Duh 🙄 !Tutakuaminije? Umepataje tender ya kutandaza/ kusambaza maji na kampuni yako ya Mshamindi Construction LTD kule Uhambingeto Wilaya ya Kilolo na umelipwa 90% ya kazi huku hajakamilisha kazi mpaka yule Diwani mwanamke akakushtaki kwa KM wa CCM Chongolo?
Ndiyo maana nikasema wewe ni jinga kabisa. Hilo suala la rushwa ambalo ndilo kubwa zaidi amechukuwa hatua gani? Kusimamisha ujenzi bila kuchukuwa hatua kwa wala rushwa siyo suluhisho na hakutumi message nzuri kwa watoa rushwa wengine. Bora hata yule kima wangú ninayemfuga ana akili kuliko wewe. Unaniambia nijibu hoja wakati wewe ndiyo unatakiwa kujibu? Amechuwa hatua gani kwa mtoa rushwa? Umeweka utumbo wa bata kwenye nafasi ya ubongo wako?Mpumbavu, masikini wa akili hujibu hoja kwa matusi.
Siyo kosa lako, wasio na akili ni wengi kiasili, wewe ukiwa mmoja wao.
Kinachojadiliwa hapa ni hatua alizochukua. Amemsimamisha kazi mkurugenzi, amefika kituoni amesimamisha mchakato wa ujenzi na kutangazia Uma.
Wengine ubongo wenu bado upo kwenye hatua za mwanzo za evolution.
Hasira kama za wanyama tu, hata sokwe na jamii yake wana afadhali.
Fikiria kama binadamu, tafakari, jibu hoja kwa kuona mbali badala ya matusi.
Na wewe idiot usipende kuingia vitu ambavyo hujui mwanzo wake. Unakuwa na akili kama za nguruwe na wewe ni binadamu? Asamehe nini sasa?Duh! Braza msamehe basi, ahahahah!
Eti ''masihala''. Hata kuandika kiswahili sahihi hujui! Ulisomea wapi na kumaliza walau darasa la saba huku hujui kuandika kiswahili! Ukisikia ''the time when fool is at heat'' ndiyo condition unayopitia.Kama masihala Mzee wa dakika ya 899 htuko naye tena! Dah nenda Membe
Vitu hivyo sio sifa ni kweli, lakini vilikuwepo tangu mwanzo wa Dunia na bado vipo na vitaendelea kuwepo mpaka mwisho wa Dunia ! Kama huo mwisho utakuwepo !!Umasikini, Unyonge vyote hivyo si sifa ila watu wanapenda vitukuza
Umewaza parefu sanaInawezekana mnyororo wa thamani ulikuwa mrefu bwashee Mwekezaji katoa B 3 Waziri anapelekewa M 3 yaani 10%
Hata Wewe usingekubali Wahuni waondoke na 90%
Waziri Silaa anadai, amesikia mzigo ulishawekwa mezani ila yeye hajapokea mgao kwa sababu Biblia imekataza hayo mambo
Mlale Unono 😃😃
Ohooo !Vya jimboni kwake huenda alivuta. Sasa Mikocheni amekutana na mamaa wa UN Habitat, patachimbika bila greda kama NEMC, EWURA na Manispaa walivuta na kutoa vibali. Kama wanataka kuujuwa muziki mnene wa Tibaijuka vizuri wafe wakamuulize Mugabe, Malkia Elizabeth na Mkapa kuhusu makazi Harare.
Slaa?Ni mnyaturu au Mchagga?!
Ufisadi + Tamaa = This World is not our Home 🙏🙏Nenda Kenya Matajiri wakubwa wote ndiyo Wanasiasa na Viongozi wakubwa Serikalini.
Ngoja Tusubiri tuone !Anatambua kuwa kuna PCCB au nao siyo sehemu ya serikali anayoitumikia
Je PCCB ni useless au ipo kwa ajili ya nani?
- Tibaijuka alipata kusema hela ya mboga anayo
- Lukuvi aliwahi kusema wamemuandalia rushwa
- Huyu naye anasema mil 300
MbuluSlaa?
Mimi ningekua ndiyo huyo waziri, ningelamba hiyo m300 alafu bado ninge simamia sheria inavyotaka!!Mkuu, hawa watu wanacheza na akili za watanzania ambazo hazitafakari wala kuhoji tunaloambiwa. Hivi waziri akihongwa anatakiwa fanye nini? Yaani waziri wa serikali anahongwa sh mil 300 halafu hachukui hatua? Kwa kifupi alizira kwa sababu aliona ni kidogo la sivyo angechukuwa hatua.
Kuchafuana ndani ya Lichama letu ndio ujanja wa mjini !Huyo mmiliki wa hiyo petrol station atafute wakili amfungulie kesi huyu waziri kwa sababu amemdhalilisha. Hapo mimi ningefungua kesi ya defamation na angenilipa mamilioni.
Hiyo rushwa ambayo nilimpa akakataa kwa nini asiwaite Takukuru wanikamate? Ndio kuja kunichafua hadharani hapana kwa kweli.
Huwezi kutafuta umaarufu kwa kumchafua mtu mwingine hadharani. Wewe mwenye petrol station chukua hatua
Unadhani hawalambi? Kama anasema kweli basi hii ni deal lilikaa vibaya akaona itajulikana. Hakuan waziriwa CCM atakayekataa hongo ya namna hiyo. Hakuna.Mimi ningekua ndiyo huyo waziri, ningelamba hiyo m300 alafu bado ninge simamia sheria inavyotaka!!
Slaa ni tapeli tu,mtu anayekuletea million 300,uishie kuzikataa tu!?,kwa nn huyo mleta rushwa asiishie lupango!?. Akawadanganye wajinga wenzie.Pamoja na kwamba rushwa ni changamoto kubwa katika siasa zetu, Jerry anastahili pongezi nyingi kwa kupambana kwa maneno na vitendo. Amesema hadharani kwamba alipelekewa rushwa akakataa na amewaachisha watumishi kazi.
Takukuru wanapaswa kufanya kazi taarifa yakePamoja na kwamba rushwa ni changamoto kubwa katika siasa zetu, Jerry anastahili pongezi nyingi kwa kupambana kwa maneno na vitendo. Amesema hadharani kwamba alipelekewa rushwa akakataa na amewaachisha watumishi kazi.
Black Sniper.Umewaza parefu sana
Kwa tamaa hiyo anaona 300m ya bure ni kama kadhalilishwa alitaka ale hata 25% ya bure
Umenikumbusha mwizi wa baiskeli alieibiwa hiyo baiskeli akaanza kulia kaibiwa
Ili wakome vizuri.Mimi ningekua ndiyo huyo waziri, ningelamba hiyo m300 alafu bado ninge simamia sheria inavyotaka!!