Waziri Kalemani: Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika!

Waziri Kalemani: Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika!

Aache uongo,

Ethiopia na Djibout wanazo tangu 2016[emoji116]
Screenshot_20210130-214941.jpg
Screenshot_20210130-215107.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haki hawa watu wanatuona sisi ni matahira au wanaongea wasichokijua.
Unajua kuna mtu anaweza kukudanganya mpaka ukatafakari hivi jamaa ananichukuliaje
Mradi wa udart ilikuwa hivyo hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nashangaa pumzi imekata mapema kila kitu kinafanyyika manual,mjazano ndy usiseme
Ila tunaitakia heri mradi huo wa sgr dua nyingi tunaipa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Mradi wa udart ilikuwa hivyo hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nashangaa pumzi imekata mapema kila kitu kinafanyyika manual,mjazano ndy usiseme
Ila tunaitakia heri mradi huo wa sgr dua nyingi tunaipa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Sisi shida ni kutengeneza halafu likija suala la uendeshaji inakuwa ubabaushaji
 
Waziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.

Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.

Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Na ya kwanza kuiba kura Duniani
 
Na ya kwanza kushindwa kupata Watuhumiwa wa Lissu
 
Na ya kwanza kuwa na tume ya uchaguzi inayochaguliwa na rahisi ambaye ni mgombea
 
Na ya kwanza ukiwa chama pinzani unakua adui unastahili kuuwawa
 
Na ya kwanza kukataa chanjo yenye usibitisho kisayansi ila kutoa Ndege iende Madagascar kubeba maji taka
 
Lakini mwisho wa siku Tanzania siyo Nchi ya kwanza kuendesha hiyo treni ya umeme. Yaani Saddam Hussein alikuwa ni Rais wa Iraqi na siyo Kuwait!!

Umenipata mkuu?
Ni kweli sio nchi ya kwanza. Ila ni hatua ya kupigiwa makofi. After all, it is very painful now, but development comes with a cost
 
Basi asitudanganye kana kwamba hatujui kitu huyu chatoman

Huyo anajijua mwenyewe. Ila nafurahi kuona we are getting there. Ije siku iwezekane kuishi Morogoro na kufanya kazi Dar au Dodoma
 
Back
Top Bottom