Don 2009
Senior Member
- Jul 14, 2019
- 102
- 230
Kwenye suala la ardhi Mahakama sio msuluhishi wa kwanza, kesi zinaanzia kwenye mabaraza either ya kata na wilaya mahakamani unaenda kuappeal in case umeshindwa.
Silaa yupo sahihi sababu anaongozana na Commissioner wa ardhi na wasajili wa ardhi...ukisoma powers za Commissioner wa ardhi utaona pia wanayo haki ya kufanya Revokation of Right of Occupancy either customary or granted right of occupancy.
Endapo ulifanya forgery, hata ukifanya conveyance au unauza eneo commissioner ni lazima umpe notice kwahyo nakushauri usome sheria ya ardhi vizuri na pia usome power za Commissioner wa ardhi ambaye na yeye yupo chini ya waziri wa ardhi.Pia utambue Jerry ni msomi wa sheria na mimi ninae kuambia hivi ninaijua sheria ya ardhi Kwa uzuri zaidi hakuna jambo baya ambalo Jerry Silaa anafanya zaidi ni kumfanya Commissioner afanye kazi zake Kwa uweredi zaidi.
Silaa yupo sahihi sababu anaongozana na Commissioner wa ardhi na wasajili wa ardhi...ukisoma powers za Commissioner wa ardhi utaona pia wanayo haki ya kufanya Revokation of Right of Occupancy either customary or granted right of occupancy.
Endapo ulifanya forgery, hata ukifanya conveyance au unauza eneo commissioner ni lazima umpe notice kwahyo nakushauri usome sheria ya ardhi vizuri na pia usome power za Commissioner wa ardhi ambaye na yeye yupo chini ya waziri wa ardhi.Pia utambue Jerry ni msomi wa sheria na mimi ninae kuambia hivi ninaijua sheria ya ardhi Kwa uzuri zaidi hakuna jambo baya ambalo Jerry Silaa anafanya zaidi ni kumfanya Commissioner afanye kazi zake Kwa uweredi zaidi.
Kwenye kesi ya mmasi, hata hapakuitajika waziri aende, tayari mahakama ilishatoa hukumu. Angetuma timu yale iende, hio ni issue ndogo sana kwa level ya uwaziri.
Kuna kesi kama hiyo imetatuliwa arusha bila kuwepo order ya waziri.
Umeshajaribu kuwaza image ambayo hawa wanasiasa wanaitengeneza kwenye jamii kuhusu mahakama. Ilihali wakijua kabisa kuwa wao ndio vinara namba moja katika kuifanya mahakama isiwe huru.ifanye maamuzi kulingana na wanabyotala wao.
Sasa kama anasema kuwa mahakama inahongwa, haitoi haki, hao matapeli anawakamata wakashitakiwe wapi?