Waziri Mahiga: Serikali ya Uturuki imetuambia wamiliki wa shule za Feza ni magaidi



ata>>>>>>>>>>>>>>>>>>>hata

apo>>>>>>>>>>>>>>>>>>>hapo

ayo>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>hayo

iyo>>>>>>>>>>>>>>>>>>>hiyo

ili>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>hili

ivyo>>>>>>>>>>>>>>>>>>hivyo

nimwahi kua moja wa.................nimewahi kuwa mmoja wa

Naona kweli hapo FEZA msisitizo ulikuwa ni English zaidi......lakini pamoja na hayo nimelipenda andiko lako...Hata hivyo kumbuka kwa maeneo mengi duniani mafunzo ya kigaidi huwa hayatolewi wazi wazi, ila points zako nyingi katika andiko hili ni za msingi....
 
hoja zote sawa lakini ajira ya walimu imenikwaza. wawekezaji wanatakiwa kuleta wataalamu ambao hatuna hapa nchini. kumbe hata walimu hatuna mpaka wanaletwa toka uturuki? na vibali vya ajira wanavyo au wana visa za utalii?
 
kwani sheria mojawapo humu jf ktk kuandika comments lazima uandike kwa kiswahil fasaha?? Mstake kutuzingua si mngekuwa bas maprofesa wa kiswaili au tuki
 
Najua Shule imekupiga chenga lakini basi hata kudodosa huwezi? Tafsiri na tafakuri hili aliosema mkatoliki mwenzako, Mahiga "walimu wa shule za FEZA ambao ni raia wa Uturuki wamekuwa wakitumia mbinu za kigaidi kufundisha wanafunzi".


Mkuu Barghash bin sayyid ametopea kwenye ujinga, think outside the box,binafsi siamini kama Feza schools zinafundisha ugaidi no way hizi body binafsi za Erdogan na mdhamini wake wa siku nyingi Imani Fetullah Guleh ,kama file ni ugaidi basi Erdogan ni ugaidi pia haiwezekan miaka yote washirikiane mpaka 2013 alarm Guleh uanze kuwa ugaidi uzeeni.mwisho soon kama kuwa na ushindani,wa shule ni jambo uwe ya Kanisa au msikiti,hizo shule za Kanisa unazoponda ndiyo wanao wanasoma
 
Ilisadikika lile.Zoez la mapinduz aliliandaa huyo hyo raisi aliepo mafalakan.Kama njia ya kuaminisha umma kuhusisha na hawa wamirik.Ambao wanamirik shule na vyuo.Zaid ya 200/dunian sioni mantik yake
 
Mambo yao ya ndani wasiyalete kwetu

emalau;
Wameyaleta kwetu kivipi mkuu?? Wamekosea kutushtua kuwa tuwe macho?? Hujui ni rahisi zaidi kuuimarisha huo ugaidi kwa kutumia lango la biashara?? Hujui ni rahisi zaidi kuwapata mamluki tena wachanga kabisa kwa kutumia darasa??
Nadhani tumuunge mkono mh. Mahiga kuwa kama ushahidi upo, tusichelewe kuchukua hatua. Mh JPM aliwahi kusema kuwa, Kama ushahidi upo wazi nini kinangojewa hatua isichukuliwe??
Namuunga mh Mahiga mkono. Waturuki, leteni ushahidi, mficha maradhi mauti itamuumbua. Hata zipasishe Div. I wooote, ka ni magaidi ni hatari kwa kizazi chetu. Umaskini wetu usituuzie mauti.
 
Waturuki wenyewe wanasema FEZA ni magaidi alafu nyie wabongo mnaleta ubishi..... Povu jingi..... Subirini muone

Kama ni kweli basi Serikali ya Uturuki inafadhili ugaidi duniani. Siku zote hizo mbona hawakutufahamisha kwamba walimu kutoka Uturuki wanafundisha watoto wetu ugaidi?

Na kiongozi wa mapinduzi yaliyoshindwa huko Uturuki yuko Marekani, nchi ambayo ipo mstari wa mbele kupigana na ugaidi duniani. Mbona Marekani haijamshughulikia kiongozi huyo siku zote hizo alipokuwa Marekani kama kweli ni kiongozi wa ugaidi?
 
Haya mambo yanataka utaalamu kuya prove wrong or right. Kuna mplalestina mmoja alifanya PhD ya jinsi katuni zinavyotumika kujenga mitazamo ya watoto huko Gaza na West bank nilichoka. Kwa juu juu huwezi ku sense kitu chochote. Kuna katuni za west na za wale sijui wanamgambo ni shida
Nadhani Ni Wanafunzi Waliosoma FEZA tu pekeyao Ndiyo Wenye Haki Kamili Hapa Ya Kuja Kututhibitishia Hayo Madai Yaliyotolewa Ya Kuwa Walimu Wanatumia Njia Za Kigaidi Kufundishia Je Ni Kweli? Njooni Mutupe Ushuhuda...
 
Hizi shule nimesikia ni za mtu mmoja mturuki aishie US. US wamewaambia uturuki kama kuna ushaidi amehusika kwenye jaribio la mapinduzi watamkabidhi uturuki. But naelewa kwa nini shule zake zinakuwa attacked. Watoto ni zana nzuri ya mabadiliko. Watakuwa na woga kuwa ana preach chuki mashuleni
 
Hizi shule sio za mmiliki mmoja ila wamiliki wame be inspired na movement ya huyo Sheikh katika kutoa huduma(hizmet), anaamini katika kutoa huduma for the sake of God na akaanzia kuwaambia wafuasi wake wawekeze kwenye elimu, afya, na huduma nyingine za kijamii.
Huyu mtu anaishi uhamishoni tangu 97 na hana hata haja ya kujua shule hizo zinaingiza faida au la
 
Erdoğan man[emoji27]
 
Source please
 
Unamaanisha Waturuki wazushi
Huyu uelewa wake ni mdogo, akili yake imemtuma dini fulani inaonewa hapa, ili hali sisi (Tz) ndio tumewataka ushahidi, kwa maana ingine tumenusa uzushi juu ya madai yao, sasa kaibuka huyo wa upande moja kutokuwa na haki, sijui kala maharage ya wapi huyu, tumsamehe, uwezo wake umeishia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…