Waziri Jerry Slaa: Mimi siyo Mtoto wa Maskini, baba yangu alikuwa Rubani. Nimekataa Rushwa ya Milioni 300

Mimi kuna kitu sikuelewi

Huyo mwenye petrol station kosa lake nini hasa ? Kwa nini ashupaliwe hivyo?


Kama kujenga kituo labda maeneo ya makqzi uswahilini mbona viko vingi mno tena viko kwenye Mbanano wa wa makazi kote ikiwemo jimboni kwake
Mbona huo mfoko hatujauona akifoka kule wakati vituo kibao viko makazi ya watu?
 
Wanasiasa wa Bongo huwa wanasema wasiyoyaishi !!
 
Awe makini!

Wahuni wasije kumchezea shere!

Wenye misimamo kama hiyo hawapendwi na chama chetu Sasa hivi!

Wasije Wakacheza na afya yake!!

Kataa wahuni!!
 
Tutakuaminije? Umepataje tender ya kutandaza/ kusambaza maji na kampuni yako ya Mshamindi Construction LTD kule Uhambingeto Wilaya ya Kilolo na umelipwa 90% ya kazi huku hajakamilisha kazi mpaka yule Diwani mwanamke akakushtaki kwa KM wa CCM Chongolo?
 
Na sisi tutapokea Ili tuondokane na maskini.

Rubani ni sawa tuu na dereva wa ndege so usitutishe
 
Kama anaamini yeye ni tajiri, basi tutafute tafsiri ya neno tajiri, yaani urubani wa baba yake ndio umemfanya kuwa tajiri?
Lakini pia kama ni tajiri asichukuwe mshahara basi wala posho bungeni eti.

Wizara ya Ardhi ukijikana na rushwa ujuwe siku zako hapo zinahesabika kama ilivyokuwa kwa Magufuli, Lukuvi na Mabula.

Ni moja ya sehemu ambazo wateuzi wanatarajia kujipatia ukwasi.

Ukitangazia umma kuwa umekataa kupokea rushwa basi siku ukiletewa za mkubwa kwamba mfikishie mzigo wake pia uutangazie umma kwamba umeletewa mzigo wa mkubwa ukakataa kuupokea kwa kuwa wewe ni msafi.

Sijajuwa Silaa ni wa mrengo gani hapa duniani, kushoto-kati, kushoto (iliyomshinda Zitto) au kulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…