Waziri Kabudi akanusha kuthibitisha kifo cha Mwanahabari, Azory Gwanda


Kwa taarifa yako huyo Kabudi Ni bogus mwenye elimu ya uprofesa ambaye kalewa madaraka.
 
Reactions: prs
Ashikilie popote ila ndio amesha ujulisha ulimwengu kuwa Azory ALITEKWA NA KUFA, period..mengine mbwembwe za paka kukalia mkia .
 
Ameonyesha umbilimbi wake
Alipohojiwa wakati ule wa Lissu ndipo nilipoamini kuwa uprofressor alinunua
Amelikoroga aandae vikombe kunywa uji mbichi
Karma is a bitch karibu mtasema ukweli
uzuri wa Prof anajua alichoongea na siku akija kuwajibu mtashanga kwelikweli jinsi mnavyobisha msiyoyajua. si ajabu Kabudi achapie Lissu akae kimya, ni ishara kwamba Lissu kaanza kumuelewa kabudi kama profesa na anapima uzito wa kila neno analosema prof. ndio maana yupo kimya
 
Kwa hiyo Watz woote zaidi ya million 50 wakubwa kwa wadogo hawakumuelewa prof Kabudi?

Hadi ma prof wenzie nao hawajamuelewa?

Mbona anazidi kutukana watz?
 
Ni kwa sabb amekuta nchi ya wajinga,ingekuwa nchi huru asingebwabwaja haya akiwa wazr tena,angeshang'oka
 
Amesahau kuwa yeye ametolewa jalalani, angekubali tu kuwa lugha ilinipisha naomba ladhi wandugu biashara kwisha, ila kutufanya hatujui tafasiri hapo pagumu kumeza.
 
Anaogopa nini kusema azory kafa?
hivi siku zote alizopotea kuna matumaini yoyote ya azory kuwa hai?
 
dunia inakushangaa kwa ujinga wako? kwamba ati ili kujua kwamba kabudi hana akili ni lazima lisu aseme? lisu keshasema alishambuliwa na serikali mbona mnashikilia kwamba nae alishambuliwa na MBOWE wengine mnasema alijishambulia? huwezi kuzuia maji kwa kiganja cha mkono... we baki na utahira wako kichwani ila Ben sanane, Mawazo, Azory Gwanda kauwawa na serikali ya Magufuli haihitaji kauli ya lisu hapo.
lisu akisema mnasema anatumiwa na mabeberu bila kusema hao mabeberu wanataka nni kwenu
 

Huo ni upupu, wamejimwagia wenyewe, sasa wanajikuna kila mtu kivyake.
Kabudi ndiye kasema amekufa, sasa yeye anakanusha kuwa hajasema hivyo, anataka kukanusha habari za mtu mwingine? Hiyo kauli ya kabudi hisinge kuwa recorded huko nje ya nchi, basi wangesema watu wameiedit.

Anyamaze tu maana wakati wa waovu kujitambulisha umefika
 
mbona hatuulizi vifo vya wale wengine ambao ni viongozi wa serikali na wanaCCM, na polisi kule rufiji? au kwa kuwa ni wanaCCM vifo vyao haviumizi? aisee! kazi kweli kweli... leo swali linaulizwa juu ya alipo azory Gwanda huku anayeuliza anajua kabisa Gwanda tukio lake lilitokea kibiti ambapo kuna wengine wengi walipotea huko n wengine kufa lakini cha kusikitisha vifo vya wengine vimesahaulika, ni kwa sabbau gani?

Prof. Kawajibu vyema kwamba tukio lile kama linahusika na kibiti kuna wengine wengi walipotea na wengine kufa na si Gwanda tu lakini bado serikali inaendelea na uchunguzi kubaini chanzo
 
Ameonyesha umbilimbi wake
Alipohojiwa wakati ule wa Lissu ndipo nilipoamini kuwa uprofressor alinunua
Amelikoroga aandae vikombe kunywa uji mbichi
Karma is a bitch karibu mtasema ukweli
OMG Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”. How did Palamagamba know that Azory is dead? @CPJAfrica Amnesty https://t.co/EjCrH98MuI
 
Viatu alivyovyeshwa prof vikubwa tumsamehe bure,ila neno la kwanza ndo tumelielewa wanazengo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…