Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ameshatosheka!Kwani wengine wanaipataje?
Amandla...
Anayo ndio.Mheshimiwa Kalemani ana Ph.D?
Amandla...
Ndio maana tunashangaa anashindwaje hata ku Google kabla ya kutoa taarifa hadharani? Na taarifa ambayo haina faida sana kwetu.Anayo ndio.
Tena ya sheria!
Na wewe ukijishughulisha kidogo tu utajua tofauti ya treni yetu ya umeme na hizo mnazozitajataja!Ndio maana tunashangaa anashindwaje hata ku Google kabla ya kutoa taarifa hadharani? Na taarifa ambayo haina faida sana kwetu.
Amandla...
Lakini cha msingi ni kuwa zote zinatumia nishati ya umeme. Au ya kwetu itatumia umeme wa aina tofauti?Na wewe ukijishughulisha kidogo tu utajua tofauti ya treni yetu ya umeme na hizo mnazozitajataja!
SA, Ethiopia na Egypt.Nilisikia SA na Ethiopia kama tayari wanazo vile!
Umbali mrefu ya kwetu inazidi zingineNilisikia SA na Ethiopia kama tayari wanazo vile!
,Hawa vilaza wapenda misifa ni ajabu sana, wakati watu tunahangaika kupata angalau mlo mmoja kwa siku, wao wanahangaika kuwa wa kwanza kutumia treni ya umeme, kwanini tusiwe wa kwanza kuwa na madarasa na dawati za kutosha kwenye shule zetu na wakwanza kuondoa umaskini uliokithiriWaziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.
Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.
Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Tanesco umeme huu watautoa wapi ambao haukatikikatiki kama tunaoutumia sasa?
Wacha iishe na ujiwekee nadhiri usipande.Sifa za kijinga wakati watu bado wanakufa kwa kukosa huduma za afya huku wengine waki-share maji na mifugo.
Mnakimbilia kutafuta sifa huku wananchi wanateseka.
Wewe huna akili..kwanza sio Mtanzania..Warundi mna shida sana..Amesahau kusema kuwa ndo itakuwa treni ya kwanza duniani kukatikiwa umeme ikiwa njiani.
Kwani ni wapi huko ambako wananchi wake hawafi kwa corona na maji yao hawashei na nyau au dogi zao? Tunachojua ni kwamba hakuna po pote duniani ambako jengo la makao makuu ya chama kikuu cha upinzani linafanana au linapitwa na kibanda cha mifugo!Sifa za kijinga wakati watu bado wanakufa kwa kukosa huduma za afya huku wengine waki-share maji na mifugo.
Mnakimbilia kutafuta sifa huku wananchi wanateseka.
Waziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.
Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.
Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Ethiopia, South Africa na Morocco! Hizi nchi zote zina hizo treni za umeme kitambo tu. Aache uongo.