Waziri Juma Aweso, sifa zake zinatoka wapi? Mbona matatizo ya maji ni mengi mno

Waziri Juma Aweso, sifa zake zinatoka wapi? Mbona matatizo ya maji ni mengi mno

ryan riz

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
423
Reaction score
683
Kiukweli sijajua wanaomsifia huyu mtu wanatumia vigezo gani;

1. Baada ya kulipa bili ya kuonganishiwa maji itachukua hata nusu mwaka kuungishiwa bomba mpaka mitaro inajifukia(mabomba wanasema hamna na hapa rushwa na watu wa stoo ndio kwao kama TANESCO).

2. Wananchi kujichangisha mamilioni ili kuisaidia wizara na nyie pia kununua mipira ili mpate maji. Mwisho wa siku mabomba mtaunganishiwa ila hayatoi maji(kama TANESCO, mtajichanga kununua nguzo ishirini ila mtapigwa danadana za mita na waya zimeisha, halafu baada ya miez kadhaa wanakuja usiku kuziiba hizo nguzo mpaka zinaisha).

3. Sehemu ambazo ziko karibu na bomba kubwa la maji, mitaa hiyo mkiomba muunganishiwe huduma ya maji, mtaambiwa subirini masaveya wetu waje wafanye tathmini(hapo itakata miaka). Na ikitokea wamekuja (hapo kwa kulazimisha baada ya kutoa rushwa) utasikia "tumeliona eneo lenu na mnastahili kuunganishiwa huduma, ngoja tukalifanyie kazi". Hapo mtasubiri miaka tena.

4. Madiwani wetu wakienda kule ofisini kwao sijui huwa wanapewa nini? Maana kwenye vikao vya kata wanakuwa wako moto, wao pamoja na wabunge wetu na kuahidi tena kwa munkari kwamba, haipiti mwezi ila wakirudi vikao vijavyo hili suala la maji hulikwepa kabisa kuliongelea!

Nauliza, huyu Aweso huwa anasifiwa kwa jambo gani la maana?
 
Kiukweli sijajua wanaomsifia huyu mtu wanatumia vigezo gani;

1. Baada ya kulipa bili ya kuonganishiwa maji itachukua hata nusu mwaka kuungishiwa bomba mpaka mitaro inajifukia(mabomba wanasema hamna na hapa rushwa na watu wa stoo ndio kwao kama TANESCO).

2. Wananchi kujichangisha mamilioni ili kuisaidia wizara na nyie pia kununua mipira ili mpate maji. Mwisho wa siku mabomba mtaunganishiwa ila hayatoi maji(kama TANESCO, mtajichanga kununua nguzo ishirini ila mtapigwa danadana za mita na waya zimeisha, halafu baada ya miez kadhaa wanakuja usiku kuziiba hizo nguzo mpaka zinaisha).

3. Sehemu ambazo ziko karibu na bomba kubwa la maji, mitaa hiyo mkiomba muunganishiwe huduma ya maji, mtaambiwa subirini masaveya wetu waje wafanye tathmini(hapo itakata miaka). Na ikitokea wamekuja (hapo kwa kulazimisha baada ya kutoa rushwa) utasikia "tumeliona eneo lenu na mnastahili kuunganishiwa huduma, ngoja tukalifanyie kazi". Hapo mtasubiri miaka tena.

4. Madiwani wetu wakienda kule ofisini kwao sijui huwa wanapewa nini? Maana kwenye vikao vya kata wanakuwa wako moto, wao pamoja na wabunge wetu na kuahidi tena kwa munkari kwamba, haipiti mwezi ila wakirudi vikao vijavyo hili suala la maji hulikwepa kabisa kuliongelea!

Nauliza, huyu Aweso huwa anasifiwa kwa jambo gani la maana?
Je unazungumzia TANESCO hii mpya? Tafadhali onesha popote ulipokwama tukuhudumie kwa haraka na bila usumbufu, Tunawishi wateja wetu kuacha kuishi kwa hofu na mawazo ya nyuma TANESCO imeboresha huduma zake sana na wananchi wanafurahia huduma hizo

Tafadhali onesha

Namba ya Simu au namba ya taarifa kwa hatua zaidi
 
Huyo anasifiwa na huyo mama tu. Sasa jiulize mtu akisifiwa na huyu mama anakuwa ana maana yoyote? Umewahi kuona watanzania wenye utimamu wakimsifia huyo jamaa?
 
Je unazungumzia TANESCO hii mpya? Tafadhali onesha popote ulipokwama tukuhudumie kwa haraka na bila usumbufu, Tunawishi wateja wetu kuacha kuishi kwa hofu na mawazo ya nyuma TANESCO imeboresha huduma zake sana na wananchi wanafurahia huduma hizo

Tafadhali onesha

Namba ya Simu au namba ya taarifa kwa hatua zaidi
Kumbe Mpo eeeh... Nimefurahi sana kwa hii response yako Admini wa TANESCO

Nadhani ungeweka Mawasiliano yenu hapo ili tuje tueleze changamoto zetu.... Na sio sisi tukupe namba zetu....maana hutapiga
 
Je unazungumzia TANESCO hii mpya? Tafadhali onesha popote ulipokwama tukuhudumie kwa haraka na bila usumbufu, Tunawishi wateja wetu kuacha kuishi kwa hofu na mawazo ya nyuma TANESCO imeboresha huduma zake sana na wananchi wanafurahia huduma hizo

