Kaka
JF-Expert Member
- Nov 22, 2006
- 745
- 372
Nadhani mtoto mmoja wa Rais Mstaafu, Dr. J. M. Kikwete alisoma hapo miaka michache iliyopita na alishinda tuzo ya ubunifu kwenye medani ya teknolojia. Mwenye kumbukumbu atujuze tafadhali.Watoto Wa wakubwa na matajiri na watu wenye uwezo wao ndio wanasoma shule hizo hawawezi kuzifungia zaidi watawambia wapinzani Wa erdogan popote duniani wake kuwwkeza Tanzania watawalinda... Hizo shule zikifungwa zitakatisha ndoto za watoto Wa vigogo... Hilo haliwezekani ndio maana Ada elekezi ilishindikana
Kaka ...