Waziri Juma Aweso, sifa zake zinatoka wapi? Mbona matatizo ya maji ni mengi mno

Waziri Juma Aweso, sifa zake zinatoka wapi? Mbona matatizo ya maji ni mengi mno

Aweso sioni anachifanya japo anapigiwa debe na mama kama waziri wa mfano.

Imagine juzi nimeenda dodoma pale Ihumwa just 15km from the CITY CENTRE hakuna maji wanakunywa ya visima.

Kiwaziri cha mchongo
 
Nimeshazungumza mara kadhaa,sitaki Mwanangu Aweso,Bashe,Nape na Mwigulu wasumbuliwe.
"IGP Wambura hili nalo muende mkalitizame wewe na timu yako"
 
Kasongo Mundende namukati ya Ndumba na ngai.
Watu wanaangaika kwa wataalaamu,wewe Unafikiri kumfanya Mama akili yake ione Aweso ndiyo mchapakazi wakati wachapakazi wapo ni mchezo.Watu wamekaangwa kwenye chungu alafu uje umnyang'anye cheo kifala Mkuu.
"Au nasema uongo ndugu zanguuuu"
 
Kasongo Mundende namukati ya Ndumba na ngai.
Watu wanaangaika kwa wataalaamu,wewe Unafikiri kumfanya Mama akili yake ione Aweso ndiyo mchapakazi wakati wachapakazi wapo ni mchezo.Watu wamekaangwa kwenye chungu alafu uje umnyang'anye cheo kifala Mkuu.
"Au nasema uongo ndugu zanguuuu"
Dooh hatar sana
 
Je unazungumzia TANESCO hii mpya? Tafadhali onesha popote ulipokwama tukuhudumie kwa haraka na bila usumbufu, Tunawishi wateja wetu kuacha kuishi kwa hofu na mawazo ya nyuma TANESCO imeboresha huduma zake sana na wananchi wanafurahia huduma hizo

Tafadhali onesha

Namba ya Simu au namba ya taarifa kwa hatua zaidi
Njoo Mbutu Kichangani Kigamboni mtaa wa Shirikisho
Tumeshafuatilia sana

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Huyo anasifiwa na huyo mama tu. Sasa jiulize mtu akisifiwa na huyu mama anakuwa ana maana yoyote? Umewahi kuona watanzania wenye utimamu wakimsifia huyo jamaa?
Heshima heshima please! Ulichokiandika hakina chembe ya heshima. 🙏🙏🙏
 
Ndio kwani kuna shida? Ni matumizi kwa viongozi
Kwamba si shida kwako inatumika pesa kununua magari ya kifahari wakati pesa hizo zingeweza kupelekwa kwenye mambo ya msingi ya maendeleo ,kibaya mwananchi akilalamika kuwa mzigo wa tozo umekuwa mkubwa anaambiwa tunajenga vituo vya afya na kwamba asipende vya bure ila wao wananunua magari ya kifahari kwa kodi zetu hizo hizo tunaoambiwa tusipende vya bure na kama hatutaki tuhame nchi.

Kwako wewe bado hauoni shida tu na kwamba unaona kuna tija kwa viongozi kutembelea magari ya kifahari?
 
Kwanini atoe pesa? Alimpa nani? TAFADHALI leta taarifa au ushahidi wa aliyempa na kwa huduma gani ikihithibika hatua zitachukuliwa, unaweza kutumq hata pm nasisi tutazifanyia kazi

Jina

Simu

Wilaya

Eneo

Aliyempa

Sababu za kumpa

Tupo kufanyia taarifa zote
Hii ilinikuta mimi binafsi nikiwa likizo. In fact nachukia rushwa na sikutoa hiyo pesa na negotiation iliishia hapo .na umeme sikuweka. Niliambiwa REA ishamaliza mradi so Tanesco ndo washa taje over. My parent lives in one of poor village sikutegemea a such reaction. Kwanza naenda kufanya second attempt then nafuatilia jupata details za huyo officer wenu ila how changamoto pia how do I trust you in thus platform .mmeshaweka reliable unit ya kureport issues .kama mtakuwa new Tanesco nitarudi kuwashukuru
 
Kwamba si shida kwako inatumika pesa kununua magari ya kifahari wakati pesa hizo zingeweza kupelekwa kwenye mambo ya msingi ya maendeleo ,kibaya mwananchi akilalamika kuwa mzigo wa tozo umekuwa mkubwa anaambiwa tunajenga vituo vya afya na kwamba asipende vya bure ila wao wananunua magari ya kifahari kwa kodi zetu hizo hizo tunaoambiwa tusipende vya bure na kama hatutaki tuhame nchi.

