Waziri Jerry Slaa: Mimi siyo Mtoto wa Maskini, baba yangu alikuwa Rubani. Nimekataa Rushwa ya Milioni 300

Waziri Jerry Slaa: Mimi siyo Mtoto wa Maskini, baba yangu alikuwa Rubani. Nimekataa Rushwa ya Milioni 300

Tutakuaminije? Umepataje tender ya kutandaza/ kusambaza maji na kampuni yako ya Mshamindi Construction LTD kule Uhambingeto Wilaya ya Kilolo na umelipwa 90% ya kazi huku hajakamilisha kazi mpaka yule Diwani mwanamke akakushtaki kwa KM wa CCM Chongolo?
Duh 🙄 !
Hatariii !
 
Mpumbavu, masikini wa akili hujibu hoja kwa matusi.
Siyo kosa lako, wasio na akili ni wengi kiasili, wewe ukiwa mmoja wao.
Kinachojadiliwa hapa ni hatua alizochukua. Amemsimamisha kazi mkurugenzi, amefika kituoni amesimamisha mchakato wa ujenzi na kutangazia Uma.
Wengine ubongo wenu bado upo kwenye hatua za mwanzo za evolution.
Hasira kama za wanyama tu, hata sokwe na jamii yake wana afadhali.
Fikiria kama binadamu, tafakari, jibu hoja kwa kuona mbali badala ya matusi.
Ndiyo maana nikasema wewe ni jinga kabisa. Hilo suala la rushwa ambalo ndilo kubwa zaidi amechukuwa hatua gani? Kusimamisha ujenzi bila kuchukuwa hatua kwa wala rushwa siyo suluhisho na hakutumi message nzuri kwa watoa rushwa wengine. Bora hata yule kima wangú ninayemfuga ana akili kuliko wewe. Unaniambia nijibu hoja wakati wewe ndiyo unatakiwa kujibu? Amechuwa hatua gani kwa mtoa rushwa? Umeweka utumbo wa bata kwenye nafasi ya ubongo wako?
 
Umasikini, Unyonge vyote hivyo si sifa ila watu wanapenda vitukuza
Vitu hivyo sio sifa ni kweli, lakini vilikuwepo tangu mwanzo wa Dunia na bado vipo na vitaendelea kuwepo mpaka mwisho wa Dunia ! Kama huo mwisho utakuwepo !!
Ila dalili zote zinaonyesha huo mwisho upo tu = Climate change ndiyo itauleta huo mwisho !!
Na wasababishi wakuu wa hiyo Climate change ni hao wakubwa wa Dunia ambao wako tayari kufanya chochote kile pamoja na kuchafua hali ya hewa kwa kuzalisha hewa ukaa nyingi duniani ili tu wasiitwe wanyonge au masikini 😅🙄😱🙏🙏!
Umasikini na unyonge sio sifa lakini Utajiri nao unaleta maafa makubwa including rushwa zile kubwa kubwa ambazo ndio Janga kuu kwenye Nchi zetu tunazodanganywa kwamba eti ni MASIKINI !! 🙏🙏
 
Inawezekana mnyororo wa thamani ulikuwa mrefu bwashee Mwekezaji katoa B 3 Waziri anapelekewa M 3 yaani 10%

Hata Wewe usingekubali Wahuni waondoke na 90%

Waziri Silaa anadai, amesikia mzigo ulishawekwa mezani ila yeye hajapokea mgao kwa sababu Biblia imekataza hayo mambo

Mlale Unono 😃😃
Umewaza parefu sana
Kwa tamaa hiyo anaona 300m ya bure ni kama kadhalilishwa alitaka ale hata 25% ya bure

Umenikumbusha mwizi wa baiskeli alieibiwa hiyo baiskeli akaanza kulia kaibiwa
 
Vya jimboni kwake huenda alivuta. Sasa Mikocheni amekutana na mamaa wa UN Habitat, patachimbika bila greda kama NEMC, EWURA na Manispaa walivuta na kutoa vibali. Kama wanataka kuujuwa muziki mnene wa Tibaijuka vizuri wafe wakamuulize Mugabe, Malkia Elizabeth na Mkapa kuhusu makazi Harare.
Ohooo !
Kumbe ni kwa mama wa vihela vya mboga !! 😱
Ngoja Tusubiri tuone huu mziki utaishaje !!
Tunahitaji vijana machachari wenye uwezo wa kuhoji 🙏🙏
 
Naona wachukua rushwa wanachukia kuambiwa ni watoto wa masikini ndio maana wanachukua rushwa na kujilimbikizia mali Slaa upo sahihi...
 
Mkuu, hawa watu wanacheza na akili za watanzania ambazo hazitafakari wala kuhoji tunaloambiwa. Hivi waziri akihongwa anatakiwa fanye nini? Yaani waziri wa serikali anahongwa sh mil 300 halafu hachukui hatua? Kwa kifupi alizira kwa sababu aliona ni kidogo la sivyo angechukuwa hatua.
Mimi ningekua ndiyo huyo waziri, ningelamba hiyo m300 alafu bado ninge simamia sheria inavyotaka!!
 
Huyo mmiliki wa hiyo petrol station atafute wakili amfungulie kesi huyu waziri kwa sababu amemdhalilisha. Hapo mimi ningefungua kesi ya defamation na angenilipa mamilioni.
Hiyo rushwa ambayo nilimpa akakataa kwa nini asiwaite Takukuru wanikamate? Ndio kuja kunichafua hadharani hapana kwa kweli.

Huwezi kutafuta umaarufu kwa kumchafua mtu mwingine hadharani. Wewe mwenye petrol station chukua hatua
Kuchafuana ndani ya Lichama letu ndio ujanja wa mjini !
Ngoja tuone !
 
Pamoja na kwamba rushwa ni changamoto kubwa katika siasa zetu, Jerry anastahili pongezi nyingi kwa kupambana kwa maneno na vitendo. Amesema hadharani kwamba alipelekewa rushwa akakataa na amewaachisha watumishi kazi.
Slaa ni tapeli tu,mtu anayekuletea million 300,uishie kuzikataa tu!?,kwa nn huyo mleta rushwa asiishie lupango!?. Akawadanganye wajinga wenzie.
 
Umewaza parefu sana
Kwa tamaa hiyo anaona 300m ya bure ni kama kadhalilishwa alitaka ale hata 25% ya bure

Umenikumbusha mwizi wa baiskeli alieibiwa hiyo baiskeli akaanza kulia kaibiwa
Black Sniper.

Nani ampe 25%?

EWURA wenyewe wanachukuwa hadi 50ml nje ya gharama ya kibali, NEMC nao kama EWURA, bado Manispaa, Jerry, Mramba, Serikali ya Mtaa, Baraza la Kata la Ardhi, TRA, BRELA and sundries.

Hadi unamaliza kujenga huna kitu mfukoni cha kuagizia mzigo, inabidi ukope upya tena au ukodishe kituo kwa makampuni ya mafuta.

Bongo ukitaka kufungua biashara unashambuliwa/unaliwa staili ya mbwamwitu.
 
Back
Top Bottom