YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
- Thread starter
- #121
Hilo bwawa lililojengwa litafaidisha wilaya tano ambazo zinazunguka hilo Bwawa kwa shughuli za uvuvi.Litatengeneza ajira nyingi sana.Likikamilika misamaki hiyo inamwagwaNuclear ni cheaper zaidi..
Maji kuna gharama za mazingira kubwa Sana
Kufyeka heka zote zile utasema hakuna gharama?
Amepima loss yake? Kufyeka heka zaidi ya milioni?