Waziri Jerry Silaa ana kitu, atafika mbali, abarikiwe

Waziri Jerry Silaa ana kitu, atafika mbali, abarikiwe

Kiongozi anajenga mifumo, hakuna mfumo aliojenga mpaka sasa, angekuwa na mfumo, asingekuwa na haja ya kutembea mpaka vyumbani mwa watu.

and land justice, kama ilivyo haki yoyote ile, huwezi kuifanya kwa mfumo wa mob justice, unakusanya vijitu mtaani, unasikiliza unaamua, hakuna due process halali ya kisheria ambayo itafanya haki ionekane inatendeka. Kuna mahala atakutana na jambo, yeye binafsi atadhalilika, na serikali itadhalilika.
Huwa unafuatilia bunge?
 
Ule msikiti wa kariakoo alitumia common sense gani? Yaani mtu ameshindwa mahakama zote, na pia anawadhulumu wenzake, wakamua wauze na waamishe wakfu sehemu ngingine kubwa zaidi na itakayokuwa inatumika na watoto wengi zaidi. Then unawaita matapeli. Sawa tuseme kwemye swala la wakfu walikosea, je alijioa muda wa kusoma hukumu ya hizo kesi ili ajue kwa nini huyo dada alishindwa?
Kutatua migogoro ni jambo jema sana, tatizo ni kwamba asiweke siasa kwenye utatuzi wa hiyo migogoro. Aache wataalamu wa wizara wafanye kazi. Yeye atengeneze paltform nzuri ya utatuzi wa migogoro
Kama kweli anatenda HAKI aje huku kimara atupe HAKI yetu sisi ambao tulibomolewa nyumba kinyume kabisa na order ya mahakama. Hapo ndio nitaamini anatenda haki
Kwa kesi ya kariakoo niko upande wa waziri, kama pale ni padogo hao watoto hao watoto wangetafuta pesa kwa jasho lao wakajenga madrasa sehemu nyingine, sio kuuza iliyopo.
Sasa watu wa kariakoo waende kusoma temeke kweli? Kama hapo kariakoo pana uwezo wa kuchukua watu 100 wasajiliwe watu hao 100 full stop
 
Commissioner wa ardhi na waziri husika, wanao uwezo kutatua migogoro ya ardhi kisheria kabisa,

Soma KAZI ya commissioner wa ardhi wa wizara ana majukumu yepi.
Anamobilize sheria ili kutatua migogoro lakini sio yeye kuwa hakimu.
 
Wwe lazima utakua ni mtoto wa Mmasi,maana akili zako ziko kama za Mmasi kubisha kila kitu anacho aambiwa na Mamlaka! Wwe Umeambiwa nenda.kasome hicho kifungu ,kusoma hujasoma lakini bado waleta ubishi! Kichwa kama guluguja!!
Waziri ana enforce sheria lakini hapaswi kuwa hakimu wa migogoro ya ardhi ni makosa makubwa na yanatokea kwa wajinga tu kama hapa Tanzania.
 
Sina shida ya yeye kama anachapa kazi, ila hakuna haja ya kusaka "cheap popularity" mara afanye kazi mbele ya kamera, kazi zake njema zitajitangaza haina haja kutangaza tangazaza.
Huo ni ujinga unafanyaje maamuzi out of camera ili watu waendelee kukuhoji , anachofanya ndicho sahihi ndio maana nchii zilizoendelea ata mahakama inakuwa live, au vikao Kwa ajili ya kumbukumbu za baadaye.
 
Commissioner wa ardhi na waziri husika, wanao uwezo kutatua migogoro ya ardhi kisheria kabisa,

Soma KAZI ya commissioner wa ardhi wa wizara ana majukumu yepi.
Hao ndg yangu watakupasua kichwa tu,wana vichwa vigumu kama vya guluguja hawaelewi mapema, wanaishi kwa kukariri, kesho hachelewi kusema huyo mke ulie nae siyo mke wako kwa kua Mahakama haijamuhizinisha kua mke wako!!
 
Hao ndg yangu watakupasua kichwa tu,wana vichwa vigumu kama vya guluguja hawaelewi mapema, wanaishi kwa kukariri, kesho hachelewi kusema huyo mke ulie nae siyo mke wako kwa kua Mahakama haijamuhizinisha kua mke wako!!
Yeye anaamini migogoro yote inasuluhishwa court,

Anasahau kuwa hata balozi husuluhisha migogoro.
 
Waziri ana enforce sheria lakini hapaswi kuwa hakimu wa migogoro ya ardhi ni makosa makubwa na yanatokea kwa wajinga tu kama hapa Tanzania.
Elewa neno 'enforce " na ndiyo waziri alichotimiza!! Asante sana kwa kuja na hilo neno,nilikua nalitafuta sana!!
 
