Waziri Mahiga: Kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya DPP

Kwahiyo ofisi kuu ya mashtaka ambapo yupo DPP ipo Dodoma na sio Dar?
 
ofisi kuu ya DPP Ipo Dodoma, walishahama Dar, dar kuna kuna ofisi ndogo ya mashtaka, kama ilivyo kwa mikoa mingine
lakini ni wenyewe waliosema kompyuta za DPP zimeibiwa sio sisi..alianza Mambosasa na DPP mwenyewe akaja kupigilia msumari wa mwisho wanajichanganya wenyewe tu
 
Kwa hiyo mwendesha mashtaka wa mkoa wa Dar es salaam anaitwa DPP? Basi kama no hivyo Mamboleo ni mbulula!
kila mkoa una ofisi ndogo ya mashtaka iliyo chini ya mkurugenzi wa mashtaka, Kwaiyo pia ni ofisi ya Dpp, ila ofis kuu ya mashtaka taifa ipo Dodoma, na ndo ofisi ya DPP
 
lakini ni wenyewe waliosema kompyuta za DPP zimeibiwa sio sisi..alianza Mambosasa na DPP mwenyewe akaja kupigilia msumari wa mwisho wanajichanganya wenyewe tu
Ndio ni vifaa vya ofisi ndogo ya DPP,
 
Kwa hyo mkurugenzi wa mashitaka kaongea yake waziri Mahiga nae kaongea kauli yake hapo kama ni kubet mpira tunasema BOTH TEAM TO SCORE YES
 
Mkuu, nyumbu ni mnyama asiye na uwezo wa kutunza kumbukumbu!
 
Acha ufala wewe!!

Jibu hoja,mmeibiwa ama hamkuibiwa????
 
Kwani Kamanda wa polisi kanda maalum si angesema DPP kamwambia kuwa siyo yeye aliyeibiwa? Kwani Kamanda hakuambiwa na DPP kuwa wameibiwa?

Waziri wa mambo ya ndani ndiye aliyepigiwa simu na DPP kuhusu wizi ama ni kamanda?
Nakukumbusha tena Waziri ni boss kwa kamanda kwahiyo taarifa rasmi inayohusu masuala ya mashtaka anatakiwa kuitoa rasmi ni waziri wa sheria...so protocol imezingatiwa
 
Ulivyo mpuuzi hata waziri wa mambo ya ndani humjui!!..Mahiga ni waziri wa mambo ya ndani?? halafu umeniquote hapo juu nilivyosema my take hivi mpuuzi kama wewe unategemea ntajibizana na wewe?
Huo ni ukoseagi wa maandishi we mpumbavu. ..unaweza usimjue waziri wa sheria wakati kila siku unapishana nae kwenye corridor za ofisin akija kuleta maelezo kwa mkubwa wake
 
Nakuomba usirudie tena kuniquote huku ukiwa hujui kutofautisha matumizi ya R na L..tafadhali sana usirudie kuniquote post yangu sehemu yoyote humu JF sina muda wa kujibizana na watu wa aina yako
Tafadhali kama huitaji hilo ungeondoka humu ndani
 
Achana naye huyo, hajijui hata anapigania nini. Ndio shida ya ngumbaru kujihisi ana shahada.
Hana tofauti na aweza kuwa yeye Livingston Lusinde.
Lusinde aka kibajaji anaweza kukulisha wewe, mkeo na familia yako usimchukulie poa!
 
Tafadhali kama huitaji hilo ungeondoka humu ndani
Nilikuonya usiniquote mpuuzi kama wewe siwezi kupoteza muda wangu kubishana na wewe..unachokitafuta utakipata tu endelea kujitia mwehu
 
Huo ni ukoseagi wa maandishi we mpumbavu. ..unaweza usimjue waziri wa sheria wakati kila siku unapishana nae kwenye corridor za ofisin akija kuleta maelezo kwa mkubwa wake
Nimekwambia siwezi kubishana na kilaza ambaye hamjui hata waziri wa mambo ya ndani..kipi ambacho hakieleweki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…