PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Tunasubiri matango pori zamu Yao ya kutulisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spot on.Makamba anavyodai kitengo kimeshindwa kuitetea Tanesco ana maana gani? anataka kitengo kiwe kinazalisha propaganda au kifanyeje?
Navyojua hao watu wa idara ya habari wanatakiwa kupewa taarifa za majibu ya kero za wateja kutoka kwa wahusika (waziri, naibu wake, katibu mkuu nk) then wao ndio watangaze taarifa hizo kwa umma.
Sasa mfano wananchi wakiulizia ujio wa ile winchi ya tani 26 toka huko ilipoagizwa mbona mpaka leo kimya? Makamba anataka hao jamaa wa kitengo cha habari wajibu kitu gani kama hajawapa majibu?
Unajua January hawezi hii wizara.....huku ni kuchanganyikiwa....Makamba anavyodai kitengo kimeshindwa kuitetea Tanesco ana maana gani? anataka kitengo kiwe kinazalisha propaganda au kifanyeje?
Navyojua hao watu wa idara ya habari wanatakiwa kupewa taarifa za majibu ya kero za wateja kutoka kwa wahusika (waziri, naibu wake, katibu mkuu nk) then wao ndio watangaze taarifa hizo kwa umma.
Sasa mfano wananchi wakiulizia ujio wa ile winchi ya tani 26 toka huko ilipoagizwa mbona mpaka leo kimya? Makamba anataka hao jamaa wa kitengo cha habari wajibu kitu gani kama hajawapa majibu?
Makamba anakifua kivuli chake.Waziri wa Nishati Mh Makamba amevunja kitengo cha habari na mawasiliano Tanesco akikituhumu kimeshindwa kulisemea shirika na kulitetea shirika kwenye nyakati ambazo kitengo na watu wake kimetakiwa kufanya hivyo!
Ikumbukwe kitengo cha habari na mawasiliano kinaongozwa na mwana dada Babra Semu...kama sijakosea na kwa misingi hiyo amekali kuti kavu ...
Maswali ya kujiuliza...
Ni kweli kitengo hichi ndicho tatizo kwenye shirika?
Ni kweli wameshindwa kuitetea tanesco?
View attachment 2095460
Waziri mwenyewe mwizi wa mitihani pale Galanos sec. Tanga. Ashukuru baba yake alikuwa anauwezo wa kumpeleka huyu mwizi kule Forest Moro. Angekuwa mtoto wa mkulima leo angekuwa anauza machungwa kule Bumbuli.Msemaji kama hapewi info za kutoa na wakubwa wake, inamuhusu nini!!!
Hataki kudanganya, sasa unamuondoa ili iweje!!
Waziri umechemka na maji moto yenye na degree 1000, umeongea mengi na wewe hujasema why tatizo lipo.
Umefeli as hao wote sio kiini, hawataki kutudanganya.
Mnakula tu kwa urefu wa kamba zenu.
Mimi ni mpenzi wa Awamu ya 6, lakini Makamba is a let down.Angeanza na Maharage.
Hapana ni kweli kwa nini umeme unakatika hovyo hakuna taarifa na hawasemi kuwaambia wananchi kuna nini umeme unakatika?Kawabebesha lawama tu
Kawabebesha lawama tu
Waziri anasimamia umeme? 😁😁 Kivipi? Waziri ni kiongozi wa sera na hapa kafanya Kazi yake.Huo ni uonevu tu waziri kashindwa kusimamia umeme anakimbilia kumtumbua afisa habari.Makamba hamna kitu hapo tumepigwa watanzania.
Hapana ni kweli kwa nini umeme unakatika hovyo hakuna taarifa na hawasemi kuwaambia wananchi kuna nini umeme unakatika?
Lakini mkurugenzi mkuu anatakiwa kupewa onyo ,hawasimamii mameneja wa Mikoa.
Kwani akija Waziri mwingine ndio inaenda kufunga nati kwenye karakana za Tanesco?Mimi ni mpenzi wa Awamu ya 6, lakini Makamba is a let down.
Kukifuta kitengo cha habari ni kuingilia utendaji wa Management.
Angemfuta kazi CEO au Bodi nzima.
Kama wanasema kwa nini mnalalamika? Inamaana huwa hamuelewi sababu wanazotoa?Sio kweli bwana mbona huwa wanasema? Hawa wanabebeshwa lawana Tanesco ni mzigo mwingine
Mimi ni mpenzi wa Awamu ya 6, lakini Makamba is a let down.
Kukifuta kitengo cha habari ni kuingilia utendaji wa Management.
Angemfuta kazi CEO au Bodi nzima.
Tanesco wsmrejeshe Mramba huyu Maharage wampe ubunge wa kuteuliwa akachape usingizi bungeni na covid 19.Hapana ni kweli kwa nini umeme unakatika hovyo hakuna taarifa na hawasemi kuwaambia wananchi kuna nini umeme unakatika?
Lakini mkurugenzi mkuu anatakiwa kupewa onyo ,hawasimamii mameneja wa Mikoa.
Waziri anasimamia umeme? [emoji16][emoji16] Kivipi? Waziri ni kiongozi wa sera na hapa kafanya Kazi yake.
Tumepigwaje? Lini Tanesco walitoa sababu za msingi za umeme kukatika hovyo? Bado MD
Anatafuta mchawi na wakati mchawi ni yeye mwenyewe, alitaka wawe wanatudangany?