Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema anataarifa hizo na zzk ?
oHao vilaza huwezi kuwaona hapaMmawia, Salary Slip, Technically na wengine karibuni kwenye uzi!!!
Africa Kusini so wapo lockdown?
Mataga mmechnganyikiwaKiongozi bora huwa na sifa za kipekee kama vile kujiamini, maono, misimamo na uwezo wa kuwa tayari kusimama peke yake katika kilicho sahihi. Magufuli wanaompinga kwa sasa ni wale wasioipenda haiba yake ambayo ni ngumu kwa kweli. Wengi hupenda zaidi viongozi wanasiasa wenye maneno mepesi ya kubembelezana.
Yeye aliona mbele mbali ambako wengine hatukuona. Hakutaka kujenga hofu ambayo wengi tuliiendekeza. Aliona kuwa corona ni ka-ugonjwa na sisi tukaliona kuwa gonjwa. Huo ndiyo uzuri wa kuwa na kiongozi shupavu. Anakuwa shock absorber kwenye makatigesheni. Tumshukuru Mungu ugonjwa haukuja awamu iliyopita iliyokuwa dhaifu kwa mujibu wa ndugu Mnyika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,ni kweli tumepokea watalii wanne (4) juzi, ndege ilitua na jumla ya watu 7,staff 3 na watalii wanne.Duh. Mbona tuko KIA, na hatujapokea wageni hao jamani. Au umekosea uwanja nn??? Ila KIA sio jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilaza mamako! na wewe pumbavu sanaoHao vilaza huwezi kuwaona hapa
Sawa. Em nijuze ni wa kampuni gani hao watalii??? Maana lazima kuna gari LA kampuni litakuwa limekuja wachukua. Ni vyema ukanijuza mkuu kuwa wageni wamebebwa na kampuni flani. Ili tupate uhakika zaidi.Mkuu,ni kweli tumepokea watalii wanne (4) juzi, ndege ilitua na jumla ya watu 7,staff 3 na watalii wanne.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mafisadi yenu huko ccm hamyanyongi kima nyinyikwa nchi zingine wasaliti wa nchi hua wananyongwa hadharani , haiwezekani wewe uombee mabaya nchi yako...unafaidika nini ukiiwazia mabaya nchi ambayo ulizaliwa humo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeshakuja!!!fake news
Mbona mafisadi yenu huko ccm hamyanyongi kima nyinyi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sina jazba mtani