Waziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.
Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.
Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
South africa na ethiopia wanazo kabla yetu. Mhe awe ana check fact kabla ya kuja ku address watuWaziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.
Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.
Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Nchi za Afrika Halisi.Hopeless kabisa!
Matatizo hayataisha Hadi mwisho wa Dunia hiiSifa za kijinga wakati watu bado wanakufa kwa kukosa huduma za afya huku wengine waki-share maji na mifugo.
Mnakimbilia kutafuta sifa huku wananchi wanateseka.
Hivi huyu Kalemani udaktari wake ni wa nini ?Safi sana
Sheria!Hivi huyu Kalemani udaktari wake ni wa nini ?
Bora mchawi kuliko muongo. Na hasa huyo bosi wenu .Acha uchawi!
Tuwekeee pichaaaEthiopia, South Africa na Morocco! Hizi nchi zote zina hizo treni za umeme kitambo tu. Aache uongo.
Huyu jamaa ana post graduate ya kuungaungaa.Sheria!
Kama Tundu Lisu!
Milele na milele, hadi mabeberu yashike adabuuuWazee hii ndio serikali yetu, wanasema ukweli au sio ? Tuwape kumi mingine.
Ukiona kitu Tundu Lisu hajabisha ujue ni ukweli 100%Wazee hii ndio serikali yetu, wanasema ukweli au sio ? Tuwape kumi mingine.
Ulisikia wapi bwashee?
Waziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.
Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.
Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
South AfricaTuwekeee pichaaa
Yaani wako kama vichaa hawa maccmMwendokasi yenyewe inawashinda, hiyo ndio mtaiweza?
Mbona hayo majina umeweka we we ? Tuonesha yalisia ya majina ya nchiiSouth Africa
View attachment 1690172
Ethiopia
View attachment 1690174
MoroccoView attachment 1690175
Tunisia
View attachment 1690177
Egypt
View attachment 1690178
hauna macho, kaazime ya bibi yako kibandani kwake huko sitimbiMbona hayo majina umeweka we we ? Tuonesha yalisia ya majina ya nchii
South Africa
View attachment 1690172
Ethiopia
View attachment 1690174
MoroccoView attachment 1690175
Tunisia
View attachment 1690177
Egypt
View attachment 1690178
amewahi kushinda kesi yoyote ?Sheria!
Kama Tundu Lisu!