gesi yako nje ya wigo wa mamlaka ya waziri Makamba. No suala mtambuka.
 
Waziri Makamba jr ni hodari na mchapakazi ila ameniboa anapoingiza Uchama kwenye ugawaji wa Mitungi ya Gesi.

Mgosi,kumbuka hata huko Bumbuli Chadema tupo.
 
Wana CCM wanateem yao ambayo hufanya uchunguzi ni wapi upepo hausomeki ili wakajipendekeze mapema!

Na bado, Kanda ya ziwa itakula kila mtachowapelekea, ila kwenye kura msahau maccm
 
Wewe Mwenye akili kubwa inayowaza mambo makubwa makubwa pale mtaan kwako umefanya initiative gan ili kuwasaidia Akina mama tufanye comparison na kuja kujifunza?
 
Suala la kupunguza bei ya gesi yako nje ya wigo wa mamlaka ya waziri Makamba. No suala mtambuka.
No wonder kilicho ndani ya uwezo wake ni huo upuuzi...ndio maana tunawalalamikia viongozi wetu wa kisiasa,wanachofikiria nje ya box ni kutuibia.
 
UPUUZI NA UJINGA MTUPU UNAOTOKA KWA MTU MJINGA.WATANZANIA WENGI TUNAJUA HUYO KIJANA AMEAIBISHA VIJANA WENGI KWA KUSHINDWA KAZI IN SHORT AMETIA AIBU KTK WIZARA YA NISHATI.SIFURI TU.
 
Akili hamna humo
 

Ametoa pesa zake mfukoni ama amepewa na hao wanaopandisha bei za nishati ikiwemo gesi. Wanafabyaga solution za muda mchache for their political mileage badala ya kuhangaika na long term solution. Kwa ivo Wakimaliza gas atawanyia refilling ?

Januari nilitegemea aongoze wizara hii kwa ufanisi baada ya kuwahi pia wazir anaehusika na mazingira.he should have leveled well.
 
Nina wasiwasi,Kalemani hajampiga kunuti huyu jamaa?.Nape, January,Nchemba,Katambi,Bashe na Kigwangala,hawa watu nimejaribu kuwaelewa,nimeshindawa!!!!
 
Mtoaji na wapewaji wa mitungi wote wanashabihiana upeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…