Kwako wewe bado hauoni shida tu na kwamba unaona kuna tija kwa viongozi kutembelea magari ya kifahari?
Unataka viongozi watembelee kirikuu?
 
Kwani umeona hawawajibiki?
Ukiwa hauna shida hivyo vitu,hutoona pia kwa wenzio,mwezi wa sita huu tunasubiria mabomba na sehemu kubwa ya mitaro imejifukia na hela tumeshalipa.. Haya ni baadhi ya maeneo Dodoma hayana maji na ni ya mjini..Nzuguni( mabomba yapo ila hayatoi maji zaid ya miez 6) kata ya mkonze 70% haina maji na makazi yamepanuka sana,Ihumwa hivo hivo.. na sisi tunaotembea mikoani hali ni hiyohiyo...

Sasa nioneshe uwajibakaji wa hao watu kwenye huduma muhimu km hii?
 
Ukiwa hauna shida hivyo vitu,hutoona pia kwa wenzio,mwezi wa sita huu tunasubiria mabomba na sehemu kubwa ya mitaro imejifukia na hela tumeshalipa.. Haya ni baadhi ya maeneo Dodoma hayana maji na ni ya mjini..Nzuguni( mabomba yapo ila hayatoi maji zaid ya miez 6) kata ya mkonze 70% haina maji na makazi yamepanuka sana,Ihumwa hivo hivo.. na sisi tunaotembea mikoani hali ni hiyohiyo...

Sasa nioneshe uwajibakaji wa hao watu kwenye huduma muhimu km hii?
Hapo shida sio Waziri bali pesa ambazo hatoi yeye ni mpaka zipatikane zitatumwa..

Waziri hajengi bali pesa Ndio inajenga,pesa tunayotoa huwa ni kiasi kidogo Sana Wala hakiwezi kuwezesha mradi so lipa tozo na Kodi pesa ipatikane kazinifanyike..

Serikali haikunyi pesa Ndio inapanga bajeti bali inapanga bajeti Kwa kutegemea itakusanya na kupeleka.

Saizi ni kiangazi maji yamepungua maeneo mengi hata mimi niliko maji tanatoka usiku ukichelewa basi..

Sasa inajulikana maji kwenye storage yamepungua sababu ni kiangazi hata kwenye visima vya majumbani maji yamekauka au yako kiduchu so I have to understand..
 
Yaani hawa maji ndio shida sana,leo tunatimiza week kwa Mrefu, Arusha chini ya AUWSA hatuna maji majumbani kwetu na still wanadare kutuma bill yaani nina hasira nao sana
Ule mradi wa bilioni 500 ndo zilipigwa?
Kwamaana walisema Arusha shida ya maji kushney
 
Ule mradi wa bilioni 500 ndo zilipigwa?
Kwamaana walisema Arusha shida ya maji kushney
Acha tu ndugu yangu,leo ni siku ya saba mpaka sasa hivi navyoongea watu wa Kwa Mrefu tunaenda chota maji ya chemchem ya pale Baraa,AUWSA wapo na hakuna hata sms ya kuomba radhi kutokuepo week nzima mpka naanza kuamini mdau mmoja hapa uwa analeta hoja kuwa AUWSA mkugurugenzi wake ni bomu na fisadi
 
Huyo anasifiwa na huyo mama tu. Sasa jiulize mtu akisifiwa na huyu mama anakuwa ana maana yoyote? Umewahi kuona watanzania wenye utimamu wakimsifia huyo jamaa?
Huyo mama ni rais wetu anazo taarifa za kina za kila waziri na kila mteuliwa wake. Usijifanye una akili nyingi kumbe unaonekana mjinga tu kwa kudharau mamlaka usizojua zina ukubwa gani.
 
Je unazungumzia TANESCO hii mpya? Tafadhali onesha popote ulipokwama tukuhudumie kwa haraka na bila usumbufu, Tunawishi wateja wetu kuacha kuishi kwa hofu na mawazo ya nyuma TANESCO imeboresha huduma zake sana na wananchi wanafurahia huduma hizo

Tafadhali onesha

Namba ya Simu au namba ya taarifa kwa hatua zaidi
Povu tyr 🤣🙌
 
Back
Top Bottom