Waziri Mahiga: Serikali ya Uturuki imetuambia wamiliki wa shule za Feza ni magaidi

Hapo kunatengenezwa uzushi kuzichafua hizo shule hakuna lingine,tunajua upande flani hauna haki hapa tanzania basi tuachieni hata hivyo vichache jamani.
Watu wengine kila sehemu mnatamani kujamba tu, hivi wewe mwislamu mvaa kandambili una jeuri ya kumsomesha mtoto wako FEZA School? Au unadhani ile ni Al almain?

Feza malipo ni kwa dola hakuna hata sheikh ubwabwa mmoja mwenye jeuri ya kupeleka mtoto wake pale.
 
Ndio madhara ya kuruhusu wawekezaji wageni bila kuwa na ubia na raia wa Tz. Serikali ya Tz haina namna kubisha wapewe ushahidi zaidi ya tukio,la sivyo diplomasia yetu na uturuki haitakuwa salama. Hivi leo kuwe na watanzania uturuki wamefanya uharifu Tz,tutahitaji tuwapelekee ushahidi waturuki,wakati hao ni raia wetu,na serikali halali ndiyo inatoa amri hiyo.
 
Mbona hapo Fedha wakristu ndo wanafaulu sana
 
Wacha dharau wewe. Kwa uelewa wangu hata kule Zanzibar FEZA school ipo pia licha ya kua idadi kubwa ya watu ni waislamu. Fuatilia uje tena hapa utuambie kua hakuna waislamu wanaosoma hapo.
 
Marekani akikubali hii hoja na wengine watafuata. Huku kwetu bado tunalinda maslahi yetu kwanza.
 
Umeongea ki Gaidi sana Mkuu
 
Hii topic nilitaka kuianzishia thread siku nyingi nikaamua kuichunia, nilikuwa najua itaibuka tu. Hivi nani hasa amekuwa anafadhili timu zetu za taifa na vilabu kwenda Uturuki, mmewahi kujiuliza kulikoni?
 
Mkuu ni kwamba hutaki kuamini kuwa una Support u Gaidi indirectly kwa ada unayolipa ama hutaki kusikia kuwa wanao wanafundishwa Mbinu za ki Gaidi ?
 
Hayo madai sio kweli. Walimu wapale wanakuja pale kufundisha and they are nice and helpful.
 
Wacha dharau wewe. Kwa uelewa wangu hata kule Zanzibar FEZA school ipo pia licha ya kua idadi kubwa ya watu ni waislamu. Fuatilia uje tena hapa utuambie kua hakuna waislamu wanaosoma hapo.

Kwani waislamu hawawezi kusoma? Mbona hamna point hapa?
 
hapohata mtoto wa waziriwa mambo ya ndani anasoma mbona patamu #mwiguluson
 
Awali ilikuwa ni ugomvi wa utofauti wao katika kugombea madaraka kati ya Erdogan na Gullen.

Lakini sasa hivi hao wawili walokuwa marafiki ni maadui wakubwa na tena uadui umechukua sura mpya na sasa imekuwa ni proxy war kati ya Urusi na USA.

Tanzania inatakiwa iwe makini sana katika kushughulikia madai hayo ya wamiliki wa FEZA schools kujihusisha na uhaini kule Uturuki.

Busara na hekima itumike bila hivyo diplomacy itakuwa matatani.
 
Kwani ugaidi unawekwa kwenye mtaala??
 
Ingawaje pale Magogoni pana shida kubwa kwenye eneo la diplomatic lakini Mungu mkubwa tunaye waziri sahihi kwa wizara ya mambo ya nje, ni mtu aliyebobea kwenye diplomasia.

Tena chondechonde Ngosha hasichangie comment yoyote kwenye hili maana anaweza kufyatuka akijuwa anahutubia wasukuma kumbe kuna watu serious wanaokusikiliza nukta kwa nukta.

Hili sekeseke aachiwe balozi Mahiga hilo ndilo eneo lake la kujidai, si la wafyatukaji, yeye aendelee na episode nyingine.
 
Hii topic nilitaka kuianzishia thread siku nyingi nikaamua kuichunia, nilikuwa najua itaibuka tu. Hivi nani hasa amekuwa anafadhili timu zetu za taifa na vilabu kwenda Uturuki, mmewahi kujiuliza kulikoni?
Hizi ndio akili za watu waliofirisika ubongo na kuweza kumuuzia timu muhindi mmoja kwa siku moja wakati babu zenu kwa miaka 80 waliijenga timu hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…