Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
Taarifa ipi ambayo umepewa wewe unayejielewa mpaka unapitiliza? inafaa ubaki kwenye mapenzi tu hii sekta uliyoingia saivi utachemka tu kama ulivochemka zile zingineAhsante kwa taarifa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa ipi ambayo umepewa wewe unayejielewa mpaka unapitiliza? inafaa ubaki kwenye mapenzi tu hii sekta uliyoingia saivi utachemka tu kama ulivochemka zile zingineAhsante kwa taarifa...
makamba wakati wa wewe kumpigia kura ukifika atakua mgombea urais. Tunakuuliza tena rais gani anayeitwa makamba utampigia kura uchaguzi ukifika. Kajifunze lugha vizuri na si kwenda english medium kila siku kunoa ngeli yako tuRaisi pekee akigombea ntampigia kura ni makamba .
Sikuelewi !!!we tako unaongea nn?makamba wakati wa wewe kumpigia kura ukifika atakua mgombea urais. Tunakuuliza tena rais gani anayeitwa makamba utampigia kura uchaguzi ukifika. Kajifunze lugha vizuri na si kwenda english medium kila siku kunoa ngeli yako tu
Anakosea sana anaposema eti awamu ya 6 ndiyo imeongeza kasi, huo ni uongo. Kama kazi tu za vibarua ni rushwa nje nje je huo ujenzi wenyewe??? Yaani walivuruga mfumo ili
Waziri wa Nishati, January Makamba ametembelea mradi wa Bwawa la kufua Umeme la Mwalimu Nyerere Agosti 08 2022 ili kukagua na kuangalia hatua mbalimbali zilizofikiwa na mradi huo.
"kwa sasa tumefika asilimia 67, Katika Miaka Miwili na nusu ya Mwanzo (Kuanzia Disemba 2018 - June 2021) tulifikia asilimia 37. Leo tuko asilimia 67 ni kasi kubwa katika kipindi hiki kifupi, Sasa hivi hapa kazi inafanyika saa 24 hakuna mapumziko kwa hiyo kasi imeongezeka" Makamba"
Katika kipindi hiki cha serikali awamu ya sita, tumeshuhudia kasi zaidi katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati. Na hili limekuwa ni kielelezo cha mhe rais Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha miradi yote mikubwa ya kimkakati inakamilika kwa uharaka.
Hakika Mama anaupiga Mwingi Sana.
Subiri uone utekelezaji wa serikali ya awamu ya sitaUsiku na mchana zisije tu kuwa ni porojo za CCM.
Serikali ya awamu ya sita ipo makini sanani jambo zuri sana kwa maamuzi hayo ya waziri
Yetu macho.Subiri uone utekelezaji wa serikali ya awamu ya sita
au dokta na madawa yaliyopitwa na wakatimradi kama huu siasa ilifaa kuwa kama maji na mafuta.
Mzigo huoJe hakidhi vigezo? Mtanzania yeyote mwenye akili timamu anaweza kugombania nafasi ya Uraisi wa Jamhuri ya Muungano.
Acheni majungu dhidi ya Makamba jr.
Kweni amekuwa Mdigo?Mzigo huo
Eleza vizuri. Si katiba inayokataza mgombea huru wa urais, ni sheria inayosema hivyo. Unajua tena, kama sheria inapingana na katiba, sheria hiyo inakufa tunafuata katiba.Tatizo ni Katiba yetu hii hairuhusu mgombea huru inalazimisha uwe kwenye Chama cha siasa.
Kwa hiyo sheria inapingana na Katiba? Vurugu mechi😂Eleza vizuri. Si katiba inayokataza mgombea huru wa urais, ni sheria inayosema hivyo. Unajua tena, kama sheria inapingana na katiba, sheria hiyo inakufa tunafuata katiba.
Kama ambavyo mtu halazimiki kuwa na chama ili kupiga kura, vilevile mtu halazimiki kuwa na chama kupigiwa kura.
imeanza lini hii au ipo kwenye makaratasi nyumbani kwako?Eleza vizuri. Si katiba inayokataza mgombea huru wa urais, ni sheria inayosema hivyo. Unajua tena, kama sheria inapingana na katiba, sheria hiyo inakufa tunafuata katiba.
Kama ambavyo mtu halazimiki kuwa na chama ili kupiga kura, vilevile mtu halazimiki kuwa na chama kupigiwa kura.