Waziri Kalemani: Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika!

Waziri Kalemani: Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika!

Huo utafiti wa kuhitimisha hivyo kaufanya lini katika nchi zote za Africa!? Acha KUKURUPUKA!
Ukweli wa taarifa yenyewe kasema train ya kwanza yenye kutunza umeme "electric saver" jinga moja limewapotoshea taarifa wote mnajua king kifala with link reference.
 
Huo utafiti wa kuhitimisha hivyo kaufanya lini katika nchi zote za Africa!? Acha KUKURUPUKA!
We mbuzi kweli hiyo link ya Ethiopia imekuchukua muda gani ku attach yaani dunia ya sasa unauliza imemchukua muda gani kutafiti... Nyumbu aachi asili
 
Mbuzi babaako na mamaako ZWAZWA WEWE!
We mbuzi kweli hiyo link ya Ethiopia imekuchukua muda gani ku attach yaani dunia ya sasa unauliza imemchukua muda gani kutafiti... Nyumbu aachi asili
 
Naomba kufahamishwa,tukiwa wa kwanza kutumia train ya umeme kuna malipo au zawadi tutakayopata katika mashindano hayo?
Je tunashindana mataifa mangapi na refa ni nani?
Others will came to learn from us. Kuanzia hapo unaanza kuingiza noti.... Some have indulge to their fantasy watakuja kupanda ku- fulfil hilo ndo awards zenyewe.
 
Kwa sababu kitaa wanakushika tako na kukuvalisha kanga unadhani kila mtu anafanya huo upuuzi kamongo wewe!? Wasted sperm
Nakuchungulia tu ulivyo mwepesi kuguswa tako unalainika kisengxxxx hahaha
 
Kwa sababu kitaa wanakushika tako na kukuvalisha kanga unadhani kila mtu anafanya huo upuuzi kamongo wewe!? Wasted sperm
Mwepesi sana ngoja nikuhifadhi kwa sasa ila ujue sitaacha kukupumulia kisogoni mpaka dak ya mwisho.
 
Kwa sababu wanakupumulia kisogoni hapo kitaa unadhani kila mtu anafanya huo ujinga wako! Pakaa poda na ufunge vizuri hiyo kanga wateja wanakusubiri wakafanye yao. Dunya wewe!
Mwepesi sana ngoja nikuhifadhi kwa sasa ila ujue sitaacha kukupumulia kisogoni mpaka dak ya mwisho.
 
Hivi huyu Kalemani udaktari wake ni wa nini ?
Hao wenye PhD za jalalani wanafikiri hata sisi wa Darasa la nne ni wajinga kama wao kutufanya watoto wadogo wasiojua kitu. Treni za umeme hata hapa kwetu zilianza kutumika badala ya Gari Moshi zilizokuwa zikitumia Steam Engines. Reli ya gauge yoyote wakati wowote hata Narrow Gauge inaweza kubadilishwa kuwa ya umeme kwa kuweka umeme na kununua injini za umeme. Kama Rais hasafiri nchi za nje ili kubana matumizi, aruhusu washamba wenzake wakaone treni za kisasa zenye spidi kama Bombardier za Magufuli. Kama ilivyo ndani ya nchi, ni rahisi kusafirisha Waziri kokote kuliko Rais!
 
Hahahaaaa...... Bwashee umeumia sana!

Mambo mazuri mengi yanakuja.
Ama kweli Lumumba ni kiboko kwahiyo na wewe unakubali kwamba itakuwa ya kwanza Afrika

Chanjo veepe !!! Maana naskia mnaingia Season 3 ya kujifukiza kwani ipo??? na Season 2 ilikua lini ??? Mi nakumbuka Season 1 tu

Tufahamishane basi jamani kwani iliyopo ni ile mpya ya South Africa au bado ipo ileile ya Wuhan???
 
Waziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.

Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.

Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!


Hayo madaraja mnayojenga usiku yatahimili mvua za masika? Msikimbilie kumaliza reli upesi upesi huku workimanship ikawaa ya kiwango cha chini treni zikapinduka kila leo!!!
 
Hahahaaaa...... Bwashee umeumia sana!

Mambo mazuri mengi yanakuja.


Mediocrity hii ya hawa mawaziri inatokana na kuteua ndugu kwenye nafasi nyeti ili kufanikisha ubadhirifu!! Huyu Waziri hata hajui kuwa kuna nchi nyngine Africa zimekuwa na treni za umeme siku nyingi sana; lakini kwa kutaka kumpendezesha Jiwe anataka kuwaongopea wananchi!!!
 
Lands alE="Tate Mkuu, post: 37972762, member: 535381"]
Ethiopia, South Africa na Morocco! Hizi nchi zote zina hizo treni za umeme kitambo tu. Aache uongo.
[/QUOTE]
Labda alikurupushwa usingizini
 
Mwambieni mwenyekiti wenu magufuli kama yeye hatembei basi aruhusu mawaziri wake watoke nje yamipaka ya Tanzania. Hizo train za umeme tayari zinatumika misri, south Africa, Morocco, Algeria, Tunisia. Kwahiyo aache ushamba.
 
Kalemani si ndio huyu alikuwa Mwanasheria wa ile Wakala wa Madini vipi na yeye ameshushiwa mshahara. Aache uongo hivi kwanini wanasiasa wengi wa Tz wanapenda kusema uongo?!
Kale manii ni kabila gani nafikiri tuanzie hapo kabla ya kuingia deep
 
Back
Top Bottom