Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria nadhani ila sina hakika sana.Hivi huyu Kalemani udaktari wake ni wa nini ?
Sifa za kijinga mkuuNaomba kufahamishwa,tukiwa wa kwanza kutumia train ya umeme kuna malipo au zawadi tutakayopata katika mashindano hayo?
Je tunashindana mataifa mangapi na refa ni nani?
Kweli kabisa. Misri wanategemea kukamilisha yao ya mwendo kasi (high speed) kabla ya Oktoba mwaka huu. Hivi huwa hawafanyi research?Nilisikia SA na Ethiopia kama tayari wanazo vile!
Mbona wewe mamako anaishi jumba bovu halafu umeshindwa hata kumjengea ?Hata kupaka rangi tu makao makuu hapo ufipa mmeshindwa.
Tatizo la exposure la viongozi wetu. Train za umeme tayari zipo Africa. Ethiopia na South Africa kweli zipo. Zimbabwe walikuwa nazo zimekufa. Nchi za kaskazini, Algeria,Nigeria, Morroco na Tunisia zipo pia.Nilisikia SA na Ethiopia kama tayari wanazo vile!
Kalemani si ndio huyu alikuwa Mwanasheria wa ile Wakala wa Madini vipi na yeye ameshushiwa mshahara. Aache uongo hivi kwanini wanasiasa wengi wa Tz wanapenda kusema uongo?!Hivi huyu Kalemani udaktari wake ni wa nini ?
hata Congo DRC walikuwa nayoEthiopia, South Africa na Morocco! Hizi nchi zote zina hizo treni za umeme kitambo tu. Aache uongo.
Ethiopia and Djibouti have launched the first fully electrified cross-border railway line in Africa. It links Ethiopia's capital, Addis Ababa, to the Red Sea port of Djibouti - a stretch of more than 750km (466 miles).Oct 5, 2016Waziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.
Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.
Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
johnthebaptist anahujumu ccm kinyama sana , ila hawajamstukia , siku wakistuka ni lazima atekweHivi hawa watu uwa wanatuona sisi ni matahira au?
Ethiopia na Djbouti zimejenga mfumo wa train za umeme toka 2016 unafanya kazi![]()
Ethiopia-Djibouti electric railway line opens
A Chinese-built electric train service from Ethiopia's capital, Addis Ababa, to the Red Sea port in Djibouti opens with a test run for passengers.www.bbc.com
Kinachonifurahisha nchi zote zinazotajwa ni za uchumi wa kati kama sisi, hii inaonyesha namna tulivyopiga maendeleo kwa haraka!johnthebaptist anahujumu ccm kinyama sana , ila hawajamstukia , siku wakistuka ni lazima atekwe
Raia wake wanaokotwa kila siku kwenye makontena bagamoyoKinachonifurahisha nchi zote zinazotajwa ni za uchumi wa kati kama sisi, hii inaonyesha namna tulivyopiga maendeleo kwa haraka!
Morocco pia tena zamani sana.Nilisikia SA na Ethiopia kama tayari wanazo vile!
Ukweli wa taarifa yenyewe kasema train ya kwanza yenye kutunza umeme "electric saver" jinga moja limewapotoshea taarifa wote mnajua king kifala with link reference.![]()
Ethiopia-Djibouti electric railway line opens
A Chinese-built electric train service from Ethiopia's capital, Addis Ababa, to the Red Sea port in Djibouti opens with a test run for passengers.www.bbc.com