Waziri Jerry Silaa ana kitu, atafika mbali, abarikiwe

Hata huyo aliyedhulumiwa na Mmasi alishinda kesi Mahakamani, sema Mmasi akawa mbishi tu kutii Hukumu ya Mahakama Kuu!!
Hukumu ya mahakama inafanyiwa kazi na mahakama yenyewe, huo ni muhimili unajitegemea, hauhitaji msaada wa waziri au mtendaji wa mtaa, una court brokers
 
Huyo muigizaji tu hana lolote. Wazir badala ya kusimamia sera anagawa hati? Asijue kwamba hati na migoro ya ardhi ni matokeo ya sera mbovu
Atuambie tangu ile clinic ya maigizo kafanya tena wapi na amebakisha wapi na wapi ili amalize kugaawa kote Tanzaniq?
Asitufanye wajinga bhana
 
Hata huyo aliyedhulumiwa na Mmasi alishinda kesi Mahakamani, sema Mmasi akawa mbishi tu kutii Hukumu ya Mahakama Kuu!!
Waliofanyiwa hivi nchi nzima wapo wangapi na waziri amebomoa nyumba ngapi??
 
Hukumu ya mahakama inafanyiwa kazi na mahakama yenyewe, huo ni muhimili unajitegemea, hauhitaji msaada wa waziri au mtendaji wa mtaa, una court brokers
Sasa kama hati miliki ya ardhi umepewa na Commissioner wa Aridhi ,sasa Commissioner anashindwaje pia kukukabidhi eneo lako,maana yeye ndiyo analijua vizuri sana kuliko hiyo Mahakama unayosema!! Nenda kasome mamlaka ya Commissioner wa Aridhi, na utaelewa majukumu yake kisheria!!
 
Nilichogundua ninabishana na mtu wa shule za kata
 
Erythrocyte anahoji,

Lini utatatua mgogoro wa CCM kupora na kujimilikisha Mali za umma kama viwanja vya mpira kama CCM kirumba nk nk?
 
Waziri Slaa, kama umeanza kuwagusa pia wa ndani ya chama chako,

Hapo Kweli utauona mzizi wa fitna,

Utajua kiini Cha matatizo ya ardhi Nchi hii.

Cc: Erythrocyte
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…