Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Uliishawahi kusikia Tanzania imezuia wageni "wenye nia nzuri na mapenzi mema" na nchi yetu wasiingie nchini?Watalii watalii , nyie si ndo huwa mnawaita mabeberu au sio nyie ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliishawahi kusikia Tanzania imezuia wageni "wenye nia nzuri na mapenzi mema" na nchi yetu wasiingie nchini?Watalii watalii , nyie si ndo huwa mnawaita mabeberu au sio nyie ?
Picha ya zamani mamaeeee
Wanasonya tu huko waliko[emoji23][emoji23][emoji23]Mmawia, Salary Slip, Technically na wengine karibuni kwenye uzi!!!
Ni rahisi sana kumtawala mjinga!Duh. Mbona tuko KIA, na hatujapokea wageni hao jamani. Au umekosea uwanja nn??? Ila KIA sio jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaliti wa nchi ni yule anaetengeneza propaganda za maji taka na kuzieneza bila aibu!kwa nchi zingine wasaliti wa nchi hua wananyongwa hadharani , haiwezekani wewe uombee mabaya nchi yako...unafaidika nini ukiiwazia mabaya nchi ambayo ulizaliwa humo
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah.. hii kweli ufipa ya bavicha. Kwa hiyo wewe hizi habari kwako ni laivu yaani unategemea uwakute sasa hivi wanakusubiri wewe. Ufipa bhana dah...Duh. Mbona tuko KIA, na hatujapokea wageni hao jamani. Au umekosea uwanja nn??? Ila KIA sio jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahahah!
Mmawia, Salary Slip, Technically na wengine karibuni kwenye uzi!!!
Mamia ya watalii
Sina jina sahihi la kukupachika, ila ushauri tu "usiumize nafsi yako".Naona kwenye picha watalii wanamiminika maelfu kwa maelfu.
Mmawia, Salary Slip, Technically na wengine karibuni kwenye uzi!!!
Kiongozi bora huwa na sifa za kipekee kama vile kujiamini, maono, misimamo na uwezo wa kuwa tayari kusimama peke yake katika kilicho sahihi. Magufuli wanaompinga kwa sasa ni wale wasioipenda haiba yake ambayo ni ngumu kwa kweli. Wengi hupenda zaidi viongozi wanasiasa wenye maneno mepesi ya kubembelezana.
Yeye aliona mbele mbali ambako wengine hatukuona. Hakutaka kujenga hofu ambayo wengi tuliiendekeza. Aliona kuwa corona ni ka-ugonjwa na sisi tukaliona kuwa gonjwa. Huo ndiyo uzuri wa kuwa na kiongozi shupavu. Anakuwa shock absorber kwenye makatigesheni. Tumshukuru Mungu ugonjwa haukuja awamu iliyopita iliyokuwa dhaifu kwa mujibu wa ndugu Mnyika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeishakuja? Ahahahahah!Kizazi cha wajinga kiliisha baada ya matumizi ya smartphone kuanza. Ndege kutoka Marekani haina jina? Waitaje hiyo ndege tuingie mtandaoni tujiridhishe. Hatukatai kama ndege imekuja, watuambie ni ya shirika gani, halafu tutajiongeza wenyewe.
Umeishakuja? Ahahahahah!
Hayo maswali niliachana nayo nasoma primary Mapambano! Eti,"....sema sasa, nilikuwa nimevaa shati la rangi gani.......!?" Ahahahahahhhh! Long time!Sijaja, nipo muda mrefu naondoa upotoshaji wowote. Taja hilo shirika la ndege ili tuanike uongo wote mara moja.