Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mkuu huyu Mwarabu akiondolewa kweli nitafurahi. Amenyanyasa sana wazawa, ole wako upotee njia upitie karibu na kambi yao, adhabu utakayopata utajuta kuzaliwa Tz. Huyu yuko karibu kabisa na Geti la serengeti ..Cleins gate kutokea Loliondo. Kwa kifupi yuko serengeti national park kwa mpaka wa Loliondo/Wasso.Huyo mwarabu ndo tunaambiwa huku JF kuwa hilo eneo lake ana mtandao binafsi wa simu?
Na hii ishu ndo iliondoa uhai wa Stan Katabaro?
pasco