Tafadhali onesha

Namba ya Simu au namba ya taarifa kwa hatua zaidi
Ungekuwa karibu ungeonja ya uso. Niliwaita kijijini kwa mzazi wangu nguzo iko mita 400 wakasema eneo haliko kwenye ramani hivyo vifaa haviwezi kupatikana, ila akadai mlungura wa laki nne atafanya mbinu faster. Mbaya zaidi hawaogopi hata kujadiri rushwa kwa simu .nilichoka ghafla nikaamini mbuzi kula kwa urefu
 
Ungekuwa karibu ungeonja ya uso. Niliwaita kijijini kwa mzazi wangu nguzo iko mita 400 wakasema eneo haliko kwenye ramani hivyo vifaa haviwezi kupatikana, ila akadai mlungura wa laki nne atafanya mbinu faster. Mbaya zaidi hawaogopi hata kujadiri rushwa kwa simu .nilichoka ghafla nikaamini mbuzi kula kwa urefu
Kwanini atoe pesa? Alimpa nani? TAFADHALI leta taarifa au ushahidi wa aliyempa na kwa huduma gani ikihithibika hatua zitachukuliwa, unaweza kutumq hata pm nasisi tutazifanyia kazi

Jina

Simu

Wilaya

Eneo

Aliyempa

Sababu za kumpa

Tupo kufanyia taarifa zote
 
Je unazungumzia TANESCO hii mpya? Tafadhali onesha popote ulipokwama tukuhudumie kwa haraka na bila usumbufu, Tunawishi wateja wetu kuacha kuishi kwa hofu na mawazo ya nyuma TANESCO imeboresha huduma zake sana na wananchi wanafurahia huduma hizo

Tafadhali onesha

Namba ya Simu au namba ya taarifa kwa hatua zaidi
Ha ha 😂😂 TANESCO mmetisha mmeamua kumvaa. Kweli mpo ki T - connect. Ila kiukweli TANESCO kwasasa mpo vizuri, wanaowaangusha kwasasa ni wakandarasi wa REA wapo slow sana vijijini kwa kisingizio Cha kusubiri material
 
Yaani hawa maji ndio shida sana,leo tunatimiza week kwa Mrefu, Arusha chini ya AUWSA hatuna maji majumbani kwetu na still wanadare kutuma bill yaani nina hasira nao sana
 
Ukifuatilia Sana utakuta wazee wa MITALA kina Aweso, Mchengerwa ndio wanaosifiwa.

Aweso, Mchengerwa wako busy na MITALA. Mwanza iko karibu na ziwa lakini maji ya kusua sua
 
shida ni kwamba wanafikiri uwaziri ni kuzurura zurura na kupiga makelele kama nyapara, Uwaziri tumekifanya cheo cha siasa na sio cheo cha watu wenye brains na uwezo mkubwa wa kiset mambo.
 
Kiukweli sijajua wanaomsifia huyu mtu wanatumia vigezo gani;

1. Baada ya kulipa bili ya kuonganishiwa maji itachukua hata nusu mwaka kuungishiwa bomba mpaka mitaro inajifukia(mabomba wanasema hamna na hapa rushwa na watu wa stoo ndio kwao kama TANESCO).

2. Wananchi kujichangisha mamilioni ili kuisaidia wizara na nyie pia kununua mipira ili mpate maji. Mwisho wa siku mabomba mtaunganishiwa ila hayatoi maji(kama TANESCO, mtajichanga kununua nguzo ishirini ila mtapigwa danadana za mita na waya zimeisha, halafu baada ya miez kadhaa wanakuja usiku kuziiba hizo nguzo mpaka zinaisha).

3. Sehemu ambazo ziko karibu na bomba kubwa la maji, mitaa hiyo mkiomba muunganishiwe huduma ya maji, mtaambiwa subirini masaveya wetu waje wafanye tathmini(hapo itakata miaka). Na ikitokea wamekuja (hapo kwa kulazimisha baada ya kutoa rushwa) utasikia "tumeliona eneo lenu na mnastahili kuunganishiwa huduma, ngoja tukalifanyie kazi". Hapo mtasubiri miaka tena.

4. Madiwani wetu wakienda kule ofisini kwao sijui huwa wanapewa nini? Maana kwenye vikao vya kata wanakuwa wako moto, wao pamoja na wabunge wetu na kuahidi tena kwa munkari kwamba, haipiti mwezi ila wakirudi vikao vijavyo hili suala la maji hulikwepa kabisa kuliongelea!

Nauliza, huyu Aweso huwa anasifiwa kwa jambo gani la maana?
Kwani matatizo ya maji yatamalizwa kwa mda mfupi?
 
Je unazungumzia TANESCO hii mpya? Tafadhali onesha popote ulipokwama tukuhudumie kwa haraka na bila usumbufu, Tunawishi wateja wetu kuacha kuishi kwa hofu na mawazo ya nyuma TANESCO imeboresha huduma zake sana na wananchi wanafurahia huduma hizo

Tafadhali onesha

Namba ya Simu au namba ya taarifa kwa hatua zaidi
Hofu na mawazo yapi ya nyuma, acheni siasa za kijinga.
 
Back
Top Bottom