Waziri ana enforce sheria lakini hapaswi kuwa hakimu wa migogoro ya ardhi ni makosa makubwa na yanatokea kwa wajinga tu kama hapa Tanzania.
Tena kwa taarifa yako,Waziri anaweza akamuamlisha Commissioner wa Aridhi amshitaki Mmasi kwa kuleta taarifa za uwongo wizarani kwake! Mmasi kakalia kuti kavu ajipime! Hata Bank sasa wanaweza mshitaki Mmasi kwa kuwapelekea nyakara fake ya Mahakama ili kuchukua hati ya marehemu Bank!!
 
Tena kwa taarifa yako,Waziri anaweza akamuamlisha Commissioner wa Aridhi amshitaki Mmasi kwa kuleta taarifa za uwongo wizarani kwake! Mmasi kakalia kuti kavu ajipime! Hata Bank sasa wanaweza mshitaki Mmasi kwa kuwapelekea nyakara fake ya Mahakama ili kuchukua hati ya marehemu Bank!!
Ndio anaweza kuamrisha commissioner amshtaki Mmasi lakini sio kuamua kesi yeye.
 
Elewa neno 'enforce " na ndiyo waziri alichotimiza!! Asante sana kwa kuja na hilo neno,nilikua nalitafuta sana!!
Ukimpeleka mtu mahakamani umefanya sheria itumike, ume-enforce, lakini wewe hupaswi kuwa hakimu. Hakimu ana enforce katika level yake ambapo ana uwezo wa kutoa hukumu. Waziri hana uwezo wa kutoa hukumu kwenye kesi au mgogoro ambapo kuna pande mbili. Ingekuwa hivyo serikali isingekuwa inapelekeka mahakamani kwani wao wangetoa tu hukumu kwa washtaki wao. Watanzania mmezoea mambo ya kinyemela ndio maana mnawaona viongozi wetu wapo vizuri huku wakiboronga vibaya.
 
Sheria na mamlaka yamempa nguvu iyo.
Nguvu ya kuwa hakimu wa masuala ya ardhi? Hapana hakuna kitu kama hicho muwe waelewa watanzania. Waziri anaweza kusimamia masuala ya ardhi na migogoro itatuliwe kisheria lakini yeye sio mwamuzi wa nani ana haki au hatia, mwamuzi ni Mahakama!
 
Nguvu ya kuwa hakimu wa masuala ya ardhi? Hapana hakuna kitu kama hicho muwe waelewa watanzania. Waziri anaweza kusimamia masuala ya ardhi na migogoro itatuliwe kisheria lakini yeye sio mwamuzi wa nani ana haki au hatia, mwamuzi ni Mahakama!
Kwa iyo wewe unaamini mahakama inatenda haki au inafanya maamuzi ya kisheria.
 
Kwa iyo wewe unaamini mahakama inatenda haki au inafanya maamuzi ya kisheria.
Akhaaa! Hata kama Mahakama haitendi haki, hakuna anayeruhusiwa kutoa hukumu kati ya pande mbili zinazozozana au kogombania haki flani, ni Mahakama pekee. Tunapaswa kurekebisha mfumo wetu wa haki kama tunaona hautendi haki na sio waziri kuingilia. Ndio maana CCM wanaingilia uchaguzi na kuamua nani ashinde na kwa kura ngapi na nyie watanzania mnaona poa tu. Watanzania wengi ni watu wasio na akili nzuri na wanyonge sana.
 
Akhaaa! Hata kama Mahakama haitendi haki, hakuna anayeruhusiwa kutoa hukumu kati ya pande mbili zinazozozana au kogombania haki flani, ni Mahakama pekee. Tunapaswa kurekebisha mfumo wetu wa haki kama tunaona hautendi haki na sio waziri kuingilia. Ndio maana CCM wanaingilia uchaguzi na kuamua nani ashinde na kwa kura ngapi na nyie watanzania mnaona poa tu. Watanzania wengi ni watu wasio na akili nzuri na wanyonge sana.
Basi kama unaona waziri kavunja katiba,nenda Mahakamani kamshitaki,.alafu Mahakama ndiyo itasema kama kweli waziri ana.makosa,na siyo wwe.kutuaminisha utakavyo wwe!!
 
Kwahiyo kwakua hakuna ofisi iliyojengwa ndio raia wasipewe haki zao? Ushawahi dhulumiwa nyumba au kiwanja wewe? Inaumiza sana
Nilishadhulumiwa, nikaenda mahakamani, nikashinda
 
Back
Top Bottom