johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Kwa Tundu Lisu!Kwahiyo Joe Biden atatoa Awards
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Tundu Lisu!Kwahiyo Joe Biden atatoa Awards
Umeme wao si wa Mungu, amesahau kuwa intaneti wamerudisha.Kenya wao wana madaraka express [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ngoja tuone mwenzako 2015 nlipanda gautrainHizo siyo kama hii ya kwetu!
Hawa watawadanganya labda watu wa kutokaa kamzimzumbee au sikongee huko syo wengineHaki hawa watu wanatuona sisi ni matahira au wanaongea wasichokijua.
Unajua kuna mtu anaweza kukudanganya mpaka ukatafakari hivi jamaa ananichukuliaje
Wapi haoMheshimiwa, jaribu basi hata kuwaheshimu wana ccm wenzako. Treni za umeme kitambo tu zipo Afrika. Acheni kufanya siasa nyepesi! Mnafanya tuonekane Watanzania wote ni viazi mbele ya majirani zetu.
Mradi wa udart ilikuwa hivyo hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]Haki hawa watu wanatuona sisi ni matahira au wanaongea wasichokijua.
Unajua kuna mtu anaweza kukudanganya mpaka ukatafakari hivi jamaa ananichukuliaje
Sisi shida ni kutengeneza halafu likija suala la uendeshaji inakuwa ubabaushajiMradi wa udart ilikuwa hivyo hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nashangaa pumzi imekata mapema kila kitu kinafanyyika manual,mjazano ndy usiseme
Ila tunaitakia heri mradi huo wa sgr dua nyingi tunaipa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Na ya kwanza kuiba kura DunianiWaziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.
Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.
Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Usimamizi mmbovuSisi shida ni kutengeneza halafu likija suala la uendeshaji inakuwa ubabaushaji
South wana gau train tangu 2010..joberg to Pretoria 15 minutes..Nilisikia SA na Ethiopia kama tayari wanazo vile!
Ni kweli sio nchi ya kwanza. Ila ni hatua ya kupigiwa makofi. After all, it is very painful now, but development comes with a costLakini mwisho wa siku Tanzania siyo Nchi ya kwanza kuendesha hiyo treni ya umeme. Yaani Saddam Hussein alikuwa ni Rais wa Iraqi na siyo Kuwait!!
Umenipata mkuu?
Basi asitudanganye kana kwamba hatujui kitu huyu chatoman
Unaongea kama kamanda uchwara.Kwahiyo unajivunia uwezo mliojipa wa kuchota 1.5 bila kuhojiwa na Bunge! Hongera kwa wizi.