Waziri Makamba avunja Kitengo cha Habari na Mawasiliano TANESCO kwa tuhuma za kushindwa kulisemea Shirika

Lakini hatushangai mwenye mamlaka ameshasema kila mtu ale urefu wa kamba yake so kinachoendelea tanesco hakitushangazi
 
Ndg January sihitaji kuandika reply ila hizo za juu zinatosha kuwakilisha maoni yangu kama mmoja wa Watanzania, ila isije kuwa kama ya ndg Ndugai.

NB; Acha niendelee kujifunza tabia ya binadamu!.
 
😂😂😂😂 kwamba TANESCO inajificha nyuma ya Mgogongo wa Makamba. Sawa bana mie nausubiri muda tu.
 
Mr. Kigogo hiyo wizara ni kubwa mno kwako! Ni au, Bado unauota urais na umeamua kumfitini boss wako na au wafanyakazi wameamua kukuhujumu Kwa kuwa huna msaada kwao! Utakoma Kwa unafiki wako!
 
PASCAL MAYALA na HAJI MANARA kitenisi hicho mmerushiwa ,mkishindwa kukishambulia msimlaumu mtu
 
Kipara hana jipya hiyo wizara haiwezi hata apewe miaka 100
 
Huo ni uonevu tu waziri kashindwa kusimamia umeme anakimbilia kumtumbua afisa habari.Makamba hamna kitu hapo tumepigwa watanzania.
 
Sio kutetea ni KULISEMEA,,, elewa kiswahili
 
Angeanza na Maharage.
Ni Kiri tu kwamba Kuna sehemu hapo jirani tu Kibaha , Kongowe kuanzia Ungindonu, mashine ya maji Hadi VETA mpaka Kigelo. Hili eneo kila ndani ya masaa. 24 Lazima umeme ukatike huu Sasa mwaka wa nne au wa tano.
Ikinyesha mvua kidogo tu hata ya mchongo lazima umeme ukatike.
Hebu meneja wa Kibaha ajieleze au ajiuzuru kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake.
 
Yaleyale alisemaga watu walikuwa wanashindwa kufanya kazi sababu ya ukali unafiki mbaya mzee wa Schedule Maintenance.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…